LIVE Yanayojiri vita ya Israel dhidi ya Palestina na HAMAS

LIVE Yanayojiri vita ya Israel dhidi ya Palestina na HAMAS

Live coverage on JamiiForums
Kuna kitu kinaitwa Rules of Engagement ni pamoja na kutoua mateka.

Lakini tatizo ni kwamba hivi vikundi vya Kigaidi havifuati sheria zozote sote tunakumbuka ISIS ilipowakamata Mashia wa Iraq na kuwachinja pembeni ya Mto.

Modus Operandi ya Gaidi ni kuingiza Hofu kwa yeyote yule.
Hapo rules of engagement hazihusiki maana Redcross hawapo Gaza muda huu
 
UN watafanya nini kwa ugomvi ambao hupo kabla Yesu hajazaliwa na ata alipozaliwa bado aliuacha.Hao hawajaanza leo kupigana,ata Goliati aliyepambana na Daudi pia ni uzao wa Kipalestina(Wafilisti).Sasa nani wa kuamulia ugomvi huo?

Sent from my V2111 using JamiiForums mobile app
Ugomvi uneanza baada ya Kutangazwa taifa la Israel baada ya vita kuu ya dunia..
 
Halafu una uchache wa taarifa sana!

Waarabu kinachowaunganisba ni uarabu! Awe mkristo awe muislam, kinachowaunganisha ni uarabu.

Usitishike akisema Allahu akbar! Kwa waarabu ni kauli ya kawaida kutamka hivyo!

Hamas hata wakristo wapo kama hufahamu. Unavyosema watu na imani zao naelewa unachomaanisha ila kwako una uchache wa taarifa.
Sawa.

Na wale wakristo waarabu walioishi Gaza na West Bank ambao wananyanyaswa, wanawake wao wanabakwa na familia kuporwa mali, acha hivo tuu haohao wakristo waarabu ambao wakizika wafu wao huko palestine, Hamas wanafukua makaburi yao, wanatupa miili ya wafu barabarani, wanasema kwamba kuzika mkristo kweny ardhi ya Palestine ni kosa, kwamba "Wanainajisi ardhi ya Palestine", Hamas hawataki wazikwe kweny ardhi ya palestine.

Kuna muungano hapo?? Huo muungano wa waarabu bila kujali dini uko wapi hapo kama wanawafanyia hivo??

Kweli nina uchache wa taarifa.
 
Wapige popote walipo magaid tumeruhusu hata wakijificha shulen
Hawa jamaa wamechanganyikiwa baada ya waisrael 1000 kuangamizwa siku leo wamegeukia makanisa sasa

Wameshambulia kwa makombora kanisa moja na kuliharibu kabisa

Hii sio mara ya kwanza kubomoa makanisa au kuyashambulia kichapo cha Hamas kimewaingia hadi wameanza kupaniki

Media coverage| Israeli attacks on #Gaza have targeted the third oldest #church in the world, which was 1616 years old, Saint Porphyrius Orthodox Church.View attachment 2777163
 
Netanyahu ni bwege tu. Hivi security apparatus zote, Zilikua wapi na zinafanya nini hadi nchi inavamiwa na mateka kuchukuliwa??
The whole country was sleeping.
Huwezi kuingia Gaza bila Waisrael kujua. Ila wakafeli kwa hili.
 
Al Qasam imetoa onyo la mwisho kwa Israel kwamba itachinja mateka mmoja baada ya mwingine kwa kila shambulio litakalofanywa na Israel Bila tahadhari

Uchinjaji huo utarekodiwa na kurushwa kwa Dunia Nzima, wamesema

Source Al jazeera news
Hiyo safi sana, yaani wayahudi wawe na rukhsa ya kuwaua na kuwashambulia wapalestina lakini wapelestinawasiwe na hali ya kuwauwa wayahudi?
 
Unajifurahisha siyo?
Hamas pekee ambao wapo ndani ya Israel ni wale waliokimbia na kujificha ambao wanatafutwa nyumba kwa nyumba uchochoro kwa uchochoro.
Na kwa taarifa yako tu ni kwamba sasa hivi ndani yacIsrael hadi wananchi wameungana na Jeshi na Police kulinda doria na kusafisha kila aliyebaki.
Halafu wewe unatuletea porojo hapa?
Angalia source yake, anatumia zile propaganda za kiarabu naye anaamini
 
Halafu una uchache wa taarifa sana!

Waarabu kinachowaunganisba ni uarabu! Awe mkristo awe muislam, kinachowaunganisha ni uarabu.

Usitishike akisema Allahu akbar! Kwa waarabu ni kauli ya kawaida kutamka hivyo!

Hamas hata wakristo wapo kama hufahamu. Unavyosema watu na imani zao naelewa unachomaanisha ila kwako una uchache wa taarifa.
Anashangaa muarabu akisema hivyo yeye akisema mungu wangu anatofauti gani na mwarabu au akisema yesu wngu
 
Lakini ni taifa pekee ambalo watu wake waliongea na Mungu moja kwa moja. Kwa kifupi unatakiwa umwabudu Mungu wa kweli, ndiye huyo huyo Mungu wa Wayahudi.
Nani kakwambia hao ni wana wa Mungu...
Unajua Wayahudi wengi wanamsubiri Yesu aje!!...
 
Mbona Israel hawana shida na hilo
Al Qasam imetoa onyo la mwisho kwa Israel kwamba itachinja mateka mmoja baada ya mwingine kwa kila shambulio litakalofanywa na Israel Bila tahadhari

Uchinjaji huo utarekodiwa na kurushwa kwa Dunia Nzima, wamesema

Source Al jazeera news
Mkong'oto uko pale pale na mzigo ndio haujaanza
 
Israel imedhamilia kuiteketeza Palestine. Netanyahu yuko serious sana na vita hii.
Hivi ni kwanini Israeli nchi yenye ulinzi mkamilifu duniani na ujasusi ulotukuka imeingiliwa na wapiganaji wa kipalestina ndani ya ardhi yake kwa kutumia miamvuli, mashimo na kwa kupita ardhini?

Wachambuzi wengi ambao tupo "neutral" twamini kuwa huu ni mpango maalum dhidi ya Wapalestina.

Baada ya hapo utasikia Israeli imeongeza maeneo zaidi ya ardhi na itayajenga upya kuwa ni sehemu yake.

Ila mwisho wa Bibi umekaribia ataondolewa.
 
JUST IN: Israeli Prime Minister Netanyahu: “What our enemies will experience in the coming time will be remembered for generations”
 
Back
Top Bottom