Yesu Anakuja
JF-Expert Member
- Apr 10, 2019
- 12,675
- 25,924
mrusi hana uwezo kumsaidia yeyote yeye mwenyewe anapumulia mashine ukrain tu amemshinda. kama iran iana hypersonic, israel anayo hadi nuclear.Nonsense wamguse Iran waone Yule anampaka hypersonic missiles huku anabackup ya Mrusi.
Siku zote israel hupewa msaada mikubwa na US tangu mwaka 1947 ila leo kakikundi ambako kapo staless na kamezingilwa pande zote, kama "biggest open prison in the world" kana mtia hofu mpa kutumia siraha zito F 16 mbombandiments, wanajeshi laki tatu, hapo kuna jambo kubwa tusio lijua.ukraine ilikuwa sehemu ya mazoezi na majaribio ya silaha, ndio maana hata msaada mkubwa haukutolewa. israel ameshapokea USD 5Billion toka marekani kwa ajili ya hii vita. ukrain hakupeleka pesa hizo. anapopigwa mtoto wako ni tofauti na anapopigwa jirani hata kama ni wa ukoo wako.
hamna lolote, kama vifaru kila nchi imepeleka katika mpaka wake - Misri imepeleka, Lebanon imepeleka, so.sasa hapo ndio patamu. alikuwa anasubiriwa kwa hamu sana. though kwa akili yake anafikiri kweli israel ingeenda kumpiga kwa ground invasion? ni kwa madege tu. na iran anachotegemea sana ni hamas na hezbolah kwamba watakuwa wanamsaidia.
Ni kweli, matatizo ya mrusi yanamtosha, Korea na yeye juzi karuka mita mia kwamba yale makombola si ya kwake kabisa. Yaani baada ya US kusema ina pamoja na Islael kwenye hili, watu kimyaaaa !!mrusi hana uwezo kumsaidia yeyote yeye mwenyewe anapumulia mashine ukrain tu amemshinda. kama iran iana hypersonic, israel anayo hadi nuclear.
Nyie kweli hamna akili mtu ambaye vita vimemshinda anawezaje kumiliki asilimia 20 ya eneo?mrusi hana uwezo kumsaidia yeyote yeye mwenyewe anapumulia mashine ukrain tu amemshinda. kama iran iana hypersonic, israel anayo hadi nuclear.
Iran naye anatengeneza nuclearmrusi hana uwezo kumsaidia yeyote yeye mwenyewe anapumulia mashine ukrain tu amemshinda. kama iran iana hypersonic, israel anayo hadi nuclear.
Mzee usikariri, unapigana na mtu kulingana na uwezo wake.Nonsense wamguse Iran waone Yule anampaka hypersonic missiles huku anabackup ya Mrusi.
Punguza mihemko huwezi kuhamisha watu milion moja ndani ya Masaa 24 tena sehemu finyu namna hiyo ,maana unaweza sababisha maafa makubwa kuliko hata hiyo vita.UMEONA HAMAS WALIVOKUWA WAPUMBAVU, ISRAEL MILLITARY WANAWAAMBIA WATU WA EVACUATE NORTHERN GAZA WAO WANAWAMBIA MSIONDOKE, WANATUMIA WATU KAMA HUMAN SHIELDS, ALAF KUNA WATU MNAKUJA HAPA KUWATETEA.
INAKUAJE ISRAEL MILLITARY INAJALI MAISHA YA WATU WA GAZA KULIKO HAMAS??
ALAF WATU WAKIULIWA KWA MABOMU WANAWAREKODI WANAPOST MITANDAONI.
YAAN KAMA MTU ANAWEZA KUCHUKUA KISU AKAMCHINJA MTU AU AKAKATA KICHWA CHA MTOTO, WE UNADHANI ATAJALI MAISHA YAKO ATAKAMA WE NI MWARABU MWENZAKE.
MI NINACHOJUA NI KITU KIMOJA, MUUAJI NI MUUAJI TUU, AKIMALIZA KUUA MAADUI ZAKE ATAKUJA KUKUUA NA WW TUU HATAKAMA NI RAFIKI AKE.
"THERE IS NO HONOR AMONG CRIMINALS"
View: https://twitter.com/spectatorindex/status/1712734501162582499?t=3-16VrcRPKHYqmMAC0KHyA&s=19
waeleze mkuu.Mzee usikariri, unapigana na mtu kulingana na uwezo wake.
Kama unaangalia mpira utafahamu hicho kitu, Real Madrid inavocheza akiwa Uefa na wababe wenzake ni tofauti kabisa akiwa "La liga" anacheza na "Villarreal"
Kuna adjustments zinafanyika unapombana na mtu mbabe zaidi.
Sasa usidhani Israel anavopambana na Hamas au Hezbollah ndo atakavopambana na Iran.
