Pre GE2025 Yanayojiri Uchaguzi Mkuu CHADEMA 2025: Tundu Lissu ashinda nafasi ya Mwenyekiti CHADEMA Taifa kwa Kura 513 sawa na 51.5%

Pre GE2025 Yanayojiri Uchaguzi Mkuu CHADEMA 2025: Tundu Lissu ashinda nafasi ya Mwenyekiti CHADEMA Taifa kwa Kura 513 sawa na 51.5%

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Ni Mbowe au Lissu

  • Mbowe

    Votes: 179 14.7%
  • Lissu

    Votes: 1,038 85.3%

  • Total voters
    1,217
  • Poll closed .
Ni muhimu sana Watanzania na wadau wa JF na wanaCHADEMA kwa ujumla kumuweka kwenye maombi huyu mwanafalsafa wa siasa za Tanzania.

Anaungwa mkono na makundi mengi ya wapenda haki na Watanzania kwa ujimla. Hata CCM inatetemeka wanaposikia jina lake na hofu kubwa ni pale atakaposhinda uenyekiti.

Tanzania inahitaji ukombozi wa pili ambapo hapa tumefikishwa na watawala waliojimilikisha nchi ambao hawataki Tanzania ipige hatua za maendeleo kwenye nyanja zote



Kila la kheri wajumbe,

Kila la kheri Tundu Antipas Lisu na Asanti Mbowe kwa kujidhihirisha uhalisia wako na usaliti dhidi ya harakati za ukombozi wa kweli wa nchi yetu



Mungu Ibariki Tanzania
Mungu ibariki CHADEMA
Sina hakika. Nauona huu chaguzi ni kati ya RUSHWA VS KUJITAMBUA.
wajumbe wengi wa chadema wanaishi maisha below the poverty line. Uwezekano mkubwa ni rushwa itashinda
 
Tunasubiri mwelekeo wa Chadema unakuwaje baada ya uchaguzi wa leo au mabadiliko au maridhiano zaidi. Mabadiliko hutisha watu wengi bali maridhiano na diplomasia wengi hupenda zaidi kwa vile huonekana ni rafiki. Kimsingi matokeo ya mabadiliko huleta matokeo chanya na kwa haraka. je leo CDM mnatuchagulia nini?
 
Ni muhimu sana Watanzania na wadau wa JF na wanaCHADEMA kwa ujumla kumuweka kwenye maombi huyu mwanafalsafa wa siasa za Tanzania.

Ninaposema kwa KIBALI cha Mungu, namaanisha kuwa, shetani atakapominywa na kutopewa nafasi ya kuvuruga basi KUSUDI la Mungu linatimia. Sisi wanadamu ni kusimama na Mungu kwenye mpango wake bila kukengeuka

Anaungwa mkono na makundi mengi ya wapenda haki na Watanzania kwa ujimla. Hata CCM inatetemeka wanaposikia jina lake na hofu kubwa ni pale atakaposhinda uenyekiti.

Tanzania inahitaji ukombozi wa pili ambapo hapa tumefikishwa na watawala waliojimilikisha nchi ambao hawataki Tanzania ipige hatua za maendeleo kwenye nyanja zote



Kila la kheri wajumbe,

Kila la kheri Tundu Antipas Lisu na Asanti Mbowe kwa kujidhihirisha uhalisia wako na usaliti dhidi ya harakati za ukombozi wa kweli wa nchi yetu



Mungu Ibariki Tanzania
Mungu ibariki CHADEMA

Hivi huyo atakayempigia kura Mbowe, mtu huyo atakuwa anawaza nini kichwani mwake? najaribu kuwaza kwa sauti
 
Sote ni mashuhuda kwamba Freeman Aikaeli Mbowe anaungwa mkono na wajumbe wa mkutano mkuu wengi zaidi ya mgombea uenyekiti mwingine yeyote wa chadema, na kwahivyo anakwenda kushinda uchaguzi huu kwa kishindo.

Tayari visingizio kutoka kwa wapambe wa wagombea wanaowafungia wajumbe wao kwenye nyumba za kulala wageni, huku wakikosa kujua ratiba na kinachoendelea kwenye ukumbi wa uchaguzi, wameanza kupiga mayowe ya kushindwa, kanakwamba kuna rafu za uchaguzi hali ya kua wanajitakia wenyewe. Ni vichekesho na makusudi ya kujitakia tu, eti mpaka sasa kuna wajumbe hawajasajiliwa na hawana vitambulisho, wamefungiwa ndani tu.

Prof. Kitila Mkumbo amebainisha wazi kwa umma kupitia vyombo vya habari na mitandao ya kijamii kwmba, Freeman Aikaeli Mbowe hawezi kugombea nafasi ya uongozi ambayo hatashinda.

Ni muhimu sana wadau wa JF na wanachadema kwa ujumla, kuzingatia kauli hii ya kitaalamu kutoka kwa mwanafalsafa huyu wa siasa za Tanzania.

Kila la kheri wajumbe,
Kila la kheri Mbowe na Asanti Lisu kwa kushiriki uchaguzi wa chadema ngazi ya taifa.🐒

Mungu Ibariki Tanzania
Mbowe huyu kibaraka wa ccm? Chawa wa ccm mnahaha sana kumtetea mwenzao
 
Ni muhimu sana Watanzania na wadau wa JF na wanaCHADEMA kwa ujumla kumuweka kwenye maombi huyu mwanafalsafa wa siasa za Tanzania.

Ninaposema kwa KIBALI cha Mungu, namaanisha kuwa, shetani atakapominywa na kutopewa nafasi ya kuvuruga basi KUSUDI la Mungu linatimia. Sisi wanadamu ni kusimama na Mungu kwenye mpango wake bila kukengeuka

Anaungwa mkono na makundi mengi ya wapenda haki na Watanzania kwa ujimla. Hata CCM inatetemeka wanaposikia jina lake na hofu kubwa ni pale atakaposhinda uenyekiti.

Tanzania inahitaji ukombozi wa pili ambapo hapa tumefikishwa na watawala waliojimilikisha nchi ambao hawataki Tanzania ipige hatua za maendeleo kwenye nyanja zote



Kila la kheri wajumbe,

Kila la kheri Tundu Antipas Lisu na Asanti Mbowe kwa kujidhihirisha uhalisia wako na usaliti dhidi ya harakati za ukombozi wa kweli wa nchi yetu



Mungu Ibariki Tanzania
Mungu ibariki CHADEMA
Mungu yupi kwanza maana wanachama wote wana miungu tofauti kina mohammed kibao na lissu sasa hapo tuende na yupi
 
Back
Top Bottom