Yanayojiri: Uchaguzi wa Marudio Kenya - Oktoba 26, 2017

Yanayojiri: Uchaguzi wa Marudio Kenya - Oktoba 26, 2017

Stop press. So much misunderstanding about opening servers! In simple terms give read privileges to iebc database via fancy SQL statements.
 
Kwenye uhuru wa vyama anajitahidi Coz mpka ssa sijaona Raila akiitwa mchochezi au musyoka kuwekwa selo !! hapo Sna shida nae ila lawama zinaenda kwa IEBC maana ndio wamesababisha yote haya ila kwa kenyatta namlaumu sio kwa sababu kakiuka misingi ya demokrasia (maana naamini kma Tume ingekuwa huru na kujirekebisha kma mahakama sioni wapi uhuru angekataa matokeo)

Hivyo mmi namlaumu pia uhuruvkwa jinsi alivyohandle suala hili ...... alipaswa akae meza moja na odinga na waone namna ya kuvuka uchaguzi huu nchi ikiwa moja ssa yye badala ya kuunganisha nchi amezidi kuigawa

namheshimu uhuru ila kwa hili AMEAIBISHA waafrika
Bora uitwe mchichezi lakini sio kuua watu kama anavyo fanya Uhuru ...mtu akileta fyoko tu ni risasi ya moto...hakuna cha amejitahidi labda kajitahidi kuua watu...
 
Ahsante kaka, hiyo tume bandia tumechoshwa nayo. Nashangaa jinsi baadhi ya wenzenu wamepigwa chenga na hilo. Ni sawa na kumteua fisi awe mchungaji wa kondoo/mbuzi wako. Feki kabisa wamekataliwa kila kona la nchi. Kwa maoni ya wengi hapa mashinani nilipo Mombasa, tunaelekea kurudi enzi za udikteta na uongozi wa kifalme baada ya masiku tu. Mtuombee wabongo tumefika pabaya
Uhuru anachokifanya ni kuua tu ili kuwaogopesha muache kumpinga na amefanikiwa maana naona waknya wametulia wamekubali yaishe chakufia nini wamuachie tu hayo madaraka anayoyataka!!
 
Rafiki ulishawahi kujiibia mwenyewe!!
Naona Uhuru anajitekenya na kucheka mwenye...yaani uchaguzi uliopita watu walijitokeza kwa wingi lakini akapata kura 8m awamu hii IEBC wenyewe wanakili watu ni wachache lakini kapata kura7m hao watu wanatoka wapi?!
 
ikitokea kama ya Jecha. ujue marudio yatakuwa hovyo kuliko uchaguzi wa awali.
Hapana sio issue ya Jecha ...namaanisha kususa kwa Raila(Cuf) ni furaha kwa Kenyatta(ccm) ...NA maisha yatasonga kama ilivyo Zenj kwa sasa
 
Naona Uhuru anajitekenya na kucheka mwenye...yaani uchaguzi uliopita watu walijitokeza kwa wingi lakini akapata kura 8m awamu hii IEBC wenyewe wanakili watu ni wachache lakini kapata kura7m hao watu wanatoka wapi?!
would it be so hard to get verified info instead of drawing data straight from your cunt?
 
Back
Top Bottom