Pre GE2025 Yanayojiri Uchaguzi Mkuu CHADEMA 2025: Tundu Lissu ashinda nafasi ya Mwenyekiti CHADEMA Taifa kwa Kura 513 sawa na 51.5%

Pre GE2025 Yanayojiri Uchaguzi Mkuu CHADEMA 2025: Tundu Lissu ashinda nafasi ya Mwenyekiti CHADEMA Taifa kwa Kura 513 sawa na 51.5%

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Ni Mbowe au Lissu

  • Mbowe

    Votes: 179 14.7%
  • Lissu

    Votes: 1,038 85.3%

  • Total voters
    1,217
  • Poll closed .
Bado hajaanza kuzungumzia habari za wajumbe kulishwa miguu ya kuku? šŸ˜‚
Hahahha ila huyu jamaa anachekesha umenikumbusha kwenye mdahalo.

Alisema aliwahi kushauri kwenye magroup kuwa maandamano lazima yawe na mikakati vinginevyo hayatakuwa maandamano ya amani bali ni matembezi ya amani.

Halafu lika propose hoja yake kuwa wanawake waende nyumbani kwa spika wa bunge wakiwa maziwa yako wazi.

Yani ni full vichekesho.
 
Back
Top Bottom