Moronight walker
JF-Expert Member
- Aug 3, 2021
- 3,103
- 4,704
Mkuu waarabu wawe makini isije ikatokea vita vikubwa ule ukanda wa arabs.hehehe mlivyo kichekesho sasa hapo matamko ya Mchina au Mrusi ndio yanawafariji ilhali Israel wanaendelea kutembeza kichapo, mpaka sasa mizoga ya HAMAS imefika 1,500
Maana wasije wakatumi pua kuchukua maamuzi kuliko ubongo