Yesu Anakuja
JF-Expert Member
- Apr 10, 2019
- 12,675
- 25,924
hata wawe na silaha namna gani, at the end of the day wataomba huruma. soon kilio kitaanza ili waonewe huruma wakati wao ndio wakorofi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Watu wa haki za binadamu wasiaze kulialia ,majibu yatakua mazito sana
Sasa hii ina maanisha nini?Jamaa wa Hamas akila selfie na Shangazi wa waziri wa ulinzi wa Israel View attachment 2774605
Hata Iron Dome zilikuwa wapi makombora yanatua kila kona.Maana tunasikiaga hao jamaa ni noma ktk ujasusi ,yaani kwa mbele hatua kadhaa zidi ya wenzao
Ngoja watuliie ,watasema tuHata Iron Dome zilikuwa wapi makombora yanatua kila kona.
Kwenye hii ambush waliopigwa wazayuni kuna mengi ya kujifunza.
hata wawe na silaha namna gani, at the end of the day wataomba huruma. soon kilio kitaanza ili waonewe huruma wakati wao ndio wakorofi.
View: https://youtu.be/d5lcAgNFq7E?si=d1WCH-baW-bCVV2bIsrael huwa yeye ananza kuvamia kila siku hi mara Hamas kamuwahi afu hao mashoga yani hata camp yao ya jeshi imetekwa kiulaini yani hamna kitu Israel ni kelele tu
"Kuna wapalestina wengi wakristo kuliko wayahudi"Hii mbona ipo biblically mkuu ni kwa vile tu haujui na kwa taarifa yako tu Kuna wapelistina wengi wakristo kuliko wayahudi
Intelligence failure kubwa sana....Kama ile ya 9/11 kule USMossad walikuwa wapi
Makombora yanapigiwa ndani. Ni kama ile September 11 ambapo mtu alipigiwa ndani mwake, kwa kutumia marubani waliofundishiwa humohumo ndani, waka waamini na kuwapa vibali.Hata Iron Dome zilikuwa wapi makombora yanatua kila kona.
Kwenye hii ambush waliopigwa wazayuni kuna mengi ya kujifunza.
Sawa sawaIntelligence failure kubwa sana....Kama ile ya 9/11 kule US
Sasa kazi ya hiyo mosad ambayo huwa mnaisifu inafanya kazi gani kama haiwezi kuhakiki kuwa adui tena aliye mdomoni mwako anatengeneza silaha hatarishi kwa taifa lao?Unamaanisha utengenezaji wa maroketi duniani uliisha mwaka 2014?
Kwamba baada ya kuharibiwa kwa maroketi ya 2014, haiwezekani yakaundwa mengine kuanzia mwaka huo na sasa miaka tisa baadae yawepo. Maroketi ni viumbe hai kwamba Juma Nkamia alifariki hivyo haundwi mwingine?
Hatari sana. Ukipigiwa kwa ndani inabidi utulie.Makombora yanapigiwa ndani. Ni kama ile September 11 ambapo mtu alipigiwa ndani mwake, kwa kutumia marubani waliofundishiwa humohumo ndani, waka waamini na kuwapa vibali.
israel Hawakujifunza ya mwaka 1967. Kisa Jmosi ni Sabato basi wote wanaenda kuiabudu siku na kupelekea ulinzi kulega.
Uwezo wa kuteka hawana, hao wamejitoa muhanga tu wanachofanya kwa sasa ni yale matukio ya panya road ambapo 'huteka' mitaa kwa muda lakini huwa wala hawana mpango wa kukaa hapo. Ndicho walichofanya Hamas, wameingia hapo wakitegemea human shield kama kawaida yao.Hamas wameteka maeneo mengi ya IsraelView attachment 2774604