WrestlerRSF254
JF-Expert Member
- Jan 30, 2023
- 1,196
- 2,012
Kwamba unatwanga then unakimbia kuja kujificha kwako na wakati huo familia yako umewasahau nje🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Uzuri tayari historia imeshaandikwa. Wababe wameweza kuwavamia asubuhi na mapema! Wakawatandika siku nzima, huku mayahudi wakijificha wasiuwawe!
Na baada ya kuwabonda vya kutosha, na kuchukua baadhi ya mateka! Hao mayahudi wameona watumie sasa makombora kuua akina mama na watoto! Badala ya kuwaua hao wanamgambo qa Hamas. Kama wana ujanja, waingie Gaza kuwatafuta hao Hamas halafu waone kitakacho wakuta.
Mimi nimeona mmoja tayari kashashindwa ila hataki tu kuomba poo!🤣🤣🤣🤣🤣Hao magaidi walitoa taarifa walipo vamia Israel?
Vp mwanaume🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Mara ya kwanza walisema Israel wakitupa mabomu Gaza wanaingia, mabomu yakaangushwa.
Mara 2 wakasema mabomu yakiendelea tunauwa mateka na na hezibulla wataingia ila kimya.
Juzi Iran na juia ya kiislamu wakasema Israel wakiingia Gaza nao wanaingia.
Jana wakasema Israel wakiingia Gaza wataangalia wanafanya nini.
Leo wanasema wakiingia nao waningia.
🤣🤣
Mwarabu kwa asili ni mfanyabishara na si mpiganaji - toka enzi za kina Tippu Tip. wewe ulisikia wapi waarabu wakaliamusha na wakashinda? zaidi ya kujilipua lipua.Mara ya kwanza walisema Israel wakitupa mabomu Gaza wanaingia, mabomu yakaangushwa.
Mara 2 wakasema mabomu yakiendelea tunauwa mateka na na hezibulla wataingia ila kimya.
Juzi Iran na juia ya kiislamu wakasema Israel wakiingia Gaza nao wanaingia.
Jana wakasema Israel wakiingia Gaza wataangalia wanafanya nini.
Leo wanasema wakiingia nao waningia.
🤣🤣
Israel hawezi kupambana na Hizbullah kwani walishawahi kupambana na matokeo yanafahamika.hapo wanasubiri tu hezbollah aseme SU, afu lebanon inakuwa kama gaza. wao pia ni waoga wanaiogopa sana israel na wanajua netanyau hana utani. kama umetembelea mitandao yao wanaiomba hezbollah isifanye icho kitu wakihofia makazi na biashara zao na wao kuwa wakimbizi.
Hoja yako inaibua swali muhimu: Nani anayetoa hati miliki ya ardhi hapa duniani?umeweka historia nzuri. na kwa historia hii, maana yake wapalestina kwa maana ya waarabu hawajawahi kumiliki hilo eneo. karne nyingi baada ya Yesu, na hata kabla, eneo lote lile lilijulikana kama caanan, ila wapalestina ambao ni wafilistia (wafilist) walikuwepo wachache sana kama minority chini ya GAZA na waliishi sio kama wamiliki wa eneo, kwasababu mfalme alikuwa herode wa kiyahudi ambaye pia alikuwa chini ya warumi. imekuwa hivyo hata baada ya ottoman empire waliokuwa kuwafukuza kabisa wayahudi. quran haijawahi taja neno Palestine, halimo kabisa, ila wanataja kama ni ardhi takatifu ya kiyahudi na wanaing'ang'ania zaidi kwasababu ya msikitiw a al aqsa uliojengwa baada ya kuvunja hekalu la suleiman mfamle wa waisrael. walivunja wakabakisha ukuta ambao upo hadi leo, ukuta wa maombolezo ambao wayahudi upande wa pili huwa wanaenda kuombolezea hadi kesho.
