Moronight walker
JF-Expert Member
- Aug 3, 2021
- 3,103
- 4,704
Mkuu hata palestina hawezi.Israel haina uwezo wa kupigana na nchi yoyote ikiachwa yenyewe. Hilo ndio somo tulilojifunza kwenye hivi vita.
Kesi zote za israel anazinunua US na kuzitakua kinyumenyume au moja kwa moja.
Mkuu mauaji la Kimbali inaamana nyingi kuna wengine wanasema kuwa.Kuna wadau wanasema Israel inafanya mauaji ya haraiki (genocide) uunaweza kisema hivyo, lakini najiuliza hiyo genocide huwa inakuwaje, ni piga nikupige au unapiga mwenzako akiwa katulia?
Haha ngoja tushuhudie ground battle lakini sio rahisi kiivyo.Baada ya zoezi la kuwafumua Hamas kutoka juu kukamilikila, sasa ni ardhini, nyumba kwa nyumba, kitanda kwa kitanda - Gaza inakwenda kushuhudia operation tokomeza Hamas ya karne, ambayo itasimuliwa vizazi na vizazi.
View attachment 2778435
- Israeli Defence Minister Yoav Gallant has pledged to launch a ground offensive in Gaza following Hamas’s surprise attack in Israel on Saturday.
- Israeli forces continued pounding the Gaza Strip for a fourth night in a row, killing at least 950 Palestinians. The Israeli death toll has climbed to 1,200 people.
Hii kauli mbona ni ya kibabe na kimamlaka na kihitimisho sana?Gaza boarder, Waziri wa ulinzi wa Israel Yoav Gallant amewaambia wanajeshi wake alipokuwa anawaaga kuingia Gaza.
Tunahamia kwenye kosa kamili lililosababisha sisi kuwepo hapa, Hamas ilitaka mabadiliko katika mji wa Gaza na itabadilika digrii 180 kutoka kwa kile ilichofikiria.
Watajuta wakati huu sababu Gaza haitarudi kama ilivyokuwa, hii historia itaandikwa katika vitabu na hata vitabu vitakatifu vya dini.
Kuandika historia haijawahi kuwa jambo rahisi kama wengi wanavyodhani.
View attachment 2778443
Moderator naomba usiunganishe uzi huu na zile nyingine sababu hii statement haipo katika muendelezo.
Mziki ni mnene, sasa ni safisha safisha mguu kwa mguu, nyumba kwa nyumba - hutakaa uwasikie HAMAS tena ndani ya Parestina.Kwa approach waliyotumia HAMAS kuwashambulia raia wasio na hatia wa Israel ni ngumu sana kwa Wapalestina kupata mataifa ya kuwaunga mkono
Hawataweza katuWaisraeli wanataka wawapoteze kabisa Wapalestina kama wao walivyoteswa na kupotezwa hapo na Roman Empire wakawa watumwa na wengi kukimbia diaspora miaka hiyo
Una Moyo sana, unapaswa uigweHaha ngoja tushuhudie ground battle lakini sio rahisi kiivyo.
Mkuu Israel wameshambulia maeneo ya mpaka wa misri na Gaza, na misri walisema wanataka kupeleka msaada kwa wagaza.Egypt imefunga Mpaka wake na Gaza, hakiingii wala kutoka kitu wala mtu under any condition.
Mpaka huo ndiyo njia pekee inayounganisha Gaza na Dunia na eneo lote la mpaka limezungushiwa ukuta mkubwa uweny ulinzi mzito wa askari na Camera.
Una uhakika na hili?mkuu ile sio ardhi ya wapalestina, ni ardhi ya wayahudi, ulimwengu wote unalijua hilo na wewe unajua hvo, sema watu mnajaribu kuyumbisha dish tu, watafute historia kuwa mababu zao walitoka wapi mpaka wakafika kwenye ardhi ya watu, wakishajua waende huko,
Moyo gani mkuu kwani hii ni mara ya kwanza Israel na Hamas kupigana under ground bettle?Una Moyo sana, unapaswa uigwe
ndio nifukuzwe kabisa kama nashindwa kuishi na majirani kistaarabu,Una uhakika na hili?
Wewe je una uhakika mababu zako wametoka kwenye nchi uliyopo sasa na unayoitambua kama nyumbani?...
.je ukifukuzwa uambiwe ufuate chimbuko lao urudi huko, upo tayari kwa hilo?
Yeah sasa hivi ule mpaka wa Rafah umeshafungwa.Mkuu Israel wameshambulia maeneo ya mpaka wa misri na Gaza, na misri walisema wanataka kupeleka msaada kwa wagaza.
Israel walionya watambulia atakaye Peleka msaada, wao wakasema watapeleka hivyohivyo.
Baada ya mashumbulizi heavy wakaacha.
Hujui usemalo sababu halijakukuta....ndio nifukuzwe kabisa kama nashindwa kuishi na majirani kistaarabu,