LIVE Yanayojiri vita ya Israel dhidi ya Palestina na HAMAS

Live coverage on JamiiForums
Wapo underground
Yes silaha zako ziko kwenye underground si wanajeshi.

Wanajeshi wa Hamasi mbona wako vitani kama kawaida nilicho sema ni vigumu kuzipiga. Silaha zao haziko kwenye majumba kupiga majumba wanajua wazi silaha hazipo pale, ni dalili wazi wameishiwa Israel na US .

UD na Israel wanataka tu kuonyesha ubabe wao kwa kuwauwa wanawake na watoto

Silaha za Hamasi hawezi kuzipiga hata wapige maboom miaka 😂

Wa Israel na Wamarekani wameona kuingia ground war watacharazwa na Hamasi

Wanapeleka hasira zao kuvunja majumba na kawauwa wanawake, watoto na wazee wasi na hatia et Super power vipi Super power anaogopa kuingia gaza 😂 ataishia vunja majumba tu na Hamasi atarusha missiles kama kawaida.
 
Hivi nini kiliwafanya hawa Hamas wawachokoze hawa Israel?maana wao ndio wanaumia sasa
Nani anakudanganya, Hamasi hawezi shindwa vita na Israel, wanacho fanya Israel ni kupiga majumba ya raia wasio na hatia

Siku ukipata akili utajua wazi Israel huwa hasira zake zinaishia kuvunja majumba, barabara, kukatia watu umeme na maji 😂
 
Upeo wako ni finyu sana wa mambo, endelea kuamini Hiko unachokuamini..

Sasa hata suala la mateka hulifaham na huelewi why watu wanachukuliwa mateka kweli,kwani una umri Gani?

Hata Form four umemaliza kweli

Wala sio cha upeo wala nini, tunatizama matendo yenu mkifuata amri ya huyo mungu wenu muarabu, mnasimamisha mabasi na kuchinja watu humo ndani kisa hawamuabudu huyo muarabu, matukio yenu kote ni mauaji tu, yaani dini imekaa kimauaji mauaji na ngono, huyo mungu wenu aliendekeza ngono sana pia na kufanya vitu vya hovyo hata kwa wavualana MTUME MUHAMMAD ALINYONYA ULIMI WA AL HASSAN Hadith Idadi 16,245


Muslims conflicts
Fight with hindus
Fight with Jews
Fight with Christians
Fight among themselves - shias and baha
Figjt with buddhists
Fights with atheists ( all over the world)

Fight fight everywhere

“Slay the unbelievers wherever you find them – 2.191”
“Terrorise and behead those who believe in scriptures other than the Koran – 8.12”
“Make war on the infidels living in your neighbourhood – 9.123”
“Do not hanker for peace with the infidels; nehead them when you catch them – 47.4”
 
Nani anakudanganya, Hamasi hawezi shindwa vita na Israel, wanacho fanya Israel ni kupiga majumba ya raia wasio na hatia

Siku ukipata akili utajua wazi Israel huwa hasira zake zinaishia kuvunja majumba, barabara, kukatia watu umeme na maji 😂
Kama Hamas ni mbabe kiasi hicho ameshindwa nini kuiondoa Israel tangia mwaka 1948?
 
Lakin wote walibarikiwa
Kuna baraka ya nje ya agano na baraka ya ndani ya agano. Isaka ana baraka tena nyingi mno za ndani ya agano la Mungu na kupitia yeye kizazi chake amezaliwa Mkombozi wa ulimwengu yaani Yesu Kristo ambapo na pia kuna urithi wa ardhi kwa Isaka Ishmael hana hizi baraka zote na hana urithi wa ardhi na zingine nyingi kwa kuwa si mtoto wa agano ni wa nje ya agano namaanisha agano kati ya Ibrahimu na Mungu. Kwa kupitia Ibrahimu then Isaka Mungu alijifunua tena ulimwenguni kuja kufanya ushirika na mwanadamu baada ya anguko la Adamu na Hawa. Sasa angalia kwa Ishamael alijifunua mungu wa namna gani asomaye na afahamu!
 
We ndio Una Vita na waislam sema unabahat unaongelea kwenye jamii foram. Wale. Wako wanapigania Uhuru wao wewe unajua ni mangapi wamepitia ungekua huko ata wewe usingeachwa shukru hvyo
 
Nimesikitika kweli nimeuangalia mji wa Al rimai, machozi yamenitoka unafanana na kariakoo ni mji busy kweli kwa wakati niliowahi kufika lakini umegeuka magofu matupu, najiuliza ni pepo gani liliwashika wapelistine kuishambulia Israel nasikitika kweli.
 
🇵🇸⚔️🇮🇱Destruction of another Merkava IV by ATGM. It hit the side closer to the stern - right where the ammunition is located.Video released by Hamas

🔴 @DDGeopolitics
 
😢😢😢
 
We ndio Una Vita na waislam sema unabahat unaongelea kwenye jamii foram. Wale. Wako wanapigania Uhuru wao wewe unajua ni mangapi wamepitia ungekua huko ata wewe usingeachwa shukru hvyo

Waislamu wana vita na kila dini wala sio mimi, wameamrishwa na 'mungu' wao muarabu

Muslims conflicts
Fight with hindus
Fight with Jews
Fight with Christians
Fight among themselves - shias and baha
Figjt with buddhists
Fights with atheists ( all over the world)

Fight fight everywhere

“Slay the unbelievers wherever you find them – 2.191”
“Terrorise and behead those who believe in scriptures other than the Koran – 8.12”
“Make war on the infidels living in your neighbourhood – 9.123”
“Do not hanker for peace with the infidels; nehead them when you catch them – 47.4”
 
Nani anakudanganya, Hamasi hawezi shindwa vita na Israel, wanacho fanya Israel ni kupiga majumba ya raia wasio na hatia

Siku ukipata akili utajua wazi Israel huwa hasira zake zinaishia kuvunja majumba, barabara, kukatia watu umeme na maji 😂
Hamas atashindwa,....nimekaa palee...
Cha mhimu tusikimbiane hapa baada ya hii vita
900 Kwa 770.....mpk itapita hii idadi ...
Maana mlifurahia vifo
Na huko pia vifo vinaongezeka!
 
Yaani Hawa watu Kila walipo ni matatizo
 
Ishmael hakuwa mtoto wa agano la Mungu kwa Ibrahimu kwa hiyo akawa lango la kupitisha vitu vingi sana ikiwemo dini, miungu, tabia na mengine mengi ndiyo maana waarabu wengi wapo hivyo walivyo na hayo mambo yao meusi.
 
Uko nchi gani mkuu huu mji?
Palestine?
Halafu wako hapa wanajisifia watashinda vita!
Walivyo wajinga
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…