zitto junior
JF-Expert Member
- Oct 7, 2013
- 20,537
- 31,729
Sasa sheria si inaruhusu kma magufuli hapendi si afute hiyo haki kwa vyama vya siasa!! Na kma waandamanaji hawana silaha hawafanyi vurugu what's so hard kuruhusu?? Mbona ya kumpongeza magufuli hawakuzuia????Maneno haya yakisema na Magufuli anaonekana anaminya uhuru wa watu kufanya maandamano.
Magufuli naye walewale tu