SSEKK The Literally
JF-Expert Member
- Sep 5, 2023
- 1,134
- 1,905
Yetu macho nmeona clips zao watia huruma kwa kwelYes
Tena Kuna watu humu wanewasifia kwamba Wana nguvu watawamaliza isarel
Nasubiri Israel imalizwe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yetu macho nmeona clips zao watia huruma kwa kwelYes
Tena Kuna watu humu wanewasifia kwamba Wana nguvu watawamaliza isarel
Nasubiri Israel imalizwe
Nione mara ngapi broo?Ngoja uone ndugu yako akichinjwa live kama utasema hivyo!
Hii italeta taharuki kwa raia wao kwa maana kila familia ya watu waliyochukuliwa mateka wanafahamu.
Mkuu Unajua kama huijui BIBLIA vizuri KA KIMYA!!!Wewe myahudi wa iyunga hao waisraeli wenyewe wanampinga christo hapa sasa hivi wanashambulia makanisa yaliyopo gaza
Sasa kwanini mamluki walikuwa wanajificha kwenye makazi ya watu na maeneo ya shule?? 😂😂Unaweza nionyesha airbase, military headquarters, naval base au military installation yoyote ya Hamas?
Miundombinu ya Hamas ndio hiyohiyo miundombinu ya raia. Benki ya Hamas ni Islamic Bank of Gaza ni ya kiraia na imeharibiwa jana, benki hiyohiyo iliyokuwa inapokea misaada ya kimataifa ndio inapokea mchango wa kuendeleza ugaidi.
Majengo ya wakuu wa Hamas ndio majengo ya raia wa kawaida, hawana military barracks. Shule tena nyingine za UN, misikiti vyote hivyo wanatumia.
Hakuna kitu chochote kikubwa kinachomilikiwa na Hamas independently kasoro mahandaki.
Wakati huo military installations za Ukraine zinajulikana na bado zipo nyingi sana nchi nzima. Au ndege za Ukraine zinaruka kutokea chumbani?
Yeah ameyumba sana Aisee... Israel tangu ile vita ya Six day haijawai pigwa kiasi hicho huyu jamaa kayumba sana but all in all Israel anashinda vitaAmekalia kuti kavu...serikali yake lazima ianguke.
Israel ilikuwa wapi??Na nchi inayoitwa Palestina, ilikuwa wapi katika hii dunia kabla ya 1947?
Uko sahihi mkuuModus Operandi ya Gaidi ni kuingiza Hofu kwa yeyote yule.
Hakuna vita hapo mkuu...Israel kama nchi anapigana na mgambo wa Hamas!!Yeah ameyumba sana Aisee... Israel tangu ile vita ya Six day haijawai pigwa kiasi hicho huyu jamaa kayumba sana but all in all Israel anashinda vita
Tunachukua Gaza yote, na al-aqsa pale tunajenga hekalu la Suleman budget yake ipo tayari wajamaa walishaichanga siku mingi. Long live IsraelYeah ameyumba sana Aisee... Israel tangu ile vita ya Six day haijawai pigwa kiasi hicho huyu jamaa kayumba sana but all in all Israel anashinda vita
Mwenyezi Mungu atawafanyia wepesi wapalestinaLakini kifuatacho ni kigumu sana.
Kina nani hawa
Bro! Mimi nawafahamu wayahudiMimi naona hio itaendeleza chuki mkuu.
Sasa kama watu wamewahi kuuwawa 6 million unafikili hio litawashitua.
Mkuu pande zote wanauwa.Mwenyezi Mungu atawafanyia wepesi wapalestina
Kumbe umeishi nao mkuuBro! Mimi nawafahamu wayahudi
Awe Ashkenazi, Sephardi, Mizrahi n.k
Wayahudi wanaogopa sana kufa! Wayahudi ni jamii ambayo si wapiganaji wa kufa kujitolea. Ni waoga!
Wakianza kuchinjwa wakifika 20 au 30 raia wao watashinikiza wafanye mazungumzo.
Hawawezi kufanya hivyo!Mkuu maana hatujui nao wanataka nini Israel isije kuwa wakafanya kama KAGAME ALIVYOFANYA 1994 HUKO RWANDA maana wale nao wayahudi weusi.
Isije wakawa sacrifice hao wachache ili kuuwa wapalestina wengi kama alivyo fanya PAKAME RWANDA.