Yanayojiri: Uzinduzi wa mbio za Mwenge wa uhuru 2021, Umewashwa na makamu wa pili wa Rais Zanzibar utakimbizwa siku 150!

Usifananishe Olympic na hii jimshumaa lenu la kienyeji.

Olympic ilo pale kwa lengo la kuibua vipaji mbalimbali hasa vya michezo yote dunia nzima.

Nikuulize wewe,
Huo mwenge Wako unawashwa na kutembezwa kwa lengo gani
Sasa kama hujui unawashwa kwa malengo gani sasa umepata wapi sababu za kusema ni ushirikina??
 
Kiroho zaidi!
 

Bado Tu hii ibada ya washirikina haijafa?
 
Mwenge ni haramu kwa Wazanzibari kwanza hauwahusu sio katika mila na desturi zao,viereje mkauleta kuwashwa Zanzibar,iwe mwanzo na mwisho kuitia nuksi Nchi yetu ya Zanzibar,hayo mambo ya moto ni huko kwa mabaguwani .
 
Tena ni tukio la hovyo kabisa
 
Mwenge ni haramu kwa Wazanzibari kwanza hauwahusu sio katika mila na desturi zao,viereje mkauleta kuwashwa Zanzibar,iwe mwanzo na mwisho kuitia nuksi Nchi yetu ya Zanzibar,hayo mambo ya moto ni huko kwa mabaguwani .
Tutawafukuza huku kwenye ardhi yetu
 
Aliyekusema vibaya hapo juu alikuwa sahihi na sidhani kama anahitaji kukuomba radhi.
Usifananishe Olympic na hii jimshumaa lenu la kienyeji.

Olympic ilo pale kwa lengo la kuibua vipaji mbalimbali hasa vya michezo yote dunia nzima.

Nikuulize wewe,
Huo mwenge Wako unawashwa na kutembezwa kwa lengo gani
 
Umerudishwa tena? sasa kama tunajali afya za watu nadhani ilikuwa ni wakati muafaka kutokuukimbiza, kwa sababu kwenye msongamano huko ndiko magonjwa yote yatapatikana hasa ukimwi na c-19 🙄
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…