LIVE Yanayojiri vita ya Israel dhidi ya Palestina na HAMAS

LIVE Yanayojiri vita ya Israel dhidi ya Palestina na HAMAS

Live coverage on JamiiForums
Uungaji mkono dunia nzima kwa Palestina wafikia asilimia 78 rekodi ambayo haijawahi kufikiwa

Uungaji wa Palestine umepanda kutoka asilimia 40% pekee dunia nzima kwa mwaka 2014 hadi asilimia 78 kwa mwaka huu.

Ni kutokana na wengi kuujuwa Ukweli na kuujua uhalisia wa uzayuni na uwongo na propaganda nyingi waliolishwa na vyombo vya habari kwa miaka karibia 70!!

Uungaji mkono kwa Israel unazidi kupungua siku hadi siku mathalani, huku Africa wanaoiunga mkono Israel wengi wao ni watu waliokosa shule kichwani mwao na ambao wengi hawajaelimika na wasiokua na uelewa

Jambo lingine ni kuwa Uungaji mkono huu umepanda baada ya kugundua habari nyingi zilizotoka Israel ni za uwongo,propaganda na uzushi mfano sakata la kudai Hamas waliwachinja watoto 40 lilikua la Uongo

Sakata la Hamas kuua watu wasiokua na hatia kwa namba walizotoa Israel zilikua ni data za kupika.

Kwa mujibu wa takwimu za Israel hadi sasa watoto wachanga na wadogo wa kiisrael umri kuanzia 0 hadi 5 (0-5) waliouawa na Hamas ni zero case yaani hakuna kabisa.

Hii imepelekea Dunia kuujua ukweli,mfano wale waliosimama na Israel october 7 sasa wengi wao wamebadili mawazo baada ya kuujua ukweli
Screenshot_20231028-185224.jpg
 
Hao 70+% wanaipa uhalali israel yakufanya inavyotaka kujilinda dhidi ya itikadi kali za kiislamu
 
Uungaji mkono dunia nzima kwa Palestina wafikia asilimia 78 rekodi ambayo haijawahi kufikiwa

Uungaji wa Palestine umepanda kutoka asilimia 40% pekee dunia nzima kwa mwaka 2014 hadi asilimia 78 kwa mwaka huu...

Kwanini wewe haujui kuwa UONGO maranyingi ndiyo husambaa kwa haraka sana na kuathiri kundi kubwa Duniani? Na hiyo yote ni kwa sababu kwa sasa anayeutawala huu Ulimwengu ni Shetani John 14:30 na 16:11 sasa ukija kwa Waislam ni kuwa yule wanaye muelekezea IBADA kumbe ndiye yule Shetani MKUBWA kabisa-Allah.

Ukisoma Quran 15:39 Ibilisi analalamika kuwa yeye alidanganywa na Allah na hivyo akaapa kuwadanganya kabisa wanadamu.

La zaidi si unamjua njia ya Muongo ni fupi??!! Quran ilivyoandikwa kwa sababu chanzo ni Uongo ndiyo maana inajichanganya yenyewe.

Wakati sahih Muslim Hadithi 2922 inasema uwa Jews wote ili Ile kiama ije, Aya nyingine zinasema Jews ndiyo watithi sahihi wa the holly land.

Sikiliza vizuri hii Twitter

View: https://x.com/HananyaNaftali/status/1718251269746479396?s=20
 
Mayahudi na kaka yake Marekani ni majitu makatili sana. Yanapigwa na Hamas/Al Qaeda! Hasira zao zote zinaenda kuishia kwa raia wasio na hatia.

Yaani hayana tofauti na nyumbu wasio na akili.
 
Mayahudi na kaka yake Marekani ni majitu makatili sana. Yanapigwa na Hamas/Al Qaeda! Hasira zinaenda kuishia kwa raia wasio na hatia.
hakuna watu wanazidi ukatili magaidi wa hamas na ISIS ndugu yangu. marekani na wayahudi wakasome.
 
Labda kuna kitu waislamu wanaweza kujifunza hapo kwamba muislamu anasafa Dunia nzima inasimaama kwenye haki, dini zote Ukristo, Budha n.k. wako na wapalestina lkn Uislamu wenyewe unafundisha Muislamu ku sympathize na muislamu tu, hivyo waislamu wajifunze na waache kuita wengine wasio waislamu kafir, waislamu waache ubaguzi kwa wasio
Waislamu, hata tanzania raisi samia hakosolewi na waislamu kwa sababu tu ni muislamu, kuna la kujifunza hapo waislamu wenyewe hamuwezi mnawahitaji wengine pia kama sasa hivi mnaiwaita kafir ndiyo wanaowatetea wapalestina, waislamu wa egyot hata wamewafungia boda waislamu wenzao …
 
Labda kuna kitu waislamu wanaweza kujifunza hapo kwamba muislamu anasafa Dunia nzima inasimaama kwenye haki, dini zote Ukristo, Budha n.k. wako na wapalestina lkn Uislamu wenyewe unafundisha Muislamu ku sympathsize na muislamu tu, hivyo waislamu wajifunze na waache kuiya wengine wasio waislamu kafir, waislamu waache ubaguzi kwa wasio
Waislamu, hata tanzania samia hakosolewi na waislamu kwa sababu tu ni muislamu, kuna la kujifunza hapo waislamu wenyewe hamuwezi mnawahitaji wengine pia kama sasa hivi …
yaani pamoja na kwamba London leo watu wamejaa barabarani, na ni wakristo, ufaransa wamejaa, dunia nzima ya kikristo imejaa barabarani, ila kuna jamaa hapahapa ametoa kauli atu "tuwatetee wapalestina kwasababu ni ndugu zetu katika imani" akimaanisha watetewe kwasababu ni waislam wenzake, maanake wasio waislam ambao pia wanawapigania wapalestina, sio ndugu zake.
 
yaani pamoja na kwamba London leo watu wamejaa barabarani, na ni wakristo, ufaransa wamejaa, dunia nzima ya kikristo imejaa barabarani, ila kuna jamaa hapahapa ametoa kauli atu "tuwatetee wapalestina kwasababu ni ndugu zetu katika imani" akimaanisha watetewe kwasababu ni waislam wenzake, maanake wasio waislam ambao pia wanawapigania wapalestina, sio ndugu zake.

Uislamu ni shida aidha haueleweki na waumini wake au wenyewe uislamu ndiyo tatizo binafsi hata sielewi, Dunia nzima inawatetea wapalestina bila kuangalia dini wao kama weww siyo muislamu wanakuita kafir, kwangu mimi hawajakomaa kiimani …
 
Back
Top Bottom