Yanayojiri: Uchaguzi wa Marudio Kenya - Oktoba 26, 2017

Stop press. So much misunderstanding about opening servers! In simple terms give read privileges to iebc database via fancy SQL statements.
 
Bora uitwe mchichezi lakini sio kuua watu kama anavyo fanya Uhuru ...mtu akileta fyoko tu ni risasi ya moto...hakuna cha amejitahidi labda kajitahidi kuua watu...
 
Uhuru anachokifanya ni kuua tu ili kuwaogopesha muache kumpinga na amefanikiwa maana naona waknya wametulia wamekubali yaishe chakufia nini wamuachie tu hayo madaraka anayoyataka!!
 
Rafiki ulishawahi kujiibia mwenyewe!!
Naona Uhuru anajitekenya na kucheka mwenye...yaani uchaguzi uliopita watu walijitokeza kwa wingi lakini akapata kura 8m awamu hii IEBC wenyewe wanakili watu ni wachache lakini kapata kura7m hao watu wanatoka wapi?!
 
ikitokea kama ya Jecha. ujue marudio yatakuwa hovyo kuliko uchaguzi wa awali.
Hapana sio issue ya Jecha ...namaanisha kususa kwa Raila(Cuf) ni furaha kwa Kenyatta(ccm) ...NA maisha yatasonga kama ilivyo Zenj kwa sasa
 
Naona Uhuru anajitekenya na kucheka mwenye...yaani uchaguzi uliopita watu walijitokeza kwa wingi lakini akapata kura 8m awamu hii IEBC wenyewe wanakili watu ni wachache lakini kapata kura7m hao watu wanatoka wapi?!
would it be so hard to get verified info instead of drawing data straight from your cunt?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…