LIVE Yanayojiri vita ya Israel dhidi ya Palestina na HAMAS

LIVE Yanayojiri vita ya Israel dhidi ya Palestina na HAMAS

Live coverage on JamiiForums
Wewe Hilo bongo halina akili kabisa. Yaani Wapalestina wenye nchi yao ndo wagawanywe badala Dunia kugawanya Wayahudi! Hatari kweli kweli.
Hiyo nchi ni mali ya wana wa Israeli. Ni urithi wao kutoka kwa Mungu yehova sio huyo Allah wenu anayechinja mpaka vitoto vidogo.
 
IDF soldiers identified a number of vehicles with terrorists in an area adjacent to Kibbutz Nir Am. An IDF tank responded by firing toward them, and thwarted three terrorists.
IDF soldiers are continuing to conduct searches in the area.
 
mkuu ile sio ardhi ya wapalestina, ni ardhi ya wayahudi, ulimwengu wote unalijua hilo na wewe unajua hvo, sema watu mnajaribu kuyumbisha dish tu, watafute historia kuwa mababu zao walitoka wapi mpaka wakafika kwenye ardhi ya watu, wakishajua waende huko,
Na wewe dishi limeyumba. Wafilisti na Wakanaani walikuwa lile eneo hata Kabla Ibrahimu hajahamia pale na wenyeji walimpokea na waliishi naye Kwa amani. Leo inakuwaje Filistine ndo iwe ardhi ya watu wa kukaribishwa TU na wenyeji isiwe kwako!
 
Nasikia hamas ilianzishwa na mossad ili imdhibiti Yasser Araat. Baadae ikawageuzia kibao.
Nilisoma jarida la New York Times la 2005 ,2006 au 2003 kama sikosei ,katika andiko lao moja kipindi hiko Hamas ndio inachipukia na kushamiri niliona ikiwasifia na kiwapamba.
 
“On the night between Friday and Saturday, hours before the terrorist attack, the IDF received intelligence information about the happenings around the fence and the movement of senior Hamas officials. This information led to calls and telephone consultations of senior officers of the army in the middle of the night. The summary was: additional situation assessments will take place later in the morning”
 
Nilisoma jarida la New York Times la 2005 ,2006 au 2003 kama sikosei ,katika andiko lao moja kipindi hiko Hamas ndio inachipukia na kushamiri niliona ikiwasifia na kiwapamba.
Mambo mengi tunapangwa.
 
Wapinzani Wakuu wa Netanyahu wamekubali kuungana naye na Kuunda " Serikali ya Vita" iliyojiapisha kuifuta Hamas kwenye uso wa Dunia

Source Al jazeera
Nyieee! Nyieee!! Utu TU mgambo utu mnahangaika hivyo?Hebu elezeni ukweli nyieee!!!!
 
Namfuatilia kwa karibu sana PM Netanyau, nadhani baada ya huyu Israel haitakuja kumpata jemedari mwingine like this man.

Kuna kitu nadhani nimekiona, huyu jamaa alikuwa anajua kile Hamas wanaenda kufanya but aliacha makusudi ili afanye hiki tunachokiona.
You are brain washed by the Western colonialists.
 
Wewe Hilo bongo halina akili kabisa. Yaani Wapalestina wenye nchi yao ndo wagawanywe badala Dunia kugawanya Wayahudi! Hatari kweli kweli.
Na wewe bongo lako haliko sawa vile vile msichekane mko sawa tu. Anyway sio kosa lako ni kuwa hujasoma historia ya Taifa la Israeli na pia hutaki kuijua.
 
Waliokuwa wanashangia majuzi wakati makombola ya roketi zaidi ya 5,000 yakielekea kutua Islael, huku mamia ya magaidi wa HAMAS wakivuka uzio moja kwa moja kwenda majumbani na kuanza kuchinja watoto na wamama wa ki Islael bila huruma - Leo hii vilio vimetawala nchi nzima, ni majonzi ya hatari - kweli hii inakwenda kuwa historia.

Hospitali zimezidiwa, umeme hamna, maji hamna, mawasiliano hakuna, chakula hamna na mafuta yanakwenda kwisha - sijui itakuwaje.

Inasikitisha sana lakini hili ndilo funzo kuu kufuga hawa wahuni & magaidi duniani kote.

Kazi nzuri sana ,

Israel mwageni Sumu hapo Gaza ili Kila kiumbe life hapo Gaza hata sisimizi sitaki kuziona
 
Back
Top Bottom