Mihemko gani bhana ww.Punguza mihemko huwezi kuhamisha watu milion moja ndani ya Masaa 24 tena sehemu finyu namna hiyo ,maana unaweza sababisha maafa makubwa kuliko hata hiyo vita.
maslahi maslahi achana na vitabuHuo ni mtazamo wako tu usio na uhalisia, Rusia kamwe hawezi kuwatumia Hamas kumpiga muisraeli. Hivi ulishawahi sikia mahali popote Rusia na Israeli wanavutana?
Mnamuovarate tu hana lolote.Mzee usikariri, unapigana na mtu kulingana na uwezo wake.
Kama unaangalia mpira utafahamu hicho kitu, Real Madrid inavocheza akiwa Uefa na wababe wenzake ni tofauti kabisa akiwa "La liga" anacheza na "Villarreal"
Kuna adjustments zinafanyika unapombana na mtu mbabe zaidi.
Sasa usidhani Israel anavopambana na Hamas au Hezbollah ndo atakavopambana na Iran.
Iran hana mpaka na Syria acha ujinga kazi kujitia ujuaji wakati ni zero kichwani.iran wameweka vifaru kwenye mpaka wake na syria sio lebanon. wanajua israel atapiga kuanzia syria kuingilia kwao kama wakitaka kupiga ground invasion.
Nyie ndo mnafanya makosa sasa kama hamjui, hamna kitu kibaya kweny vita kama "Underestimating" your enemy.Mnamuovarate tu hana lolote.
Tumieni akili Israel anasavive kwa misaada ya Marekani hana lolote hawezi kushinda vita na Iran wanaojitegemea Kwa kila kituNyie ndo mnafanya makosa sasa kama hamjui, hamna kitu kibaya kweny vita kama "Underestimating" your enemy.
Israel hataki kufanya hivo ndo maana ana take serious measures.
Sasa we endelea kum "Underestimate" your enemy, kosa ambalo Japan alilifanya WWII alipomdharau USA.
Nimesha kwambia kuhamisha watu milion moja ndani ya siku moja tena kipindi cha vita ni hatari.Mihemko gani bhana ww.
Ni bora kujaribu kuhamisha baadhi ya watu kuliko kuacha kabisa kuwaambia wabaki, "Mtembea bure si sawa na mkaa bure"
Haya waambie wenzako waendelee kubaki.
Kwahiyo Israel ilipora zaidi ya ilichopewa na azimio, sio?Uamuzi ulipitishwa na Baraza Kuu la UN (Nov 1947), ikiwemo Marekani na USSR.
Ardhi ya Palestina zaidi ya nusu (56%) ilikabidhiwa kwa Wayahudi, huku Yerusalemu ikiwekwa chini ya usimamizi wa kimataifa.
Wayahudi walikubali mpango huo, lakini Waarabu wakakataa kuuafiki.
Mapigano ya Wayahudi na Waarabu Palestina yakazuka mara tu baada ya uamuzi wa UN.
Kufuatia vita hivyo, Israeli ilifanikiwa kuchukua maeneo mengi ya Waarabu wa Palestina, ikiungwa mkono na Mfalme Abdullah wa Transjordan (Jordan kwa sasa), ambaye hakupenda Palestina iwe nchi huru kwa sababu ya maslahi binafsi ya kutaka kuimiliki yeye.
Hadi kufikia mwaka 1950 (miaka 3 tu baadaye) Israeli ilikuwa ikimiliki 77% ya ardhi ya Palestina. Mfalme Abdullah alikuwa amejitwalia Mji wa zamani wa Yerusalemu na eneo la kati la Palestina (sasa yajulikana kama West Bank).
Wakati huu ni Waarabu wapatao 160,000 pekee ndio walikuwa wamesalia katika maeneo yaliyokuwa yakitawaliwa na Israeli.
Unajua kuwa hao wayahudi walifanya kuomba wapate sehemu ya watakayo ITA nyumbani na Uganda ilikua ni 1 ya mapendekezo lkn baadae mpaango ukabadilika. Ukweli hawa jamaa ni vigeu geu ndio maana walimkata yesu inamaana wangekuja Uganda pia wangesema ni ardhi Yao ya aHadi . Nyerere sio mjinga kuwakata lkn sishangai hapo Gaza hao ni mahasimu wa Muda na ukweli huu gomvi baado sana kusemea utaisha hapo ananyemelewa MTU kuna Syria wanataka ardhi kuna Egypt Lebanon na kuna Jordan hapo ni kimya kimya jibu litapatkana Tu anasubiri MTU aingie mkenge usisahau wapalistina nao wanataka Uhuru wao wa kua nchiHuyo umemtukana bure tu, mkuu. Before 1947 walikuwepo Wayahudi Palestina, ingawa idadi yao ilikuwa ndogo (600,000) ikilinganishwa na Waarabu (1.2 million).