Mzee, mwarabu ni mfanyabiashara hasa mafuta nk - mambo ya vita waachieni wenye fani zao. at the end mwarabu anaishia kujilipua akidhani Mwenyezi Mungu atampokea peponi.Ukizungumzia Hizbullah unazungumzia jeshi kamili ambalo limejizatiti ki anga, ardhini na majini. Hivyo wakipigana na Israel itakuwa ni habari nyengine.
kwahiyo unataka kusema kwamba hezbullah waliishinda israel? au israel aliondoka mwenyewe kwasababu dunia ilikuwa inalalamika mno jambo ambalo kwa uchinjaji uliotokea majuzi hata dunia haiongei chochote? pia, kwenye vita, jua kuwa ni kitu kigumu sana kupigana na gaidi anayejificha kwenye raia na kukurushia bomu wakati wew ehautaki kuua raia unataka kumpiga yeye peke yake. hapo ndipo wanatofautiana. ila kwa hilo, nafikiri unajua kinachoendelea gaza, kama raia wanajaliwa tena basi waambie waendelee kubaki gaza. anapiga bila kuangalia sasaivi.Israel hawezi kupambana na Hizbullah kwani walishawahi kupambana na matokeo yanafahamika.
Licha ya hivyo ukiangalia kwa mapana Israel wapo vizuri kwa jeshi la anga. Mbali na hapo hawana uzuri wa zaidi. Jambo lengine anga la Gaza lipo wazi hawana ADS.
Ukizungumzia Hizbullah unazungumzia jeshi kamili ambalo limejizatiti ki anga, ardhini na majini. Hivyo wakipigana na Israel itakuwa ni habari nyengine.
Na ndiyo maana US, UK, France na Ujerumani wote wanataka na kutahadharisha Hizbullah asiingie.
Ww kafiri Acha chuki na dini za watu unao wapigia kelele wenyewe sio wakristo sasa cjui unamatatzo gani inaa kuuma nni waislamu wakipa mabikra wao 100 Acha chukiHuyu Mungu Yehova ambaye Israel ndio mzaliwa wake wa kwanza, yeye asiyelala wala asiyesinzia ndio mkuu. Wewe endelea kuabudu Allah anayewapa watu mito ya ulevi na mabikra 72 huko Jannah firdaus baada ya kuchinja, kuchoma moto, na kubaka watu wasio hatia. Kuabudu hilo dude lenye mguu mmoja ambapo Qur'an inasema ndie atakuwa wa kwanza kutupwa kwenye ziwa la moto baada ya kuwaingiza chaka lazima mtu awe Punguani kidogo. Mwaabudu msichokijua
anachomaanisha Benjamin netanyau, na ambacho ni cha kweli ni kwamba, kwa historia yote ya eneo lile, wafalme wote hadi uwepo wa roman empire, ottoman etc, wayahudi ndio ardhi yao, na hata walipohama hawakuhama wote, wapo waliobaki ambao sasa wapalestina waliwazidi idadi tu ila walibaki wengi sana pia.Hoja yako inaibua swali muhimu: Nani anayetoa hati miliki ya ardhi hapa duniani?
From Benjamin Netanyau's view: ^Israel has been living in the Middle East for generations, for thousands of years.^
For the sake of argument, which society -- from the US 17th and 18th century immigrants mostly from Europe even to our very tribes in Tanzania -- would dare accept such method of identity and land ownership?
Or, better yet, what's the earliest point in time, historically speaking, from which a given society is accountable worth of the title deed and rightful ownership of a piece of land that they are said to have acquired then?
Israel hawezi kupambana na Hizbullah kwani walishawahi kupambana na matokeo yanafahamika.
Licha ya hivyo ukiangalia kwa mapana Israel wapo vizuri kwa jeshi la anga. Mbali na hapo hawana uzuri wa zaidi. Jambo lengine anga la Gaza lipo wazi hawana ADS.
Ukizungumzia Hizbullah unazungumzia jeshi kamili ambalo limejizatiti ki anga, ardhini na majini. Hivyo wakipigana na Israel itakuwa ni habari nyengine.
