Moronight walker
JF-Expert Member
- Aug 3, 2021
- 3,103
- 4,704
Mambo vipi FaizaFoxyWatu wapo vitani toka mwaka 1948 halafu unauliza kwanini wanatekana?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mambo vipi FaizaFoxyWatu wapo vitani toka mwaka 1948 halafu unauliza kwanini wanatekana?
Hamas ni magaidi wapate wanachostahili either waishe au wa-surrender.kuuwa,kubaka,na kuchinja watoto si ubinadamu ni unyama.(hata hivyo hamas haiwakilishi waparestina wote) ni genge la kigaidi!
Vzuri mkuu mm ningekua rafki yko usingekua na Muda wa kutoa ushuhuda leoOzil alikuwa mchezaji wa mpira mkuu na sio member wa Hamas, Nina Wana wengi tu wafuasi wa munyaazi mungu ila ndio hivyo naishi nao kwa akili.
Unaota ety!Kama Hamas au Iran au Hezbolah wangekuwa na mabomu ya nyuklia wasingesita kuyatumia dhidi ya Israel maana tumeona ukatili wao dhidi ya raia.
Sasa kwasababu Israel anayo mabomu ya nyuklia karibu 100, ni wakati sasa aangushe moja Gaza lingine Beirut na lingine Tehran ili mashariki ya kati itulie.
Japan waliacha fujo na kiherehere baada ya atomic bomb kushushwa.
Itakua km somalia 🙌Hawa ikienda week moja mbele magonjwa ya milipuko na njaa vitawatesa sana.
Hamas Ni magaidi ya viwango vya juu kabisa. Lazima wasambaratishwe ipasavyo.Mbaya zaidi dunia nzima inaaminishwa Hamas is a terrorist organisation huku ukweli ukifichwa kwa nguvu zote kuhusu waasisi wake.
Mkuu wew ni kafiri Tu na wanao watabaki kuwa kafiri sasa cjui unataka waitwaje kafiri wwAcha ujuha
Sijajua unataka kusemaje, mkuu. Au, better yet, mantiki yako ni ipi.Israel walipewa taarifa ya ujasusi kabla ya tukio.
Kwamba?Unaota ety!
Angalia alichokiandike yule niliemquoteKwamba?
Nasikia Israel imedanganya kuhusu hammas kuua w
⚡⚡⚡UPDATESZaidi ya vyama 35 vya wanafunzi wa Havard University-moja ya chuo kikuu bora kabisa duniani, jumamosi tarehe 7 October walitoa tamko la pamoja linalosema kuwa uamuzi wa Hamas kuishambulia Israeli hakutokea hewani tu , bali ni matokeo ya utawala wa kibaguzi wa Israeli ambao wamekuwa wakiwafanyia waPalestina kwa miaka mingi.
Nawanukuu;
"Hamas-led attack “did not occur in a vacuum” and that Israel was “entirely responsible for all unfolding violence.”
Wakaongeza kwa kusema siku zijazo waaplestina wajiandae na mashambulizi kutoka Israel kutokana na uamuzi wao waliouchukua.
Nanukuu andiko lao ;
"In the coming days, Palestinians will be forced to bear the full brunt of Israel's violence,"
Kufuatia barua hiyo lawamana kubwa zimeelekezwa kwenye uongozi wa chuo hicho kwa kushindwa kutoa tamko kuonyesha kusapoti Israel.
Lawama hizo dhidi ya ungozi wa chuo kikuu cha Havard zimetoka haswa kwa graduates and alumni wa Havard ambao wengi wao ni wanasiasa mashuhuri nchini Marekani kama vile Senator. Ted Cruz (wa Texas) , Representative. Elise Stefanik (wa New York) na Lawrence Summers(aliyekuwa mtaalam wa mambo ya sera za mambo ya uchumi Washington na raisi wa chuo kikuu cha Havard)
Namnukuu hapa Mr. Lawrence kauli yake aliyoitoa katika mtandao wa X;
“The silence from Leadership, so far, coupled with a vocal and widely reported student groups’ statement blaming Israel solely, has allowed Harvard to appear at best neutral towards acts of terror against the Jewish state of Israel,” .
Chanzo:
Joint statement by Havard students
View attachment 2777583
Ina maana hawajajua kuwa tatizo ni wapalestine wenyewe.Twende kazi.
Qatar yatishia kusitisha usambazaji wa gesi asilia kwa mataifa ya nchi za magharibi endapo kama Israeli ataendelea kuiangamiza Gaza.
===========
[emoji1203]Qatar has threatened to stop supplying gas to the West if the bombing of the Gaza strip does not stop
View attachment 2780010![]()
Qatar threatens to cut gas export if Gaza bombardment continues
Qatar threatened that if the bombing of Gaza does not stop, it will stop the export of gas to the countries of the world.t.co
Nani anakalia kimabavu maeneo ya watu kama sio waisraeli?toeni giza kwenye ubongo na muone ukweli.Ina maana hawajajua kuwa tatizo ni wapalestine wenyewe.
Inshu sio tatizo ni wapalestina. shida ni unyama anaoufanya Nyau na jeshi lake la kutaka kufanya genocide ya watu zaidi y 2.5 million Palestines in GazaIna maana hawajajua kuwa tatizo ni wapalestine wenyewe.
Israel ndiyo walioanza kuvamia maeneo ya wapalestina na kuchukua maeneo na kuwatesa wapalestina.wapalestina kumbe wakaanza kupata kisasi.kwanini hamtaki kuona ukweli?wote ni wenyeji wa maeneo hayo sasa kwanini waisraeli wanachukua maeneo kibabe?i'm Christin lakini sipendi uonevu na mateso wanayopata wapalestina.Hawa waGaza si walilianzisha wao kuvamia Israeli na ninyi mkaendelea kuwasifu kwa nyimbo za Khaswida kwamba ni heroes.Sasa waIsraeli wameretaliate mnaanza tena kulaumu?Halafu maji ,umeme na chakula vinatoka Israeli.Yaani Israeli inawalisha na kuwanywesha watu wa Gaza pia kuwapa umeme Hao Watu .Halafu wakishakula na kushiba na kupata nguvu,wanashambulia Israeli na kutumia Umeme na fedha wanazopata toka Israeli kutengeneza maroketi na silaha nyingine ili kushambulia tena hiyohiyo,Israeli,Hii imekaaje?!!!🤔
Bullshit⚡⚡⚡UPDATES
BILIONEA ACKMAN ATAKA MAJINA YA WA HARVARD WANAFUNZI WALIOANDIKA WARAKA WA KUILAANI ISRAELI KUWEKWA WAZI ILI WASIAJIRIKE
🤝😍💪💪🇮🇱🇮🇱US Secretary of State Antony Blinken akiwasili nchini Israel kuonyesha mshikamano na Tel Aviv amid escalation na Hamas.
View attachment 2779973
View attachment 2779977