LIVE Yanayojiri vita ya Israel dhidi ya Palestina na HAMAS

LIVE Yanayojiri vita ya Israel dhidi ya Palestina na HAMAS

Live coverage on JamiiForums
Wakati Rais wa JMT anaweka Misimamo wa kipekee kabisa duniani katika mapambano dhidi ya Covid-19 Dunia Nzima ilienda na msimamo wa Marekani ambao kimsingi Ndio Waisrael

Watu wakasema Marekani wako sahihi kwa sababu Taasisi Zao za Usalama hazifanyagi makosa

Leo Israel amerudia makosa ya Marekani aliyofanya miaka 20 iliyopita dhidi ya Al Qaida na imelipuliwa na Hamas kitutusa kabisa

Mungu wa mbinguni mrehemu Julius Nyerere kwa kutujengea misingi Imara ya Usalama!
Hii clip ukiisikiliza vizuri kuna kitu lazima utang'amua, lakini wanasiasa wa Israel walipumbazwa na mkataba wa amani kati yao na waarabu.
 
Kuna makubaliano ya kutomuua Ismail Haniyeh labda wakiamua kutoyazingatia.
Kiuhalisia baadhi ya viongozi wa Hamas ni kama hostages wanafuata kile wengi wanataka ila madhara wanayajua. Mwaka jana Hezbollah ilivyorusha maroketi ikawataka Hamas waungane Haniyeh na wenzake wakagoma hawakuwa wamejipanga.

Ukishamuua Haniyeh hao Hamas wanakosa kiongozi hata control inakosa, vijana wake wataanza kukaa hospitali na sokoni ndio wanafanyia mashambulizi kutoka kule. Ukimuua jipange kuua raia wengi zaidi
Huenda ikawa mwanzo wa 'intifada ya 3' nini ?....Au ni mpaka Hamas na Islamic Jihad wapate uungwaji mkono mkubwa kutoka nje (Jambo ambalo bado halijaonekana) ?
 
Wameanzisha ngoja tuone kama hawawezi. Israel kuanzisha ground operation ni kupunguza collateral damage inayotokana na airstrikes.

Hezbollah ilidai wakiingia Gaza inashambulia, Iran ilidai wakishambulia Hezbollah nayo inawasaidia.
Operation ya kama hiyo waliifanya mwaka 2014 lakini haikufua dafu ngoja tuone na hii
 
Ti
BREAKING:

Unconfirmed reports of Hezbollah threatening to invade Israel from Lebanon if Israel launches a ground offensive against Gaza

The Egyptian gov. has allegedly passed on the information from Hezbollah to Israel.

It's worth remembering that Hezbollah is an Iranian tool
Tiyari Israel ina battalions 31 ziko mpakani na Gaza zinaingia. Hao Hezbollah waje nchi yao izidi kufanywa third world country, 97% ya makombora waliyorusha mwaka jana yalikuwa intercepted na mifumo ya Israel. Wao hawana uwezo wa kuzuia shambulizi la anga waje mguu kwa mguu wakutane IDF mpakani na Lebanon.

Kila mmoja ana hasara hapo ila hatutaki lawama wakipigana, wakiambiwa wafanye mazungumzo hawawezi.
 
Bomu moja la atomic/nuclear Palestine inafutika
IMG_20231007_181123.jpg
 
We jamaa unafanya kama movie watu wakauwane kichwakichwa.
Bro,haya mambo hayakwepeki. Wote ni vichwa ngumu,hawaelewani,hawaelewi. Tufanyeje? Kila mmoja anajiona ndo bora. Ingelikuwa vita ya viongozi wanaoandaa hayo mashambulizi bila kuhusisha raia wa kawaida
 
Huenda ikawa mwanzo wa 'intifada ya 3' nini ?....Au ni mpaka Hamas na Islamic Jihad wapate uungwaji mkono mkubwa kutoka nje (Jambo ambalo bado halijaonekana) ?
Mkuu ebu tuachane na hayo hebu toa neno MOSAD kutokana na shambulizi hili.
 
Operation ya kama hiyo waliifanya mwaka 2014 lakini haikufua dafu ngoja tuone na hii
Operation ya 2014 unairudia ukidai haikufua dafu, unajua walienda kufanya nini?
Hamas iliteka Wayahudi, Israel ikafanya arrest ya mamia ya Hamas fighters na Waarabu, Hamas ikarusga makombora.

Israel ikaanzisha operation kuzuia Hamas isirushe makombora. Mwisho wa operation ukaisha Hamas haikuendelea kurusha makombora, Israel ilipoteza watu 70 hivi na Gaza ikapoteza watu zaidi ya 2,000 wakiwemo Hamas na raia plus majengo mengi yaliyofanywa magofu.

Operation haikufua dafu gani hilo unalotaka wewe?
 
Hamas ni walebanon na hapo lebanon takwimu uislam na ukristo ni 50-50,ukanda ule hamna vita ya kidini ni vita kati ya waarabu na wayahudi maana hata wapalestina 30% ni christian na ndio wanaendesha makanisa ya jerusalem wanayohiji wakristo wa dunia nzima
Hizbollah sio hamas
 
Hao Hamas kama kweli wanapigania ardhi yao,hakika ni wazalendo wa kwelikweli.
 
Subiri wayahudi wa Tandahimba waje kukushambulia....

Wengi wao wanajua wayahudi ni wakristo...au wanamtambua Yesu ..
Kumbe wayahudi hata huyo Yesu wanamtukana ..wanamuita tapeli ...
Hii mbona ipo biblically mkuu ni kwa vile tu haujui na kwa taarifa yako tu Kuna wapelistina wengi wakristo kuliko wayahudi
 
Back
Top Bottom