LIVE Yanayojiri vita ya Israel dhidi ya Palestina na HAMAS

LIVE Yanayojiri vita ya Israel dhidi ya Palestina na HAMAS

Live coverage on JamiiForums
Japo sijasoma ulichoandika ila naamini umeandika ujinga,

Na tambua Hamas ni wanaume wa kweli na watashinda dhidi ya madhalimu ..
Mkuu ndio nimeandika ujinga ila sasa wanalia lia nini kutafuta huruma.
Mara oooh mtuombee
Mara oooh tunaonewa.
Wanaume wa kweli waga wanalialia kweli na kutafuta huruma wakati wa vita.
 
Mimi nauliza mfano Hamas asingelianzisha vanga ina maana kusingekua na vita ? Je , hawa watu (Palestine na Israel) walishagawana mipaka ? au kuna mmoja anataka eneo kubwa zaidi au anataka kila mmoja anataka amfute mwenzake mazima amiliki eneo mwenyewe !! Nisaidieni mimi ni Generation Z
 
A quick analysis of tonight's events in Gaza:
Israeli army tanks attempted to penetrate the Gaza border but failed and suffered heavy losses, according to several Hebrew sources.

Also, some Israeli tanks entered the border, but were ambushed, forcing the occupation forces to retreat. Until this moment, Israel has lost more than 20 tanks in Gaza
 
Kumekucha:Mwanajeshi wa special force wa Israel adakwa mpakani na Hamas

Tukisema Hamas ni habari nyingine kwa vita ya ardhini muwe mnaelewa!! Special force kwi!kwi!kwi![emoji1787] wanadakwa kama kuku na vitoto vya Hamas....Eti ndo jeshi la Mungu special force gani hii? Walikua wanatest mitambo kuingia Gaza kadakwa tayari mapema[emoji1313][emoji1313]ii
[emoji599]BREAKING: REPORTS OF ISRAELI SPECIAL FORCES MEMBER KIDNAPPED BY HAMAS

We reported less than an hour ago reports we received of an incursion by the IDF into Gaza, and an Apache helicopter being called in to help evacuate the Israeli troops.

Hamas now announced via radio:

"Tomorrow, Abu Ubaida will tell you what happened and who is in our hands."

We're receiving reports that Hamas was able to take an Israeli Special Force troop as hostage.

Location: Al-Borij Camp along the Border Fence with the Central Gaza Strip

MORE UPDATES AS THEY COME

Tujikumbushe kuwa ni juzi makomandoo wa kikosi hatari cha Delta waliotoka Marekani baadhi walienda Gaza eti kuwaokoa mateka wakidhani ni zile propaganda zao za kwenye movie za Hollywood confirmed report ni kuwa waliuawa wote huko huko Gaza hakikurudi hata kiwiliwili..

Wazayuni walivyoambiwa wakitia mguu Gaza ndo patageuka makaburi yao walidhani Hamas wanatania....Wanasubiriwa kwa hamu sana!

Mungu hakai upande wa Mashoga hata siku moja!View attachment 2794145
Kuna Vita isiyo namateka au vifo.

Unadhani hakuna Hamas waliodakwa pia?

Akili za Tandale hizi.
 
Kwenye hiyo video hapo chini, nimeona kunacomment takriban 27k na zote zinaunga mkono mapinduzi ya kuwakomboa Wapalestina toka kifungoni, je, ni za kweli?


View: https://youtube.com/shorts/S_tTgryABBU?si=TOmmkZz0qmIZd6GL

7F91521F-D0AA-49A1-A035-BAA3C6B34F0E.jpeg
19F84941-1A62-45CC-9BC8-FDF251CE1B72.jpeg
 
A quick analysis of tonight's events in Gaza:
Israeli army tanks attempted to penetrate the Gaza border but failed and suffered heavy losses, according to several Hebrew sources.

Also, some Israeli tanks entered the border, but were ambushed, forcing the occupation forces to retreat. Until this moment, Israel has lost more than 20 tanks in Gaza
Mnasemaga hv hv kujifariji tokea mwaka 1967
 
Back
Top Bottom