Pre GE2025 Yanayojiri Uchaguzi Mkuu CHADEMA 2025: Tundu Lissu ashinda nafasi ya Mwenyekiti CHADEMA Taifa kwa Kura 513 sawa na 51.5%

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Ni Mbowe au Lissu

  • Mbowe

    Votes: 179 14.7%
  • Lissu

    Votes: 1,038 85.3%

  • Total voters
    1,217
  • Poll closed .
Mbowe anaungwa mkono na CCM na Dola hii peke yake inamuondolea sifa ya kuwa mwenyekiti wa chama labda awe mwenyekiti wa hao wajumbe tu
 
CHADEMA wachukue uamuzi mgumu,wasimpe nafasi Mbowe wala Lisu,wampe nafasi Odero,itakuwa njia sahihi ya kuua makundi yote ndani ya CHADEMA.
Kisha uchaguzi mkuu Lisu agombee uraisi,Mbowe awe makamu wa Raisi
Mzee wa Karatu umeongeo vizuri sana. Hili ni jicho pevu. Sema ndo sio rahisi.
 
Hayo majini yako yanamchukia Lissu balaa.
 
Kumbe ndio leo
 
Kwa namna John Mnyika alivyoratibu uchaguzi huu hakuna maneno atakayoweza kuyatoa kiongozi aliyeshindwa yatakayoshawishi umma kwamba ameibiwa kura.

Uchaguzi upo wazi na kila mmoja naona aliyepo ukumbini na aliyepo nje. Kama kuna wizi wa kura kila mjumbe anaweza akapiga picha kura iliyoibiwa.

Wasomi watanzania tukubali kwamba CHADEMA imekuwa msingi wa demokrasia nchini. Tafsiri ya demokrasia ni kuchagua na kuchaguliwa kwa haki.

Atakayeshindwa akubali kwamba hakuwekeza kwa wapiga kura. Hata wale wajumbe waliokatwa majina sababu zipo wazi kabisa. Na mmoja aliyeshiriki kuwakata majina ni wajumbe walio upande wao.

Ifike mahali sasa tukubali kwamba maisha ya siasa siyo usanii wa maneno nikukubalika na watu.
 
Akishinda mbowe tu na chama ndo kinakufa leo na ndo malengo ya ccm
 
Mkuu,kuna mjumbe humu alileta Uzi kuwa aligombea kura za maoni na kila mjumbe alimwambie anakubalika kinoma na watamuunga mkono kwenye sanduku la kura,kura zilipopigwa aliambulia 0.
Siasa ni kumanyoko
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…