Sidhani lakini anything is possible. Mungu awarehemu tu!kwani hizo maiti haziwezi tokea mwambao wa kenya na kusukumwa hadi kwetu.Wenzetu wanasababu nyingi za kupotezana, vita ya magaidi,presha ya uchaguzi,ukabila.....,...
Mzee tunawaombea mpite salama katika kipindi kigumu. Hakuna anayependa machafuko labda shetani. Mkishamaliza uchaguzi salama tunaomba muanze kuumaliza ukabila. Hiyo sumu inaendekezwa sana na haina mashiko katika karne hii. Walau mjitahidi kuoleana, ingawa najua mwanamke wa Gikuyu bado anaogopa Mkono wa Sweta!
Wewe nawe acha kudanganya watu kha! Maiti zinazokotwa kama ni wa Ethiopia ni aje wameshindwa kutambulika kwa utaifa wao sasa ndugu watoke Ethiopia kuja kuwatambua? Balozi ya Ethiopia ipo wamepewa hiyo taarifa?
Ben Saanane Chadema wamelizungumza hili jambo hadharani serikali ipo kimya Lissu ni vile alidhulumiwa hadharani mchana
Usiwadhihaki Wakenya wakati ukijua hata Tz Hali si shwari. Kenya Mungu awasimamie awaepushe na kikombe hiki! Tunawaombea!
Maybe tommorow hopefully, inshallah.Is it from electronical system counting? If so,we might know the results by sunset!
Si ni mkono wa sweta, we vipi?Mkono wa sweta ndio nini vile?
Si ni mkono wa sweta, we vipi?
I like your sense of humour!Yeah, they have spoken emphatically through their democratic right to vote. 6million votes cast by 01:30pm. Swallow that!
Ahaa, sasa naona tuko pamoja jombaa. Kwani Govinder alifanya nini na mkono wa sweta yake? πππUle wa sweta la star wa kihindi govinda?[emoji124][emoji124]
Sasa wewe unaharibu hali ya hewa hapa ,Aisee binafsi nitajaribu kuwapa ma updates wakuu ila sijui Kama nitapiga hizo kura mazee maana nimekesha nasoma katiba na huyu mbebez[emoji3] [emoji382] [emoji191] [emoji125] View attachment 617314
Haha sawa mkuu.Sasa wewe unaharibu hali ya hewa hapa ,