Yanayojiri Uchaguzi Mkuu Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo 2023: Felix Tshisekedi atangazwa Mshindi wa Urais

Soon watageuza matokeo
 
Hata Martin Fayulu alishinda ila Felix ndio alitangazwa.

Kwa Afrika mahindi ni anaetangazwa.

Mwisho DRC haiwezi angukia mikononi mwa vibaraka.Rais ni Felix
 
Pamoja na tatizo lake la kiafya uliona alivyoitikisa ccm? Angekuwa na afya njema wizi wa kura ungeshindikana
 
yaani mbowe amshawishi Makonda ahamie Chadema sio 🤣
 
Hata Martin Fayulu alishinda ila Felix ndio alitangazwa.

Kwa Afrika mahindi ni anaetangazwa.

Mwisho DRC haiwezi angukia mikononi mwa vibaraka.Rais ni Felix
hakuna miongoni mwa wagombea zaidi ya 20 pale DRC anaweza mshinda Felix Tshisekedi....

Hawa majamaa yaliwahi kukurupuka uchaguzi wa kenya ivo hivi kwamba ooh raila hivi na vile, uchaguzi ulikua huru sana, tume ilifanya kazi nzuri,
Mwishowe sasa 🤣🤣
 
Bila utashi wa uzalendo Afrika haiwezi kuendelea kiuchumi,Kisayansi,Kijamii kupitia kinachoitwa demokrasia ya vyama vingi..

Demokrasia hii amboyo msingi wake ni Masharti ya Benki ya Dunia/IMF..Lengo lake si kuchochea maendeleo Bali mgawanyiko kurahisisha uchotaji wa rasilimali..mapokeo ya sera,itifaki na mitaala yenye kudumaza fikra Za ubunifu,kujiamini,na kujitawala kifikra na kiutamaduni..

Tunahitaji rutuba kutoka ktk minyororo ya ukoloni mamboleo..
 
Wasimamishe Chuma kama Luhaga Mpina, Dr. Medard Kalemani au Mimi mwenyewe.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…