GalileiGalileo
Senior Member
- Nov 19, 2011
- 165
- 225
Unakesha?! Mbona somo lenyewe rahisi sana? Ni neno moja tu, NASA kwenye migongo ya WAREMBO! Ahaaa, nadhani hiyo ndio shida.Aisee binafsi nitajaribu kuwapa ma updates wakuu ila sijui Kama nitapiga hizo kura mazee maana nimekesha nasoma katiba na huyu mbebez[emoji3] [emoji382] [emoji191] [emoji125] View attachment 617314
Kenya bans opposition protests as election crisis deepensUngejua tofauti ya "vyombo vya dola" na "uhalifu wa mitaani" usingetupotezea muda kwenye thread isiyohusika.
Rais Uhuru alizungumzia turevisit uamuzi uliofanywa na Mahakama ili kuangalia kama majaji walitumia vibaya nafasi yao.Kila chombo katika mihimili ya dola kinaangaliwa na kingine kwa mujibu wa Katiba.Hakuna kilichojichimbia chini zaidi.
Mosi, tallying centres zinaruhusiwa kuvipa nafasi vyama kuthibitisha matokeo, alafu unalinganisha kipi hapo?hata Tanzania vyama vina mawakala kila kituo.Kazi ya tallying centre ni kujumlisha kupata kuthibitisha ukweli wa matokeo.Unaikatazaje hiyo?
Pili unazidi kuthibitisha huijui Kenya, unajua polisi walienda kufanya nin kwenye NASA Tallying Centre?bure kabisa.
Hivi wale wa Lowassa walikaa ndani muda gani vile?unalinganisha mchana na usiku.
Sitarudia kukujibu.Endelea kusoma gazeti la Uhuru likupe habari za Kenya.
Nimepotosha kipi mie?nadhan hukumsikia Chebukati kwenye press briefing yake jana usiku japo alitoa taarifa nyingine tena baadae.Acha upotoshaji ile ni estimation tu lakini turnout ni chini ya 40% ssa hyo 48% umeitoa wapi ????
Mbona hata yako ni estimate.Acha upotoshaji ile ni estimation tu lakini turnout ni chini ya 40% ssa hyo 48% umeitoa wapi ????
Babu RAO anazeeka vibaya! Siasa imemshinda anataka kuwaachia wakenya majanga! Alijua hawezi kushinda hivyo kuepusha aibu akaamua kujitoa, shame on him! Wakenya kataeni kuandamana, mwacheni RAO aandamane peke yake kama yeye anaona ni vizuri! Anawatuma kuandamana wakati yeye na watoto wake wakila kuku kwa mrija majumbani mwao huku akijua kabisa baadhi yenu mtauawa!Raila odinga anafanya nini lakini
Wanataka mabadiliko ya KATIBA!Hv Wakenya Wanataka Nini Jaman Tume Ipo Huru , Mahakama Ipo Huru , Ma Rc Na Ma Dc Wanachaguliwa Kwa Kura , Cjui Wanahitaji Nini Zaidi
Updates pleaseWakuu,
Kwa niaba ya JF, nitahakikisha mnafahamu kinachojiri toka hapa Kenya ambapo uchaguzi Mkuu unatarajiwa kufanyika hapo kesho.
Tayari Raila Odinga ametangaza kuwa Muungano wa NASA utakuwa “National Resistance Movement” na kuwataka wakenya kutoshiriki uchaguzi huu ambao amesisitiza ni batili.
Kwa kuanzia, hali ya usalama imeimarishwa kila kona:
========
Oktoba 26, 2017
08:00am
> Vituo vingi vina wapiga kura wachache sana! Hadi muda huu dalili si nzuri kama wananchi watajitokeza kwa wingi
14:00
Mtu mmoja ameuawa huko Kisumu na wengine 8 kujeruhiwa baada ya polisi kukabiliana na wafuasi wa upinzani waliotaka kuvuruga uchaguzi.
Marehemu alikuwa ni kijana mwenye umri wa miaka 19 na alifariki baada ya kupigwa risasi ya paja na kuvuja damu nyingi
View attachment 617579
==========================================
16:30
IEBC yaahirisha uchaguzi Kaunti za Kisumu, Migori, Homa Bay na Siaya mpaka Jumamosi. Kaunti hizo ni ngome ya upinzani.
Hii ni kutokana na hali ya mshike mshike kati ya Polisi na Wapiga kura asubuhi ya leo
> Kisumu, mtu mmoja ameripotiwa kufa na wengine kadhaa kujeruhiwa baada ya wafuasi wa upinzani kupigana na Polisi
> Migori, mtu mmoja amepigwa risasi na kujeruhiwa baada ya watu waliokuwa wakijaribu kuzuia vituo vya kupigia kura kupambana na Polisi. Mtu huyo alipelekwa hospitali ya Migori kwa matibabu
>Homa Bay, kulikuwa hakuna matukio mengi zaidi ya vijana wakijaribu kuzuia watu kupiga kura na viongozi wa IEBC kushindwa kutokea kwenye vituo vya kupigia kura
>Siaya wasiamamizi wavituo vya kupiga kura hawakutokea kabia
17:00
Kura zimeanza kuhesabiwa sehemu ambazo hakuna utata
Si nyie Chadema mnatoa support kwa UhuruKwahiyo akikosea tumchekee tu ?? Anyway niseme wazi tu wakikuyu wanaona wao kma wanahaki sana ya kutawala Kenya ila yote yana mwisho wawaulize watutsi wa Rwanda 1959!
You should also know the favour he did to them. And this is where you gys are heading to, after Uhuru it will be the Moi to take over!What can you say about Mwai Kibaki? He won against Kenyatta+ Moi!
You should know better.
Ndio alisema ni estimation sio final verified figure anyway all in all kenyatta amechaguliwa na wapiga kura nusu ya wote waliojiandikisha Hivyo we can conclude wakenya HAWAKUTAKA uchaguzi wa marudioNimepotosha kipi mie?nadhan hukumsikia Chebukati kwenye press briefing yake jana usiku japo alitoa taarifa nyingine tena baadae.
Tulimsupport sababu ya uhuru wa vyama na demokrasia ila kiukweli haya marudio amefanya kitu cha ajabu sana ingawa ccm au chadema vitampongeza akishinda maana ni lazima waheshimu sovereignty ya wakenya ila uhuru ameaibisha waafrikaSi nyie Chadema mnatoa support kwa Uhuru
Maneno haya yakisema na Magufuli anaonekana anaminya uhuru wa watu kufanya maandamano.Babu RAO anazeeka vibaya! Siasa imemshinda anataka kuwaachia wakenya majanga! Alijua hawezi kushinda hivyo kuepusha aibu akaamua kujitoa, shame on him! Wakenya kataeni kuandamana, mwacheni RAO aandamane peke yake kama yeye anaona ni vizuri! Anawatuma kuandamana wakati yeye na watoto wake wakila kuku kwa mrija majumbani mwao huku akijua kabisa baadhi yenu mtauawa!
RAO Kapigwa sana mabomu kipindi wanammg'oa Isaac hassanBabu RAO anazeeka vibaya! Siasa imemshinda anataka kuwaachia wakenya majanga! Alijua hawezi kushinda hivyo kuepusha aibu akaamua kujitoa, shame on him! Wakenya kataeni kuandamana, mwacheni RAO aandamane peke yake kama yeye anaona ni vizuri! Anawatuma kuandamana wakati yeye na watoto wake wakila kuku kwa mrija majumbani mwao huku akijua kabisa baadhi yenu mtauawa!