Moronight walker
JF-Expert Member
- Aug 3, 2021
- 3,103
- 4,704
Kumbe hata maji na umeme wanapewaHakuna Cha kulaani hapo nani Mkorofi Yani unaenda kuvamiwa Taifa ambalo limekuzidi Kila kitu mbaya zaidi Kila huduma za jamii wanakupa wao!! Ngoja wapigwe maana wao ndo wamechokoza.
Kwanini mmewafungia na outside world kwa miaka mingi?Kumbe hata maji na umeme wanapewa
Ila kilichofanywa na hamas ni sahihi?Kinachiendelea huko gaza ni uhalifu na ukatili mkubwa dhidi ya binadamu. Kinachofanywa na jeshi la israel ni uhalifu wa kivita na ni ukatili wa kibinadamu. Jumuiya za kimataifa ziingilie kati huu unyama unaoendelea kule kufanywa kule gaza dhidi ya watoto na wamama wa kipalestina.
Nimeona video nyingi za kuogofya na kusikitisha. Hii nguvu waalotumia jeshi la israel dhidi ya raia wa kipalestina ni kubwa mno. Tuyalaani matukio ya kinyama yanayofanywa na jeshi israel kwa raia wa palestina.
UN watafanya nini kwa ugomvi ambao hupo kabla Yesu hajazaliwa na ata alipozaliwa bado aliuacha.Hao hawajaanza leo kupigana,ata Goliati aliyepambana na Daudi pia ni uzao wa Kipalestina(Wafilisti).Sasa nani wa kuamulia ugomvi huo?Kufuatia Al Qasam kuchimba Mkwara wa kuchinja mateka takribani 100 inaowashikilia Israel imesema haijali kichapo kiko pale pale
Source Al jazeera news
Hatari sana UN mko wapi?
Aaaaa kadili za kushindwaHamas wamesema kama Israel itaendelea kuua raia wao basi wataanza kuwachinja mateka wa Israel live. Huu ndo ugaidi wenyewe sasa
Kinachoendeleaa sasa ni hatari SanaUislamu wa itikadi kali aghalabu huzaa ugaidi. Pia tunaweza kusema ugaidi unapata uhalali(au unahalalishwa) kupitia Islam.
Kitu cha kusikitisha idadi kubwa ya waislamu ndio wahanga wa ugaidi.
?????Kwanini mmewafungia na outside world kwa miaka mingi?
Kuna utofauti wowote?Kuna utofauti gani Wabeba mabomu na waislam???
Kanaani (Palestina) vs IsraeliUN watafanya nini kwa ugomvi ambao hupo kabla Yesu hajazaliwa na ata alipozaliwa bado aliuacha.Hao hawajaanza leo kupigana,ata Goliati aliyepambana na Daudi pia ni uzao wa Kipalestina(Wafilisti).Sasa nani wa kuamulia ugomvi huo?
Sent from my V2111 using JamiiForums mobile app
Addition Na walirudi kupitia mashirika yao Zionism na ile siyo Aridhi ya Palestine ni aridhi Ya Israel Mkuu.Mkuu mimi navyojua Waisrael walimkana yesu. Wasasa wakasema laana na iwe juu yetu na vizazi vyetu vyote kwa sababu hawakuamini yesu ni masihi.
Laana ile ilipelekea mpk warumi kuvamia yerusalem na kuuwa Waisrael. Biblia ilieleza hilo mpk watu wakaanza kuloweka ngozi na kuuwa watoto ili wapate chakula.
Sasa baada ya warumi kuvamia pale Waisrael karibu wote walitawanyika dunia mzima. Pale walibaki wachache sana.
Walipo enda duniani huko still walikuwa wanauwawa sana kila sehemu moja wapo ni hilter aliuwa 6 million Jewish.
Baada ya vita vya dunia. Jumuia ya umoja wa mataifa ikaona hawa watu hawana nchi basi wawarudishe pale walipotoka.
Waliwarudisha wakawakuta wapalestina sasa nao wakawakatibisha na kuwapa ardhi kidogo. Waisrael baada ya kupata nguvu wakaanza kuwapola wapalestina ardhi yao.
Ndo maana walipo rudi wakaamua kubeba yoteAddition Na walirudi kupitia mashirika yao Zionism na ile siyo Aridhi ya Palestine ni aridhi Ya Israel Mkuu.
Hapo wana fanya Air raid kwa kupiga Target za Hamas, alafu baada ya hapo inaanza ground invasion kwa kutumia vifaru, hii ground invasion ndo inaenda kusafisha kila kitu hapo Gaza.Naona taifa teule badala wawafuate hamas kwenye medani hasira zote wana zihamishia kwenye majengo na kwenye kambi za wakimbizi kweli Israel ina jeshi michicha sana.
Huyo Jamaa Hana anacho waza Yani, hoja Hana amebaki matusi tu1st, Majimaji war was very different from this war.
2nd, Siwez kutafakari kitu chochote unachoniambia ww.
3rd, Broo alaf nishakwambia siwez kufanya mazungumzo na mtu kama ww, unatukana tukana watu JF kama vile hutumii akili, pita kushoto.
Washaanza tangu jana. Halafu Muyahudi wala hata habahatishi, anapiga majengo ambayo ana taarifa nayo kuwa yanajihusisha na hamas, tena anatuma meseji kwanza (sms) kuwajulisha wakazi waondoke.Palestina inavyo chakazwa. Soon wataanza kupost picha za watoto waliokufa ili dunia iwaonee huruma. Vita haina macho
View attachment 2777083