Yesu maisha yake yote alivaa kobas. Kwahiyo wavaa kobas wanatakiwa waheshimiwekwani ni dhambi kuwa mvaa kobas, mbona umeruka kama kuna ktu kimekugusa kule?
Hi vita soon inahamia LebanonKuna ndege kubwa imeonekana yaingia kaskazini mwa Israeli.
Huenda wapiganaji wa Hezbollah wameanza kazi.
Na Israeli hawawezi kupigana na vikundi hivyo viwili vya Hamas na Hezbollah kwa pamoja peke yake, ni lazima Marekani ataingia.Hi vita soon inahamia Lebanon
Una uhakika Gani kama hawez au ww ni chief of intelligence wa Hezbollah?Na Israeli hawawezi kupigana na vikundi hivyo viwili vya Hamas na Hezbollah kwa pamoja peke yake, ni lazima Marekani ataingia.
War cabinet kupambana na Hamas (ambayo hata sio jeshi la nchi) ?...Israel forming emergency government:
War cabinet to include 3 members, 2 observers:
1. Prime Minister Netanyahu
2. Defense Minister Gallant
3. Ex-Defense Minister Gantz
4. Ex-Army Chief Eisenkot (observer)
5. Strategic Affairs Minister Dermer (observer)
BANDO la US lishaingia Israel kwa kifupi hii vita haijaanza badoNa Israeli hawawezi kupigana na vikundi hivyo viwili vya Hamas na Hezbollah kwa pamoja peke yake, ni lazima Marekani ataingia.
Yes umenena vyemaNa Israeli hawawezi kupigana na vikundi hivyo viwili vya Hamas na Hezbollah kwa pamoja peke yake, ni lazima Marekani ataingia.
Kuna ndege kubwa imeonekana yaingia kaskazini mwa Israeli.
Huenda wapiganaji wa Hezbollah wameanza kazi.
Hao ndio binadamu wenye akili, chama baadae nchi kwanzaHizo ndio katiba za nchi sasa! Serikali inaweza kuji-adjust quickly depending on the prevailing situation!
Kwa situation waliyo nayo kwa sasa Cabinet inatakiwa iwe na makomandoo zaidi na security strategists wenye sifa na sio chawa!