LIVE Yanayojiri vita ya Israel dhidi ya Palestina na HAMAS

LIVE Yanayojiri vita ya Israel dhidi ya Palestina na HAMAS

Live coverage on JamiiForums
Propaganda kila kona
Lakini ni kweli jana kilikuwa na mapigano makali ya ardhini huko kaskazini mwa gaza lakini matokeo ya mapigano hayo imekuwa ngumu kuipata kwasababu Israel imezima Internet hata hivyo kuna baadhi ya video zinazo onesha wanajeshi wa Israel wakiwa wamejeruhiwa vibaya.
 
Ndio maana Zionists wamekata mawasiliano Gaza ili ku- control the narrative na kwa kutumia propaganda news media zao.
IMG_20231028_111652.jpg
 
Lakini ni kweli jana kilikuwa na mapigano makali ya ardhini huko kaskazini mwa gaza lakini matokeo ya mapigano hayo imekuwa ngumu kuipata kwasababu Israel imezima Internet hata hivyo kuna baadhi ya video zinazo onesha wanajeshi wa Israel wakiwa wamejeruhiwa vibaya.
Wanajeshi 'Mchele mchele' wa kizayuni watawezaje kupambana in 'one -to -one' battle na wanaume wa Hamas who don't have anything to lose?
IMG_20231013_072004.jpg
 
Hata hivyo msemaji wa jeshi la Israel amesema bado wanajeshi wa Israel wako Gaza ila hakutoa maelezo zaidi.
 
Hii vita iishe tu maana tunapoelekea kunaweza kutokea vita ya 3 ya dunia, Israel wamegoma kabisa kuisitisha hawa jamaa ni wababe sijawahi ona [emoji1373]
 
[emoji298][emoji298]INCOMING NEWS

Iran yaipa onyo jingine kali Washington- kama wataendelea na msimamo wao wa kuisapoti Israel, basi wajiandae na mazito yajayo.
.......... ......... ........... .......... .......... .......... .......

Iran promises to create new fronts against the America if the US continue to support Israel .

This was stated by Iranian Foreign Minister Hossein Amir Abdollahian.
IMG_20231028_123021.jpg
 
Propaganda nyingi hadi bongo mandongo kuinama waumini wanalishana matango pori huko kwenye majumba yao ya kuabudia wakifarijiana kuwa mungu wao anawasaidia ndugu zao katika imani washinde
 
Kuna mpinga kristo na nabii wa uongo watafanya collabo kuihadaa dunia kwa kujifanya wana masuluhisho ya amani ya dunia. Huyo papa anatajwa kama kahaba mkuu kwa kuwa anachanganya dini na siasa na anawalevya wakuu wa dunia kwa mvinyo huo. Watamtumia sana kutekeleza ajenda zao na mwisho watamfutilia mbali apotee duniani, yaani kutakuwa hakuna system yake tena duniani katika mpango mpya wa ulimwengu maarufu kama New World Order
 
Kama wewe ni msomi wa Biblia huwezi kupinga hili

Kuna upotoshaji mwingi sana katika hizo hoja kwanini herufi ningine ni sifuri na kwanini U ikapewa namba 5 badala ya herufi V,kumbuka kwenye namba za kirumi hakuna herufi U.
 
Kuna upotoshaji mwingi sana katika hizo hoja kwanini herufi ningine ni sifuri na kwanini U ikapewa namba 5 badala ya herufi V,kumbuka kwenye namba za kirumi hakuna herufi U.

Bado inafichwa mkuu wakati ukifika kila kitu kitakuwa wazi. Pope ndo Ant-christ mwenyewe ndo hao watakuja itawala dunia na wamekuja kwa kificho cha Dini.
 
Bado inafichwa mkuu wakati ukifika kila kitu kitakuwa wazi. Pope ndo Ant-christ mwenyewe ndo hao watakuja itawala dunia na wamekuja kwa kificho cha Dini.

Mkuu jibu hoja yangu sio kuleta propaganda,papa ndio msimamizi na kiongozi wa ustawi wa ukristo ulimwenguni hakuna kanisa ama dhehebu la kikristo ambalo halijatokana na Roma,bila roma kuukubali na kuupokea ukristo na kupambana kuulinda ukristo sidhani kama wewe leo hii ungekua mkristo,licha ya mapungufu yake lipe heshima yake hili kanisa.
 
Mkuu jibu hoja yangu sio kuleta propaganda,papa ndio msimamizi na kiongozi wa ustawi wa ukristo ulimwenguni hakuna kanisa ama dhehebu la kikristo ambalo halijatokana na Roma,bila roma kuukubali na kuupokea ukristo na kupambana kuulinda ukristo sidhani kama wewe leo hii ungekua mkristo,licha ya mapungufu yake lipe heshima yake hili kanisa.

Pope aliyeruhusu LGBTQ?

Kanisa ni moyo wako mkuu hayo majengo achana nayo soma ufunuo vizuri.
 
Mkuu jibu hoja yangu sio kuleta propaganda,papa ndio msimamizi na kiongozi wa ustawi wa ukristo ulimwenguni hakuna kanisa ama dhehebu la kikristo ambalo halijatokana na Roma,bila roma kuukubali na kuupokea ukristo na kupambana kuulinda ukristo sidhani kama wewe leo hii ungekua mkristo,licha ya mapungufu yake lipe heshima yake hili kanisa.

