LIVE Yanayojiri vita ya Israel dhidi ya Palestina na HAMAS

Live coverage on JamiiForums
Pope aliyeruhusu LGBTQ?

Kanisa ni moyo wako mkuu hayo majengo achana nayo soma ufunuo vizuri.

Wapi pope aliruhusu ushoga?Yesu alikula na kunywa na wizi na makahaba pia je aliruhusu hizo dhambi?

Pope alisema wakaribishwe wasitengwe,je njia ya kuwakomboa wadhambi ni kuwatenga na kuwa funga jela na kuwauwa,nadhani hukumwelewa vyema nini pope alimaanisha.

Kuhusu ant christ pope muondoe weka waislamu na uislamu ndio antichrist ambao wako radhi kuua na kuangamiza mkristo yoyote na wanadai kristo sio Mwana wa Mungu.

Jitahidi uone acha upofu wa kidini na kifikra.
 

Biblia imekataza homosexuality kitendo cha kuwaruhusu ni dhambi ukizingati kanisani ni sehemu takatifu
 

Histori za kubumba,uongo mtupu na propaganda za kijinga,tumia akili uone vzr sio huo upuuzi uliolishwa. Dunia zimepita falme nyingi tu hata baada ya rumi ya kidini jielimishe.

Hakuna chapa ya myama ni ujinga na upuuzi mmejazwa vichwani kuwatia hofu ili muendelee kuwa waumini na kuliacha kanisa la kweli roma.
 
Yesu alikuwa anawafundisha wasikie neno waache dhambi zao lakini pope hajakemea dhambi hiyo bali anaikumbatia ndani ya kanisa ndio maana mapadre na maaskofu wengi wa kikatoliki wamekutwa na kashfa nyingi za ulawiti wa vijana wadogo tofautisha vizuri utume wa Yesu na kile anachofanya pope.

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Mkuu hata yesu wakati anahubiri sio kila mtu alikuwa anaamini neno lake, wewe amini unavyoamini lakini “Mwana wa Adamu anarudi kulinyakua kanisa lake.”

Tujiweke tayari yanaoendelea pale Gaza ndo njia ya kumpokea Anti-Christ na Dunia ipo mwishoni.
 
Wapi biblia iliruhusu ukahaba,mbona yesu alikula na kunywa na makahaba,tangu lini unaidogosha dhambi wakati maandiko yanasema aliuekosa katika moja kakosa katika zote.

Umeona niliko highlight?? Bible imekataza mwanaume kulala na mwanaume mwenzio au hujapaona hapo?
 

Hakuna mkamilifu hata miongoni mwa watumishi wa kanisa,ila hakuna mahali papa kasema ushoga sio dhambi,na kanisa linaukemea na kufundisha watu waaavhe ushoga,hoja kuu ilikua ni kuwatenga mashoga ndio hoja aliyosema wasitengwe wakaribishwe mana wao nao ni wana wamungu.

Kama unakubaliana nami kuwa yesu alikuja kwaajili ya wadhambi unakataa vipi pope kuwakaribisha wadhambi ili waifikirie toba.
 

Anti christ ni uislamu na mafundisho yake fumbua macho mtumishi.
 
Hii vita iishe tu maana tunapoelekea kunaweza kutokea vita ya 3 ya dunia, Israel wamegoma kabisa kuisitisha hawa jamaa ni wababe sijawahi ona [emoji1373]
Siyo ubabe,aibu...kwanza Hamas wameingia ndani wameua na kuteka,pili Gaza hakuingiliki,huwezi toka ukikumbuka propaganda zote zile za taifa teule nk,ni heri uendelee tu uone yataishia wapi
 
Biblia imekataza dhambi nyingi sana mbona wewe umeiona hiyo tu?

Hukujibu swali kwanini pope aruhusu hawa watu kuingia kanisani wakati biblia imekataza?

Point ni kwamba wanataka kuharibu kanisa ili hili jambo lionekane kawaida, ili kuwapata wengi zaidi.

Unaona nguvu kubwa inayotumika katika kueneza LGBTQ? ulikaa ukajiuliza kama hii nguvu ingekuwa kwenye kulitangaza neno la Mungu dunia ingekuwa wapi sasa?

Pope amekwenda far zaidi mpaka kufungisha ndoa hawa watu, ndugu yangu unashindwa kung’amua Agenda za hawa watu na huu ulimwengu??

Leo kanisa linageuka kuwa sehemu ya kufungisha ndoa za jinsia moja?? Dunia ipo mwishoni na Pope ndo Anti-christ mwenyewe “666” hatujui nani ameandaliwa ila ndo ukweli.

Na bible imeandika wazi atakuja kwa kificho cha Dini na atapoteza watu wengi sana watakao mfuata “RC church”
 
Sasa braza mpinga Kristo ataipaje heshima kanisa?
Amelewa huyo😭🤣🤣🤣
 
Sasa braza mpinga Kristo ataipaje heshima kanisa?
Amelewa huyo😭🤣🤣🤣
 
🤣🤣🤣🤣🤣🤣wewe ndio hujitambuhi braza, wala hakuna unachokielewa hapa, kaa kwa kutulia ok
 
Sasa braza mpinga Kristo ataipaje heshima kanisa?
Amelewa huyo[emoji24][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Hawajielewi hao,ni kama mazombi,mkristo yoyote duniani anayejielewa hawezi dharau kazi kubwa iliyofanywa na RC katika kuulinda na kuueneza ukristo duniani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…