Pre GE2025 Yanayojiri Uchaguzi Mkuu CHADEMA 2025: Tundu Lissu ashinda nafasi ya Mwenyekiti CHADEMA Taifa kwa Kura 513 sawa na 51.5%

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Ni Mbowe au Lissu

  • Mbowe

    Votes: 179 14.7%
  • Lissu

    Votes: 1,038 85.3%

  • Total voters
    1,217
  • Poll closed .
Hapo kwenye mtoto wa mjini. Tulisikia pia kuwa jogoo wa shamba hawiki mjini. Ila huyu kawika.
Siasa walizofanya. Mbowe alikuwa anajua wanachokifanya. Wakawa wanawafix baadhi ya watu lakin kukipa chama relevance.

Leo kwa mchezo ulivyoenda, ni lazima watu wengi watakiamini chama. Hiki ndicho kililuwa msingi mkubwa.
 
Kazi inaanza sasa. Wale waliokuwa wanampigia debe Lissu waonyeshe kwa vitendo kuwa wanamkubali. Hawezi kuwafikisha katika nchi ya ahadi bila nyinyi kusimama nae.

Amandla...
 
Lengo la maridhiano ni kuneutralize uchaguzi 2025 mama ashinde kirahisi.

Lissu komaa, yote ya kwenye katiba hayahitaji maridhiano, maridhiano ni vijana wote waliouwawa, kupotea na kuumizwa tunataka kuona justice.
 
Tuna imaniiii na Lissuuuu, oyaaa oyaaaa

Lissu kweliiiii, Kweliiii, kweliiii, Kweliii Kweliii Lisssu.
 
Chama tawala wasifanye mambo kwa mazoea?... Fafanua.
 
Safari ya WATANGANYIKA kutoka misri dhidi ya FIRAUNI SAMIA BUSHIRI NA JESHI LAKE LA CCM...JE BAHARI ITAFUNGUKA NA KUMUANGAMIZA FIRAUNI NA JESHI LAKE .
Kwa machozi haya ya Watanzania hakika itafunguka na watanzania wenye mioyo safi tutapita, maccm yataangamia yote.
 
Aliyemtetea Lissu dhidi ya mashambulizi ya risasi na akatoka hai ndiye huyohuyo aliyemtetea na leo atoke na ushindi dhidi ya dhalimu Mbowe.
Naam kila sikio na lisikie.

Jiwe alikaza fuvu kama Farao akajaribu kupambana na mtetezi huyo. Somo limwingie kila Farao aliye mbele atambue kuwa TAL ni mteule
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…