Chukwu emeka
JF-Expert Member
- Jan 12, 2018
- 24,314
- 38,919
Hapo kwenye mtoto wa mjini. Tulisikia pia kuwa jogoo wa shamba hawiki mjini. Ila huyu kawika.Hiki ndicho kilikuwa sahihi kufanyika. Waoga wa demokrasia walitaka Mbowe akae pembeni tu kumpisha Lissu.
Nilisema hawa jamaa wanatumia hii kuifanya chadema ibakie kwenye trend. Wamefanikiwa na itaendelea kubakia hivyo.
Hongera kwa Mbowe. Wewe ni mtoto wa mjini. Umejua kujaza kibubu kwa kuiweka chadema masikioni mwa watanzania.
Ni ushujaa kuliko aibu waliyokuwa wanadhani utapata.
Safari ya WATANGANYIKA kutoka misri dhidi ya FIRAUNI SAMIA BUSHIRI NA JESHI LAKE LA CCM...JE BAHARI ITAFUNGUKA NA KUMUANGAMIZA FIRAUNI NA JESHI LAKE .Safari yetu ya kutoka nchi ya misri imeanza rasmi, sasa tunaenda kaanani.
Acha unaaNatumaini, Lisu,utafanya ulichokuwa unakihubili, usije ukawa kama William Ruto, aliwaamisha watu ye ye ni Bora, walipokuja kushituka, ni mtu mbovu kuliko wore, tangu Uhuru!
Uoga wako tu.Niwe Mkweli Kuna wakati Wakuu nmeshikwa na Tumbo la kuhara Kila nilipomtizama Mh Lema .
Mungu afanye maamuzi yake kwa mama abduliHili la mvua linajambo lake maeneo mengi mno mvua imenyesha kwa wakati mmoja.
Tanganyika inaenda kupata nafasi yake tena.
Kwa ule uchafu wanaoufanya sisiem hawawezi kuweka uwazi wa hivi abadani.Kwa uwazi kama huu ata ccm atakuja kuiachia nchi siku moja
Ha ha haSafari ya WATANGANYIKA kutoka misri dhidi ya FIRAUNI SAMIA BUSHIRI.
Demokrasia ya hali ya juu sana ...
Kura za wazi sana...Kisha live kwenye platforms mbalimbali na TV..
Kuna la kujifunza hapa... hongera Chadema
Kuna watu wako ccm wanatamani sana kuja chadema,ila ndo hivyo hawana jinsi.Kwa uwazi kama huu ata ccm atakuja kuiachia nchi siku moja
Uchaguzi mkuu unatakiwa kura huru na haki kwa kiwango hikiDemokrasia ya hali ya juu sana ...
Kura za wazi sana...Kisha live kwenye platforms mbalimbali na TV..
Kuna la kujifunza hapa... hongera Chadema