John Wickzer Mulholland
JF-Expert Member
- Apr 13, 2023
- 6,656
- 14,403
You are completely wrong.Pamoja na matatizo la tume huru lakini wagombea wa vyama vya upinzani nalo ni tatizo lingine.
Siku vyama vya upinzani wakipata akili ya kushawishi viongozi wenye majina toka CCM na wakawasimamisha kuwa wagombea urais ndiyo siku kitatokea kifo cha CCM. Kwa sababu hiyo itasababisha mgawanyiko ndani ya CCM hivyo kundi linalomuunga mkono toka CCM ukijumlisha na wanachama wa upinzani ni lazima CCM ife natural death.
Ni taarifa za vituo vichache. Sio mategemeo kushinda katumbi ila ikitokea sio ajabu. Itakua ni chuki ya raia wengine wa congo mashariki na kusini wanaozungumza kiswahili kupuuzwa ndani ya congo. Wanaweza kuunganika kumuangusha tshisekedi licha jitihada yake ya kufanya alichoweza awamu yake ya kwanza.Taarifa za awali zisizo rasmi za uchaguzi mkuu wa rais na wabunge wa DRC uliyofanyika hivi karibuni unaonysha tajiri Moise Katumbi anaongoza kwa 63.3% ya kura dhidi ya rais anayemaliza muda wake Felix Tshisekedi mwenye 21% ya kura
Chanzo cha habari hiyo ni shirika la habari la rtnc.
Kwa sasa tatizo siyo Tume Huru ya Uchaguzi, Bali tatizo ni Katiba Mbaya iliyopo hivi sasa hapa Tanzania. Wananchi wa Tanzania kwa wingi wetu tunatakiwa tutumie nguvu zetu ili tubadili Katiba hii na tuiweke ya kwetu sisi wenyewe, hapa ndipo utakuwa mwanzo wa mabadiliko mema tuyatakayo.Tanzania sijui ni lini tutakuwa na tume huru ya uchaguzi.
Motema PembeBana Lunda...
Sio lini tutakuwa unakosea mkuu ulitakiwa useme sijui ni kizazi gani kitakuja kuwa na tume huru ya uchaguzisijui ni lini tutakuwa na tume huru ya uchaguzi.
CCM inaogopa TUME HURU na KATIBA MPYA Kama KANSA ya KOOTanzania sijui ni lini tutakuwa na tume huru ya uchaguzi.
Lakini tatizo ni elimu ya uraia huyo aliyekuwa na afya nzuri leo hayupo na huyo waliyekuwa wanasema afya mgogoro yupo mpaka leoPamoja na tatizo lake la kiafya uliona alivyoitikisa ccm? Angekuwa na afya njema wizi wa kura ungeshindikana
Siku utakapokuwa tayari kufa Ili Tume Huru ya Uchaguzi ipatikane. Kama haupo tayari kufa ili kuitetea Tume Huru ya Uchaguzi ipatikane, basi vumilia tu iliyopo iendelee kuwepo.Tanzania sijui ni lini tutakuwa na tume huru ya uchaguzi.
Baba yake Moise Katumbi ni Myahudi!!!Eti moese sio kibaraka 🤣
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]2030 Aziz Rost anaongoza Matokeo ya Urais Bongo!
Matokeo ya kutoka LBB Katanga yanasemaje?Hivi sasa Tchisekede anaongoza
Uwongo 🤣😂Hivi sasa Tchisekede anaongoza
Katumbi haongozi tena kwani?Nasikia Viongozi wa Tume yao ya Uchaguzi huko Bunya wametembezewa kipigo na Wananchi wenye hasira.
inafaa kuanzia wap kwa mfanoBila utashi wa uzalendo Afrika haiwezi kuendelea kiuchumi,Kisayansi,Kijamii kupitia kinachoitwa demokrasia ya vyama vingi..
Demokrasia hii amboyo msingi wake ni Masharti ya Benki ya Dunia/IMF..Lengo lake si kuchochea maendeleo Bali mgawanyiko kurahisisha uchotaji wa rasilimali..mapokeo ya sera,itifaki na mitaala yenye kudumaza fikra Za ubunifu,kujiamini,na kujitawala kifikra na kiutamaduni..
Tunahitaji rutuba kutoka ktk minyororo ya ukoloni mamboleo..