Wanawatunza ? au hujui Hezbollah ni chama cha siasa kabisa na ni sehemu ya serikali ya mseto pale Lebanon iliyotengenezwa baada ya vita ya wenyewe kwa wenyewe ?Acha wachapwe tu,mbona hawawaachi mateka?
Ukorofi si mzuri.
Bado Lebanon wanawatunza Hezibolah na wanawaruhusu kuishambulia Israel
Kiangamizwe kizazi chako kwanza.Iran&Urusi na China ni nchi makini sana
Zinaongozwa na Viongozi makini na wazalendo sana
Mapenzi yangu kwa Ayatollah wa Iran hayapimiki yaani namkubali ayatollah na serikali yake sana huniambii kitu kuhusu Iran iran wana jeshi makini, intelijensia makini na nyumbani kwa wayahudi halisi wapatao milioni 4-5 na ndo nchi yenye wayahudi wengi duniani zaidi baada ya Israel......
Urusi ya Putin naipenda sana yaani mimi kama ningekua Chawa basi mimi ni chawa Wa Urusi na Putin pro-Max
Utendaji, uthubutu,unanifanya nimkubali sana Comrade Xi jinping nendeni mkasome Wasifu wake na legacy yake mtabaki kushangaa jamaa ni genious sana
Naipenda Hamas na Hezbollah kupita maelezo!!.....Nawapenda Wayahudi sana hawa ambao ni real jews sio wale Wazayuni/Zionists ambao ni mafia walioletwa pale middle East am proud to be Anti-Zionism
Hakuna kitu tunaombea kama Wayahudi na Wapalestina waishi kwa amani amani itapatikana tu pale Wazayuni watakapoondolewa pale wabakie wayahudi halisi na wapalestina ili waishi kwa pamoja na amani!!
Kweli wewe una malaria 2.
Itakuwa mfuasi wa kibutere ulionusurika kutekea ktk kanisa lakeKweli wewe una malaria 2.
Unachoandika ni upuuzi mtupu.
Huu ujumbe umfikiePatakatifu na hapo panapokustili kwasasa heshimu ardhi ya kwenu acha kuheshimu ardhi ya wengine kisa maandiko ya kihayawani!,ambao hao wengine unaowaona wateuliwa hawaiheshimu ardhi yako inayokulea!.
Unawashwa kipereMtakuja kupopolewa kwa shobo zenu. Hao watu don't give a single fvck about you. Tafuta shughuli za kufanya
Mleta mada fuata muongozo huuPatakatifu na hapo panapokustili kwasasa heshimu ardhi ya kwenu acha kuheshimu ardhi ya wengine kisa maandiko ya kihayawani!,ambao hao wengine unaowaona wateuliwa hawaiheshimu ardhi yako inayokulea!.
Ukisikia tangazo ili...! Mwambie na mwenzioPatakatifu na hapo panapokustili kwasasa heshimu ardhi ya kwenu acha kuheshimu ardhi ya wengine kisa maandiko ya kihayawani!,ambao hao wengine unaowaona wateuliwa hawaiheshimu ardhi yako inayokulea!.