Na ndiyo maana US, UK, France na Ujerumani wote wanataka na kutahadharisha Hizbullah asiingie.
raia wakiondoka hapo, yatapigwa mabom ya kufunua funika hapo hayo majengo hayatakuwepo tena, hamas hawajui kama kwenye mahandaki waliyokimbilia ndio makaburi yao.Unaona hapo chini, hapo ni uso kwa uso, hakuna tank wala gari inapita, au kuita airstrike
Ni lazima watembee kwa mguu, yaani uingie nyumbani kwangu halafu unajifanyan unajua kila kona,
View attachment 2781919
Hezbullah 1,000 wamekufa, wayahudi 120, na unasema walishindwa vita.Mkuu vita vya 2006 ni hivi mimi navijua matokea yake
View attachment 2781918
Hezbollah zaidi ya 1000 walikwenda.
T14 Armata
Njoo
Sasa mkuu Hamas humo ndani hawana hata backup ya risasi.Unaona hapo chini, hapo ni uso kwa uso, hakuna tank wala gari inapita, au kuita airstrike
Ni lazima watembee kwa mguu, yaani uingie nyumbani kwangu halafu unajifanyan unajua kila kona,
View attachment 2781919
Mkuu vita viliisha baada ya Israel walikubaliana na UN.Hezbullah 1,000 wamekufa, wayahudi 120, na unasema walishindwa vita.
Wewe kwani hujui Vita mapambano bado yanaendelea. Israel atapigna lkn Hana uwezo WA kunyamazisha wapalistina full stop nakama unabisha wake kumbukumbu huu Uzi . Utakuja Kukri ww au mjuku wakokwahiyo unataka kusema kwamba hezbullah waliishinda israel? au israel aliondoka mwenyewe kwasababu dunia ilikuwa inalalamika mno jambo ambalo kwa uchinjaji uliotokea majuzi hata dunia haiongei chochote? pia, kwenye vita, jua kuwa ni kitu kigumu sana kupigana na gaidi anayejificha kwenye raia na kukurushia bomu wakati wew ehautaki kuua raia unataka kumpiga yeye peke yake. hapo ndipo wanatofautiana. ila kwa hilo, nafikiri unajua kinachoendelea gaza, kama raia wanajaliwa tena basi waambie waendelee kubaki gaza. anapiga bila kuangalia sasaivi.
pia, jambo ninalokuhakikishia ni kwamba, Hezbullah wangekuwa na uwezo kuishinda israel, basi israel ingeshafutika kwenye uso wa dunia zamani sana. kama huamini endelea kubaki na imani yako. hezbullah na hamas siku zote huwa wanapona kwa njia ya kulialia ili waonewe huruma na dunia lakini sio uwezo wa kupigana.
Gaza ina mahandaki mengi sana walishajiandaa kwa kuficha silaha huko, maji na chakula. ila wakipigana hivi kwa mwezi mmoja au miwili, wataishiwa silaha, wataishiwa maji na chakula, na mafuta, watajitokeza nje. na wakitoka tu, wote itakuwa halali ya kuuawa kwasababu raia wote wameshaondoka. raia wakiondoka atakayetokeza kichwa tu ni risasi bila kuuliza. ndipo watakapopukutishwa wote. adui mwombee njaa tu.Sasa mkuu Hamas humo ndani hawana hata backup ya risasi.
Kama mpk sasa washakwenda zaidi ya 2000.
Unategemea nini.
Huko Gaza hawana hata backup ya risasi wala RPG
sawa.Wewe kwani hujui Vita mapambano bado yanaendelea. Israel atapigna lkn Hana uwezo WA kunyamazisha wapalistina full stop nakama unabisha wake kumbukumbu huu Uzi . Utakuja Kukri ww au mjuku wako
Mwarabu kwenye vita yupo vizuri ni mtu ambaye akijitoa anajitoa, hili linafahamika na lipo wazi.Mzee, mwarabu ni mfanyabiashara hasa mafuta nk - mambo ya vita waachieni wenye fani zao. at the end mwarabu anaishia kujilipua akidhani Mwenyezi Mungu atampokea peponi.