n-propanol
JF-Expert Member
- Apr 7, 2019
- 5,349
- 7,000
Wewe ni Christian maamuma. Rudi Sunday school ukaanze upya kusoma habari za wana wa Israeli. Hayo maeneo ni maeneo ya Israel Mungu aliwapa urithi tangu enzi za babu yao Abraham na mipaka yao ipo wazi tatizo lao waliwaacha hawa Wafilisti, na wenzao hapo jirani bila kuwafyeka mapema kuna kipindi mpaka Joshua aliwamind akawaambia mbona mnakuwa walegevu kuiendea nchi aliyowapa Mungu na kwenda kumiliki?..Israel Mungu awabariki tu, they deserve that land tena waichukue Westbank, Gaza yote hata kule Lebanon ni kwa wana wa Israeli for your information.i'm Christin lakini sipendi uonevu na mateso wanayopata wapalestina.