Vichwa Saba Vya Mnyama Wa Kwenye Ufunuo 13 Na 17, Ni Nini?

Tukisoma kitabu cha Ufunuo ni kweli tunamwona mnyama aliyetajwa mwenye vichwa saba na pembe kumi..Tofauti na idhaniwavyo na wengi kwamba zile pembe kumi zimejigawanya kwenye vichwa vyote 7..na kwamba kuna vichwa vingine labda vitakuwa vimepata pembe mbili mbili au zaidi…Lakini ukweli ni kwamba ni kichwa kimoja tu ndicho kilichokuwa na pembe zote 10..Hivyo vingine havikuwa na pembe yoyote.

Na kama ukitafakari kwa makini kwa msaada wa Roho utagundua kuwa vile vichwa saba ni Wanyama saba katika mwili mmoja na sio tu vichwa kama vichwa vilivyojiotea kwenye mwili mmoja…bali ni Wanyama saba tofauti wanaoshiriki mwili mmoja (yaani wana-share mwili mmoja)..

Ufunuo 17: 11 “Na yule mnyama aliyekuwako naye hayuko, yeye ndiye wa nane, naye ni mmoja wa wale saba, naye aenenda kwenye uharibifu”.

Sasa hiyo imekaaje kaaje?..Inawezekana Wanyama Zaidi ya mmoja kushiriki mwili mmoja?..


Hiyo inawezekana asilimia 100..wapo ng’ombe mapacha wanaozaliwa wakiwa na mwili mmoja lakini vichwa viwili tofauti, kadhalika wapo nyoka wanaozaliwa hata watatu au wanne wakiwa na wanashea mwili mmoja…Na Zaidi ya yote wapo pia wanadamu ambao wanaozaliwa wakiwa wameungana…Kuna mapacha wanaoishi leo duniani ambao wameungana kila kitu isipokuwa kichwa tu…yaani ukikutana nao unaweza kusema umekutana na mtu mmoja mwenye vichwa viwili lakini kumbe ni watu wawili waliozaliwa wameungana wanaoshea mwili mmoja..Na watu hao walioungana kila mmoja anatafakari kivyake na ana malengo yake na mipango yake, na matamanio yake.

Na katika tukio hilo la Ufunuo ni vivyo hivyo..Biblia imemtaja mnyama huyo kuwa mwenye vichwa saba..Lakini kiuhalisia ni Wanyama saba tofauti wenye mwili mmoja…Na kila mnyama (yaani kichwa kina mambo yake)…Na pia ni mnyama mmoja tu kati ya hao wote mwenye pembe kumi (yaani ni kichwa kimoja tu chenye pembe hizo kumi).

Sasa hao Wanyama saba au vichwa saba ni nini?

Biblia inasema ni wafalme saba..
Ufunuo 17:9 “Hapo ndipo penye akili zenye hekima. Vile vichwa saba ni milima saba anayokalia mwanamke huyo 10 Navyo ni wafalme saba. Watano wamekwisha kuanguka, na mmoja yupo, na mwingine hajaja bado. Naye atakapokuja imempasa kukaa muda mchache. ”


Falme hizo kama zinavyojidhihirisha katika taifa la Mungu kwenye biblia ni MISRI, ASHURU, BABELI, UMEDI & UAJEMI, UYUNANI, RUMI YA KIPAGANI na RUMI YA KIDINI..Hizi ndizo falme hizo saba au Wanyama hao 7..Falme hizi ni Mataifa aliyotumia shetani kuutesa uzao wa Mungu kwa ujumla wake…

Mataifa Matano ya kwanza yaliwatesa wana wa Israeli peke yao, wakiwa Misri, na mengine baada ya kuchukuliwa tena mateka babeli..lakini haya mawili ya mwisho yaliwatesa wana wa Israeli pamoja na Kanisa la Kristo…Na hicho kichwa ndicho cha mwisho na ndiye mnyama wa 7 ambaye ni RUMI YA KIDINI,.. nacho ndicho chenye pembe zote saba.. mnyama huyu ndiye ambaye yupo sasa na anazidi kuongezeka nguvu siku baada ya siku,.atakapofikia kilele chake atazitumia pembe zake 10 ambayo ni mataifa yanayounda umoja wa ulaya (EU) kuhimiza ile chapa ya mnyama. Kwasasaba umoja huo una wanachama Zaidi ya 10..

Lakini unabii unaonyesha yatakuja kubakia 10 tu yenye nguvu kwenye umoja huo. Na Kwa pamoja yatashirikiana na mnyama huyo, (Rumi ya kidini Iliyopo chini ya kiongozi wa kanisa katoliki ,Papa) kuishawishi dunia kuendesha zoezi la kuwatia watu chapa. Kwa kipindi kifupi sana kisichozidi miaka mitatu na nusu, Chapa itakuwa imeshawafikia watu wote duniani…Watakaoikataa watakamatwa na kupelekwa kwenye kambi maalumu za mateso…

Wakati huo unyakuo utakuwa umeshapita…Watakatifu wameondolewa duniani,.kuepushwa na ghadhabu ya Mungu na majaribu ya mpinga-kristo.

MKUU DUNIA IPO MWISHONI MWENYE MASIKIO NA ASIKIE, YALIYOTABIRIWA NDO YANATOKEA KWASASA.
 
Back
Top Bottom