LIVE Yanayojiri vita ya Israel dhidi ya Palestina na HAMAS

LIVE Yanayojiri vita ya Israel dhidi ya Palestina na HAMAS

Live coverage on JamiiForums
Rais wa Israel ni mkuu wa nchi na cheo chake ni ceremonial tu.
Kazi zake huwa ni kuwapa vibali wajumbe wa Israel katika mataifa ya kigeni na kukubali hati tambulishi za wanadiplomasia wa kigeni wanaohudumu nchini Israel. Pia hutia saini kila sheria iliyotungwa na Knesset na mikataba na makubaliano na nchi za kigeni ambayo yameidhinishwa na Knesset.
Duh
Inataka kufanana na uingereza eeh?
Na wao waziri mkuu ndo Kila kitu
Kumbe
 

Israeli air force says infiltration from Lebanon ‘ruled out’​

The update comes after the head of a regional council in northern Israel said manned paragliders from Lebanon had landed inside of Israel.
“Further to the reports of infiltration from the Lebanese border into Israel’s airspace, as of now fear of infiltration has been ruled out,” the airforce said on X.
The Israeli army also withdrew its call for Israelis to take shelter, saying the warning was caused by human error.
Daah hii nilitaka nishangae, nilikuwa nishaanza kuwaza inawezekana hii michezo inapangwa makusudi ili mtu apate uhalali wa kutembeza kichapo, huyo sheha wa Israel aliyetoa hiyo taarifa apigwe makofi.
 
Nimegundua wa israel ni kama ligi ya england tu imepigwa promo lkn ……. Ikiwa panya road tu wa mtaan mpaka waombe misaada kwa mataifa mengine je akikutana na…..! Napita tu
Hata allah husaidiwa na binadamu kuhukumu au kumtetea kipi cha ajabu kwa israel na marekani?
 
Mbona tayari wameshakuwa 'ruled out' au hiyo update hujaisoma?
Wameshawahishwa kwa mnyazimngu tayari kila mtu kupata mabikra wake huku wanaogelea kwenye mito ya ulevi 😂😂😁😀😀. Hypnotized minded people, huko ni moto tupu baada ya kufa. Mungu hapiganiwi wala hatetewi anajitetea mwenyewe.
 
Mbona sasa mpangaji Mkuu kaufyata na jana yule Mkuu wao wa Nchi alikuwa ana deny kuhusika.Ama kweli ukiwategemea Arabs na Persians wakusaidie katika dhiki mambo yakienda kombo wanakutelekeza
Na alikua wa kwanza kupiga simu kupongeza, kiongozibwa Hamas akasema hadharani kuwa wamepongezwa naye. Baada ya kuona mziki umebadiliki wakaanza kujisafisha kuwa hawakuhusika na chochote.
Wasichojua wenzao wana taaarifa zote za mipango yote ila waliliacha hili litokee.
Na ili wasishituke kuwa jamaa kuna mchezo wameustukia, US akaachia zile Funds za Iran zilizokuwa frozen, akawa anajadiliano nao. Hspo wakajua kumbe hawajastukiwa, walivyokuwa mafala wakaendelea na hatimaye kutekeleza.
Wangekuwa na akili walipaswa kujiuliza ilikuwaje walipovamia hawakukutana na upinzani wowwote, hadi kambi za jeshi za mpakani hazikuwa na wanajeshi.
Wanajeshi na askari waliokuwepo ni wale wachache wachache kwa ajili ya Doria tu.

Ningekua mimi ningekimbia, haiwezekani ukute kila kitu chepesi kiasi kile halafu uendelee kujiona wewe shupavu.
 
Hizo ndio katiba za nchi sasa! Serikali inaweza kuji-adjust quickly depending on the prevailing situation!

Kwa situation waliyo nayo kwa sasa Cabinet inatakiwa iwe na makomandoo zaidi na security strategists wenye sifa na sio chawa!

Hali iliyopo ikiisha serikali inaji-adjust tena accordingly. Kwa shitholes wanaoona vyeo vya kisiasa ni ajira ni tatizo sana.
Kwakweli nimependa
 
Gaza death toll passes 1,000. A humanitarian catastrophe is developing due to a lack of aid, but Israel says they won’t allow the delivery of fuel, food or supplies. After the massacre on Saturday, Israeli leadership is calling for a “complete siege.
 
20231012_000518.jpg


Mateka walioachiwa ni mwanamke na wanawe wawili ambao walishikiliwa kuanzia Jumamosi.

Source: Aljazeera Newz
 
Sawa.ila sidhan km itamfanya 🇮🇱 arudi nyuma kichapo kipo palepale
 
Zelensky is considering going to Israel on a "solidarity visit.
 
Wameaanza kujuta ndio kwanza Israel hawajaanza hata
Kazi , bado hawajasave

View: https://twitter.com/Jerusalem_Post/status/1712207843464536403?t=RIYTzFdNIS1lOmrjQK7bQQ&s=19


Sasa kwanini mliwateka kama sio ujinga

Kama wamemuachia basi jua wame muachia kwa makubaliano maalum aidha kwa kubadilishana na mateka maana na Israel kuna baadhi ya wapiganaji wa hamas iliwateka kwenye mapigano ya kusini mwa Israel .
Hakunaga mateka wa kivita anaye achiwaga hivi hivi kwa sababu siku zote mateka ni mtaji kwa aliye mteka.
 
unapigania uhuru kwa kuwachinja na kuwaua watu wapo kweny party ambao sio wanajeshi wala sio wawakilishi wa watendaj wa serikali yoyote , HV WEW BIBI UNAJITAMBUA ?KABLA HUJAANDIKA FIKIRIA KWANZA , MANDELA KUITWA GAID INAEZA IKAWA KWEL AU ISIWE KWELI ILA HAIHALALISHI USHETAN WA HAMAS KWA RAIA WEMA
Upo kwao kwa mabavu, hayjaanza leo hayo. Kila siku wapalestina wanauliwa.

Waswahili tunasema "ngoma ikivuma sana mwishowe hupasuka". Ndiyo imepasuka hivyo.

Sasa kila mmoja atawasaidia anaowaona wana haki.

Nasubiri siku ambayo wachaga watasema Kilimanjaro ni taifa lao. Walishaanza kwa mkoloni, akawaambia toweni upuuzi wenu hapa.
 
Back
Top Bottom