LIVE Yanayojiri vita ya Israel dhidi ya Palestina na HAMAS

Live coverage on JamiiForums
Mikwara tu hiyo, wanatakiwa kuingia Gaza kuokoa watu wao
Inawezekana ww ndo uliwashauri Hamas wafanye ujinga wa kuvamia ... hata kma huoni basi sikiliza yanayotokea gaza .Gaza imegeuka magofu na ndo vita bado mbichiii pale gaza watakuja kukusanya vifusi vya kokoto [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Ingia YouTube iko link ya kuangalia LIVE jinsi IDF wanavyomobiloze vikosi vyake karibu na ukanda wa Gaza na misafara ya kijeshi iliyozunguka Entrances zote za Gaza. Things gon' be out of hand
Waliingiliwa aje? Hali hii ndio kama wamarekani, wanajidai wana nguvu za kivita ila mbinu ndogo tu kama za tukio la ndege zinawaacha uchi, matokeo yake ndio kuumiza watu na mataifa baada ya tukio!

Sent from my moto g 5G (2022) using JamiiForums mobile app
 
Inawezekana ww ndo uliwashauri Hamas wafanye ujinga wa kuvamia ... hata kma huoni basi sikiliza yanayotokea gaza .Gaza imegeuka magofu na ndo vita bado mbichiii pale gaza watakuja kukusanya vifusi vya kokoto [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Badala ya kupiga adui unabomoa maghorofa, huo ni ujinga na aibu kwa jeshi linalojidai la Israel, Hamas wenyewe wametulia sehemu na mateka wao, wanajua wale mbuzi sharti waje kuwakomboa
 
Sijajua unataka kusemaje, mkuu. Au, better yet, mantiki yako ni ipi.

But truth be told, Israel experienced a surprise attack by Palestinian militant group, which ended up in violence, brutal killings and kidnappings from both sides.
Hamas wameingia kiakili Sana,rusha roketi ku-divert attention,rusha roketi za Moshi camera zisione,wakaingia kwa parachuti kuvuka vizuizi,walipotua paruchuti zilikua na vipikipiki Mara ghafla wapo ndani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…