joto la jiwe
JF-Expert Member
- Sep 4, 2017
- 26,117
- 46,617
Jibu hoja zangu ninazozijenga, hapa ni mwendo wa hoja usilete uchama, udini wala ukabila, jenga hoja tupambane kwa hojaUkiwa muongo usiwe msahaulifu nakuona unang'ata na kupuliza, pole sana lumumba boy
Hahahahaha mecheka mbayaa uzalendo tz??? hahahah watu wanapenda ubwabwa aseee ukianzisha maandamano unaandamana mwenyewe.. Kifup tz kila mtu anapambana na Hali yakeUnajitoa sadaka kupigania haki katika nchi yako,
Huo ni uzalendo tosha, kufa na kupigania kwa ajili ya watanzania wenzako.
[emoji14] 😀
Haitatokea Kwa Jina la Yesu!!! Shetwani apite mbali nasiponda raha ni wakati wenu.ila siku ukianza kusaga meno akili zitakurudia.
Wakuu,
Kwa niaba ya JF, nitahakikisha mnafahamu kinachojiri toka hapa Kenya ambapo uchaguzi Mkuu unatarajiwa kufanyika hapo kesho.
Tayari Raila Odinga ametangaza kuwa Muungano wa NASA utakuwa “National Resistance Movement” na kuwataka wakenya kutoshiriki uchaguzi huu ambao amesisitiza ni batili.
Kwa kuanzia, hali ya usalama imeimarishwa kila kona:
========
Oktoba 26, 2017
08:00am
> Vituo vingi vina wapiga kura wachache sana! Hadi muda huu dalili si nzuri kama wananchi watajitokeza kwa wingi
14:00
Mtu mmoja ameuawa huko Kisumu na wengine 8 kujeruhiwa baada ya polisi kukabiliana na wafuasi wa upinzani waliotaka kuvuruga uchaguzi.
Marehemu alikuwa ni kijana mwenye umri wa miaka 19 na alifariki baada ya kupigwa risasi ya paja na kuvuja damu nyingi[/QUOT
Tuwaombee wakenya
[emoji23] [emoji23] [emoji23] Magu hataki ujingaAsante kwa kuniongezea siku maana nimecheka mbavu zinauma, eti hata mgomo wako mwenyewe.
Hilo ndo La msingi.Tatizo la waafrika hasa watz ukijitolea kwa ajili yao bado hawataonesha ushirikiano zaidi ya kukucheka na kujitenga,
😀 bora kila mtu apambane na hali yake,
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]were are my votes??????????????????????????
ndo wakenya wameandika hivyo?hawa ambao hujifanya wanajua jua kiingereza? it should be "where are my votes?
Huko hamuwezi huu mtiti, hebu niambie kama Lowassa au Mbowe athubutu kufanya anayoyafanya Odinga, atanyofolewa maken.de na viungo kama albino. Huko muendelee kuishi hivyo labda mtaokolewa siku ya kiama.
Niache kuangalia Habari kama hivi Jf huku nakula birianiHahahahaha mecheka mbayaa uzalendo tz??? hahahah watu wanapenda ubwabwa aseee ukianzisha maandamano unaandamana mwenyewe.. Kifup tz kila mtu anapambana na Hali yake
Massive boycott. Big mistake Jubilee kulazimisha uchaguzi. Kenyans have spoken emphatically.Marsabit had 90% vote to uhuru on august 8th less than 700 votes have been cast today in the whole county...
How did Uhuru win Elections again??
Usidhani damu ya mtu ni rahisi kama unaua panya! Chunga kinywa chako kilichojaa laana.Wakenya wawe na akili zao wenyewe sasa,
Hii kichwa moja tu ya Laila Odinga ndio inasababisha watu baadhi wanauwawa
Na huyu jamaa yake Uhuru, siwamsacrifice mmoja amani iwepo.
Wasitusumbue vichwa.
Yeah, they have spoken emphatically through their democratic right to vote. 6million votes cast by 01:30pm. Swallow that!Massive boycott. Big mistake Jubilee kulazimisha uchaguzi. Kenyans have spoken emphatically.
uhuruto tano tenaMarsabit had 90% vote to uhuru on august 8th less than 700 votes have been cast today in the whole county...
How did Uhuru win Elections again??
Hahaha! No errection?Aisee binafsi nitajaribu kuwapa ma updates wakuu ila sijui Kama nitapiga hizo kura mazee maana nimekesha nasoma katiba na huyu mbebez[emoji3] [emoji382] [emoji191] [emoji125] View attachment 617314
Is it from electronical system counting? If so,we might know the results by sunset!Yeah, they have spoken emphatically through their democratic right to vote. 6million votes cast by 01:30pm. Swallow that!
kwani hizo maiti haziwezi tokea mwambao wa kenya na kusukumwa hadi kwetu.Wenzetu wanasababu nyingi za kupotezana, vita ya magaidi,presha ya uchaguzi,ukabila.....,...Wewe nawe acha kudanganya watu kha! Maiti zinazokotwa kama ni wa Ethiopia ni aje wameshindwa kutambulika kwa utaifa wao sasa ndugu watoke Ethiopia kuja kuwatambua? Balozi ya Ethiopia ipo wamepewa hiyo taarifa?
Ben Saanane Chadema wamelizungumza hili jambo hadharani serikali ipo kimya Lissu ni vile alidhulumiwa hadharani mchana
Usiwadhihaki Wakenya wakati ukijua hata Tz Hali si shwari. Kenya Mungu awasimamie awaepushe na kikombe hiki! Tunawaombea!