Mzee wa kupambania
JF-Expert Member
- Aug 14, 2022
- 21,111
- 53,092
kanga moko ndembendembe Laki Si Pesa unajua unachoongea au uko na kanga moko?Wapalestina hapo ni kwao, Israel ndio sio kwao walienda hapo mwaka 1947
Umeshatumwa humu hujawaonaHata baadhi ya makamanda wa Israel wameuawa na wengine kutekwa.
Huo mzozo umeanza hata kabla ya Hamas kuanzishwa, kilichotokea ni mwendelezo tuu wa huu mzozo.kwa hyo hamas kuwachinja waisrael ndo suluhisho? na kwa nn huwalaumu hamas kwa unyama wao unaishia tu kusema mwendelezo wa mzozo, hilo taifa huru anayetakiwa kuliunda ni nani? wapalestina wanatakiwa waondoke hapo sio kwao.
Tena wanaanza kuwauwa adharani.Kwa approach waliyotumia HAMAS kuwashambulia raia wasio na hatia wa Israel ni ngumu sana kwa Wapalestina kupata mataifa ya kuwaunga mkono
Ingekuwa mzuri wangekuwa wanakamata askari nafikili ndo ingekuwa fresh.Kwa approach waliyotumia HAMAS kuwashambulia raia wasio na hatia wa Israel ni ngumu sana kwa Wapalestina kupata mataifa ya kuwaunga mkono
Wanaounga mkono ni mataifa ya kiislam tuu na pamoja na wale wa kufuata mkumbo (pro russian).Kwa approach waliyotumia HAMAS kuwashambulia raia wasio na hatia wa Israel ni ngumu sana kwa Wapalestina kupata mataifa ya kuwaunga mkono
Wamefanya kosa kubwa sana kifupi wamefeli. Kwa mauaji yale kuitwa magaidi ni sawa kabisa.Tena wanaanza kuwauwa adharani.
Tactic waliyoitumia msimu huu sio mzuri sina uhakika kama watasupportiwa maana wanaanza kuwaita magaidi.
Nipe taarifa za hawa ha ha ha ahYale yale ya picha za kule kwa mada ya vita ya Russia na Ukraine.Ukija kuletewa habari tofauti na hii unapiga kimya kama haupo
Atleast hiyo kidogo wadeal na wenzaoIngekuwa mzuri wangekuwa wanakamata askari nafikili ndo ingekuwa fresh.
Waondoke waende kwao pale sio kwao, sasa kama ni kwao wanasubiri nn kuunda hilo taifa lao lenye mipaka halali kama unavosema, wanamsubiri nani awaundie hilo taifa lao? hv mtu anataka chumbani kwako ndo kuwe chumbani kwake utakubaliana na hilo kweli?Huo mzozo umeanza hata kabla ya Hamas kuanzishwa, kilichotokea ni mwendelezo tuu wa huu mzozo.
Waondoke waende wapi?....
Suluhisho la kudumu ni kuundwa kwa taifa huru la Wapalestina lenye mipaka yake halali
Hata maifa ya kiislamu yamekaa kimya. Saudi Arabia imetaka ufanyike haraka mkutano wa jumuiya ya Kiislamu, Organisation of Islamic Cooperation (OIC)Wanaounga mkono ni mataifa ya kiislam tuu na pamoja na wale wa kufuata mkumbo (pro russian).
Kama china, Venezuela na North Korea. 🤣🤣🤣🤣 wapo upande wa palestina kisa Russia anasupport Palestina.
MK254
T14 Armata
Bila kusahau wapalestina wa buza.
Naona waajemi wamewekeza kwenye defence industry sanaKwa mgogoro huu Iran itakuwa inaogopwa sana aise
Tuambie Sasa kwao ni wapi ili waende huko?...Waondoke waende kwao pale sio kwao, sasa kama ni kwao wanasubiri nn kuunda hilo taifa lao lenye mipaka halali kama unavosema, wanamsubiri nani awaundie hilo taifa lao? hv mtu anataka chumbani kwako ndo kuwe chumbani kwake utakubaliana na hilo kweli?
Mkuu ile j mosi wakati mashambulizi yanaanza wote hao walikuwa wanalalamika uhuru wa palestina wamekuja kugeuka baada ya wapalestina kuanza kusema kutawachinja mateka.Hata maifa ya kiislamu yamekaa kimya
China imetaka pande zote mbili ku-cease fire wakae mezani
Urusi iko neutral mpaka sasa inataka pande zote mbili zifanye mazungumzo
We wenzio wanapigania uhuruSolution ni mbili either waungane wawe nchi moja au wapalestina watawanywe kwenye nchi mbalimbali za kiarabu wakaanze upya maisha.
Yaani nchi ya Palestine isiwepo.
Hii hpneither waungane wawe