Yanayojiri: Uchaguzi wa Marudio Kenya - Oktoba 26, 2017

Yanayojiri: Uchaguzi wa Marudio Kenya - Oktoba 26, 2017

Ungejua tofauti ya "vyombo vya dola" na "uhalifu wa mitaani" usingetupotezea muda kwenye thread isiyohusika.

Rais Uhuru alizungumzia turevisit uamuzi uliofanywa na Mahakama ili kuangalia kama majaji walitumia vibaya nafasi yao.Kila chombo katika mihimili ya dola kinaangaliwa na kingine kwa mujibu wa Katiba.Hakuna kilichojichimbia chini zaidi.



Mosi, tallying centres zinaruhusiwa kuvipa nafasi vyama kuthibitisha matokeo, alafu unalinganisha kipi hapo?hata Tanzania vyama vina mawakala kila kituo.Kazi ya tallying centre ni kujumlisha kupata kuthibitisha ukweli wa matokeo.Unaikatazaje hiyo?

Pili unazidi kuthibitisha huijui Kenya, unajua polisi walienda kufanya nin kwenye NASA Tallying Centre?bure kabisa.

Hivi wale wa Lowassa walikaa ndani muda gani vile?unalinganisha mchana na usiku.

Sitarudia kukujibu.Endelea kusoma gazeti la Uhuru likupe habari za Kenya.
Kenya bans opposition protests as election crisis deepens

Hii iliyopiga marufuku maandamano ya wananchi ni nchi gani?, kama unasema yaliyofanywa Kenya walifanywa na wahalifu sio vyombo vya dola, kwanini Lisu, Roma na Ben Sanane hukubali kwamba waliotenda walikua wahalifu sio vyombo vya dola

Kuhusu hizo tallying centre uliyoyasema wewe ni mapendekezo yako, haina maana kwamba mapendekezo yako ni correct, ninachokiona hapa ni kwamba hujui lolote kuhusiana na nchi ya Kenya, hujishangai kwamba vyombo vyote vya kimataifa vimeiona Kenya ni nchi isiyo na uhuru wa press wewe unapingana na dunia nzima eti kwa sababu kichwa chake kinafikiria tofauti, mtu gani wewe unayepingana na watu waliokusanya data za kisayansi zinazokubalika dunia nzima?, akili yako ni hovyo kabisa wewe.
 
Acha upotoshaji ile ni estimation tu lakini turnout ni chini ya 40% ssa hyo 48% umeitoa wapi ????
Nimepotosha kipi mie?nadhan hukumsikia Chebukati kwenye press briefing yake jana usiku japo alitoa taarifa nyingine tena baadae.
 
Are Kenyans ready to move on? Kenya's silent majority has spoken - emphatic NO. Business as usual hapana.
 
Raila odinga anafanya nini lakini
Babu RAO anazeeka vibaya! Siasa imemshinda anataka kuwaachia wakenya majanga! Alijua hawezi kushinda hivyo kuepusha aibu akaamua kujitoa, shame on him! Wakenya kataeni kuandamana, mwacheni RAO aandamane peke yake kama yeye anaona ni vizuri! Anawatuma kuandamana wakati yeye na watoto wake wakila kuku kwa mrija majumbani mwao huku akijua kabisa baadhi yenu mtauawa!
 
Wakuu,

Kwa niaba ya JF, nitahakikisha mnafahamu kinachojiri toka hapa Kenya ambapo uchaguzi Mkuu unatarajiwa kufanyika hapo kesho.

Tayari Raila Odinga ametangaza kuwa Muungano wa NASA utakuwa “National Resistance Movement” na kuwataka wakenya kutoshiriki uchaguzi huu ambao amesisitiza ni batili.

Kwa kuanzia, hali ya usalama imeimarishwa kila kona:

f92f3fd0905656dc85de6495a1c2e775.jpg


8e187fd65acf034e3193f8bc6312cae8.jpg


========
Oktoba 26, 2017

08:00am
> Vituo vingi vina wapiga kura wachache sana! Hadi muda huu dalili si nzuri kama wananchi watajitokeza kwa wingi

14:00
Mtu mmoja ameuawa huko Kisumu na wengine 8 kujeruhiwa baada ya polisi kukabiliana na wafuasi wa upinzani waliotaka kuvuruga uchaguzi.

