LIVE Yanayojiri vita ya Israel dhidi ya Palestina na HAMAS

LIVE Yanayojiri vita ya Israel dhidi ya Palestina na HAMAS

Live coverage on JamiiForums
FaizaFoxy kimsboy nk mchongo huo mkawapiganie ndugu zenu katika imani
View attachment 2777015
God Bless Israel

images.jpeg
 
Al Qasam imetoa onyo la mwisho kwa Israel kwamba itachinja mateka mmoja baada ya mwingine kwa kila shambulio litakalofanywa na Israel Bila tahadhari

Uchinjaji huo utarekodiwa na kurushwa kwa Dunia Nzima, wamesema

Source Al jazeera news


Cowards, they knew hawawezi lolote, ndo maana wakakimbilia kuteka, they are weak, and stupidy.
 
Imagine umetekwa na unapewa HIYO taarifa kwamba kila shambulio litamaanisha kuchinjwa kwa kukatwa shingo na kisu na ndio mwisho wa wewe kuwa hai hapa duniani unaondoka duniani kwa maumivu makali sana hata kale ka imani ka kubadilishana wafungwa hakapo tena POW SWAP DEAL hivyo kufa wewe ni 100% kinyama na kikatili kisu kinapenya shingo na macho kuanza kuona giza na hatimaye unaanza kujisaidia na kukojoa kwa maumivu makali ya kisu kukata mifupa duuuuuuuh.
Da inatia huruma sana

Sent from my SM-A013G using JamiiForums mobile app
 
Waisraeli walisha mkataa ndugu Yao Yesu Kristo.

Na kumtangaza kuwa ni adui wa Waisraeli.

Muwaache wafe hadi akili itakapo wakaa sawa.

Nchi Takatifu inamkataa Yesu Kristo na kuwakubalia Mashoga.

Waacheni hao mizoga wafe wazikwe.

Mathayo (Mat) 8:22
Lakini Yesu akamwambia, Nifuate; waache wafu wazike wafu wao. <br><br> But Jesus said unto him, Follow me; and let the dead bury their dead.
 
Sikutaka kuiweka ila ngoja nikuwekee! Hii vita imefikia pabaya!

Abu Obaidah Hamas Spox:

Obaidah: We have decided to put an end to the Zionist opression of our people

Obaidah: From now on, every attack on our people will be met with the execution of one of the enemy hostages, which will be broadcast and publicised
Nimeiona hii mbona, we unadhani hadi sasa Israel wanajali??
Alaf hamas ikifanya hivo itajiwekea sifa mbaya zaidi.
We unaonaje?? Au fresh tuu wachinje watu hadharani?
 
Al Qasam imetoa onyo la mwisho kwa Israel kwamba itachinja mateka mmoja baada ya mwingine kwa kila shambulio litakalofanywa na Israel Bila tahadhari

Uchinjaji huo utarekodiwa na kurushwa kwa Dunia Nzima, wamesema

Source Al jazeera news


Tatizo la Israel hawasikilizi watu mpaka matatizo yatokee
 
Sikutaka kuiweka ila ngoja nikuwekee! Hii vita imefikia pabaya!

Abu Obaidah Hamas Spox:

Obaidah: We have decided to put an end to the Zionist opression of our people

Obaidah: From now on, every attack on our people will be met with the execution of one of the enemy hostages, which will be broadcast and publicised
Hii hatari nafikili ndo itaongeza chuki zaidi.
Naona hata nchi za Kiarabu wameona itakuwa hatari zaidi.
 
Ila kilichofanywa na hamas ni sahihi?
Kuvamiwa na kuua raia 600 ambao ht hawahusiki na mambo Yao ?
Kwahiyo Israel akae kimya km fala?
Hao raia walikuwa kwenye ardhi ya wapalestina inayo kaliwa kwa mabavu.
 
Iwe wanampinga kristo hawampingi haiondoi au kubadirisha ambacho Mungu alisema!
Neno la Mungu halibadiriki!
Lkn pia Israel Kuna dini kibao km nchi nyingine..
kwenye mgogoro huu, mtu ukitaja na hoja za maandiko ya dini yoyote ile, tayari ushapoteza mantiki
 
Kuna kitu kinaitwa Rules of Engagement ni pamoja na kutoua mateka.

Lakini tatizo ni kwamba hivi vikundi vya Kigaidi havifuati sheria zozote sote tunakumbuka ISIS ilipowakamata Mashia wa Iraq na kuwachinja pembeni ya Mto.

Modus Operandi ya Gaidi ni kuingiza Hofu kwa yeyote yule.


Hizi ni kwa majeshi Hamas sio jeshi tatizo ni hapo
 
Wewe myahudi wa iyunga hao waisraeli wenyewe wanampinga christo hapa sasa hivi wanashambulia makanisa yaliyopo gaza
Wamekariri Waisrael ni wakristo wote..na wamekariri Wapalestina ni Waislam wote. Ndio shida ya ushabiki bila ufahamu...
 
Hapo wana fanya Air raid kwa kupiga Target za Hamas, alafu baada ya hapo inaanza ground invasion kwa kutumia vifaru, hii ground invasion ndo inaenda kusafisha kila kitu hapo Gaza.
Mna subiriwa kwa hamu sana ila kupiga kambi za wakimbizi sio poa.
 
Mkuu mimi navyojua Waisrael walimkana yesu. Wasasa wakasema laana na iwe juu yetu na vizazi vyetu vyote kwa sababu hawakuamini yesu ni masihi.

Laana ile ilipelekea mpk warumi kuvamia yerusalem na kuuwa Waisrael. Biblia ilieleza hilo mpk watu wakaanza kuloweka ngozi na kuuwa watoto ili wapate chakula.

Sasa baada ya warumi kuvamia pale Waisrael karibu wote walitawanyika dunia mzima. Pale walibaki wachache sana.

Walipo enda duniani huko still walikuwa wanauwawa sana kila sehemu moja wapo ni hilter aliuwa 6 million Jewish.

Baada ya vita vya dunia. Jumuia ya umoja wa mataifa ikaona hawa watu hawana nchi basi wawarudishe pale walipotoka.
Waliwarudisha wakawakuta wapalestina sasa nao wakawakatibisha na kuwapa ardhi kidogo. Waisrael baada ya kupata nguvu wakaanza kuwapola wapalestina ardhi yao.
Kabla ya 1947, taifa linaloitwa Israel, lilikuwa wapi katika hii dunia?
 
Nimeiona hii mbona, we unadhani hadi sasa Israel wanajali??
Alaf hamas ikifanya hivo itajiwekea sifa mbaya zaidi.
We unaonaje?? Au fresh tuu wachinje watu hadharani?
Wakifanya hivyo naona watajijengea sifa mbaya zaidi.
Israel sidhana kama watajari maana wanajua watu wao wapo Gaza na still wana heavy 💥 huku Gaza. Naona hawajari tena kuhusu hilo.

Nafikili hamas wanafanya hivyo wameona itakuwa ngumu zaidi kwao kufanikiwa hio mission yao.
Maana naona hata Saudi wanaanza kugeuka.
 
Back
Top Bottom