Chaliifrancisco
JF-Expert Member
- Jan 17, 2015
- 26,021
- 79,710
Mmmhhh nini hiki mbona BonYai ana kamlima Lema zake anazisambaza au🤣🤣
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Subiri nisikie mshindi ni nani kwanzaUlikuepo? Wewe ni mjumbe? Duh hufanani na haya unayoandika
Nimesema ashinde Lissu au Mbowe CHADEMA itabaki salama. Sasa wewe Sijui mihemko inatoka Wapi. Mimi Yoyote Yule Niko tayari kuendelea kuwa mwanachama wakeUporaji umetokea sababu M/kiti kaishiwa makali! Sasa kwanini apewe miaka mingine tena ya kuongoza
Huoni wewe unayemsupport ndiye mpumbavu
Wajumbe,kumbuka kura ni ya siri.Bado najiuliza hawa watu waliompigia kura Mbowe wametokea wapi?
Ni Watanzania wenzetu kweli?
Ona sasaSubiri nisikie mshindi ni nani kwanza
Hahahaha..ni hatari. Mzee mboye anakimbiza kweli.Lisu hatoboi kura nyingi zinaenda kwa mbowe. Ukiwa na prerha usiangalie wanavohakiki
Wewe kada mtiifu toka enzi na enzi leo kama umetenguliwa sema usijifiche kwenye kichaka cha kuchokoza na kutingisha 😅😅Sijawahi kutumikia cheo au nafasi yoyote kwenye chama au serikalini.
Mimi ni Cocochanel kiboko ya kuchokoza na kutingisha wa JF.
Naona kwa maneno yenu humu.. Roho zenu juu juu
Anzeni kujifunza kuvutia pumzi maana pogo mnalo leo 🤣🤣🤣
Ndio hivyo mamii ndio maana nashangaa miemko ya humu kusema Lissu anashinda wakati huu uchaguzi unapigwa na wanachadema wenyewe sio wananchi kwa ujumla kutokana na Hilo wangeweka akiba ya maneno na bahati mbaya Lissu kapumbazwa na kelele za nje zaidiDah
Basi tena
Kuna mdau amesema kura zingine Lema ameziweka miguuni.Mmmhhh nini hiki mbona BonYai ana kamlima Lema zake anazisambaza au🤣🤣
Wanachama ndio Wajumbe, huwezi kuwatofautisha wanachama na Wajumbe. Hii ni CHADEMA Sio CCMMbowe anakura nyingi mno.
Lissu alichemka kwenye wajumbe.
Wanachama wanamtaka Lissu.
Pesa mwanaharamu.
Crown tvWapo live channel gani?
Mbowe anashinda. Kweli Wenje aliongea sana mambo ya kuwa na pesa. Na umasikini wa wajumbe hawa kibunda lazima kitatembea huko mbeleni kwa waliomrudisha mwamba kitini.Subiri nisikie mshindi ni nani kwanza
Mimi nachoona hapa ni Lema anakwapua kwa kasi sana halafu anatupia mezani hazipangi kama Bon 🤣🤣 sasa kwa angle ya kamera ni ngumu kuona kama anazisambaza au anatupia chini miguuni 🤣🤣Kuna mdau amesema kura zingine Lema ameziweka miguuni.
Najaribu kutafuta angle ya kuzichungulia nakosa, tusaidiane katika hili mkongwe.
Hao wajumbe wanatokea Ulaya?Wajumbe,kumbuka kura ni ya siri.
Imegeuka tena?Sio kuibiwa tena?au ccm na system kuingilia?RUSHWA RUSHWA RUSHWA