Marehemu alikuwa ni kijana mwenye umri wa miaka 19 na alifariki baada ya kupigwa risasi ya paja na kuvuja damu nyingi

View attachment 617579
==========================================

16:30
IEBC yaahirisha uchaguzi Kaunti za Kisumu, Migori, Homa Bay na Siaya mpaka Jumamosi. Kaunti hizo ni ngome ya upinzani.

Hii ni kutokana na hali ya mshike mshike kati ya Polisi na Wapiga kura asubuhi ya leo

> Kisumu, mtu mmoja ameripotiwa kufa na wengine kadhaa kujeruhiwa baada ya wafuasi wa upinzani kupigana na Polisi

> Migori, mtu mmoja amepigwa risasi na kujeruhiwa baada ya watu waliokuwa wakijaribu kuzuia vituo vya kupigia kura kupambana na Polisi. Mtu huyo alipelekwa hospitali ya Migori kwa matibabu

>Homa Bay, kulikuwa hakuna matukio mengi zaidi ya vijana wakijaribu kuzuia watu kupiga kura na viongozi wa IEBC kushindwa kutokea kwenye vituo vya kupigia kura

>Siaya wasiamamizi wavituo vya kupiga kura hawakutokea kabia

17:00

Kura zimeanza kuhesabiwa sehemu ambazo hakuna utata
Updates please
 
What can you say about Mwai Kibaki? He won against Kenyatta+ Moi!

You should know better.
You should also know the favour he did to them. And this is where you gys are heading to, after Uhuru it will be the Moi to take over!
 
Nimepotosha kipi mie?nadhan hukumsikia Chebukati kwenye press briefing yake jana usiku japo alitoa taarifa nyingine tena baadae.
Ndio alisema ni estimation sio final verified figure anyway all in all kenyatta amechaguliwa na wapiga kura nusu ya wote waliojiandikisha Hivyo we can conclude wakenya HAWAKUTAKA uchaguzi wa marudio
 
Babu RAO anazeeka vibaya! Siasa imemshinda anataka kuwaachia wakenya majanga! Alijua hawezi kushinda hivyo kuepusha aibu akaamua kujitoa, shame on him! Wakenya kataeni kuandamana, mwacheni RAO aandamane peke yake kama yeye anaona ni vizuri! Anawatuma kuandamana wakati yeye na watoto wake wakila kuku kwa mrija majumbani mwao huku akijua kabisa baadhi yenu mtauawa!
Maneno haya yakisema na Magufuli anaonekana anaminya uhuru wa watu kufanya maandamano.
 
Babu RAO anazeeka vibaya! Siasa imemshinda anataka kuwaachia wakenya majanga! Alijua hawezi kushinda hivyo kuepusha aibu akaamua kujitoa, shame on him! Wakenya kataeni kuandamana, mwacheni RAO aandamane peke yake kama yeye anaona ni vizuri! Anawatuma kuandamana wakati yeye na watoto wake wakila kuku kwa mrija majumbani mwao huku akijua kabisa baadhi yenu mtauawa!
RAO Kapigwa sana mabomu kipindi wanammg'oa Isaac hassan

Kapigwa kipindi anapambana na Moi hadi alikuwa castrated

Kapigwa kipindi anapigania Katiba mpya

Hivi torture gani ambayo RAO hajaipata mbele ya mikono ya watawala???

RAO uchaguzi ukiwa huru na haki anashinda huezi understimate a person who had 7 million votes more so rigged!! Kwa ufupi wakikuyu mmemtesa sana huyu mjaluo ila yanamwisho haya na huyo mkalenjin kibaraka wenu hatokaa aingie ikulu 2022 utakuja niambia hapa

Damu ya ouku na tom mboya itawaandama daima nyie watawala
 
Back
Top Bottom