Kaghambe
JF-Expert Member
- Oct 8, 2023
- 588
- 716
Kapotea mazimaMtagi harudi hapa 🤣🤣🤣
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kapotea mazimaMtagi harudi hapa 🤣🤣🤣
Mkuu ndio nimeandika ujinga ila sasa wanalia lia nini kutafuta huruma.Japo sijasoma ulichoandika ila naamini umeandika ujinga,
Na tambua Hamas ni wanaume wa kweli na watashinda dhidi ya madhalimu ..
Kaenda kuangalia Tv Imaan kwanza 🤣🤣Kapotea mazima
Mkuu huyo ana stress tuSasa hujasoma unapata wapi uhalali wa kumjibu mleta mada.
Hamas ni magaidi na magaidi mwisho wao huwa mbaya.
Ile TV ndio imejaa watu wa hovyo yaani akili za kutambua mambo wale hawana kwa kweliKaenda kuangalia Tv Imaan kwanza 🤣🤣
Ile TV ndio imejaa watu wa hovyo yaani akili za kutambua mambo wale hawana kwa kweli
Mm simo mkuu🤣🤣🤣Ile TV ndio imejaa watu wa hovyo yaani akili za kutambua mambo wale hawana kwa kweli
Si walisema hawaingii gaza 🤣🤣🤣[emoji28][emoji28][emoji28]
🚮🚮🚮Alikua hajui au hana kingamuzi.
Au Tv Imaan na bado haijaanza kuonyesha.
Mkuu au ndio mkuki kwa nguruwe???
Mkuu usiogope hapa tunatumia fake id na hatufahamiani.Mm simo mkuu🤣🤣🤣
kuzini mana yake ni nini? tuanzie kwanza hapoJibu suali Ibrahimu baba wa imani Alizini? mbona unakwepa
Kuna Vita isiyo namateka au vifo.Kumekucha:Mwanajeshi wa special force wa Israel adakwa mpakani na Hamas
Tukisema Hamas ni habari nyingine kwa vita ya ardhini muwe mnaelewa!! Special force kwi!kwi!kwi![emoji1787] wanadakwa kama kuku na vitoto vya Hamas....Eti ndo jeshi la Mungu special force gani hii? Walikua wanatest mitambo kuingia Gaza kadakwa tayari mapema[emoji1313][emoji1313]ii
[emoji599]BREAKING: REPORTS OF ISRAELI SPECIAL FORCES MEMBER KIDNAPPED BY HAMAS
We reported less than an hour ago reports we received of an incursion by the IDF into Gaza, and an Apache helicopter being called in to help evacuate the Israeli troops.
Hamas now announced via radio:
"Tomorrow, Abu Ubaida will tell you what happened and who is in our hands."
We're receiving reports that Hamas was able to take an Israeli Special Force troop as hostage.
Location: Al-Borij Camp along the Border Fence with the Central Gaza Strip
MORE UPDATES AS THEY COME
Tujikumbushe kuwa ni juzi makomandoo wa kikosi hatari cha Delta waliotoka Marekani baadhi walienda Gaza eti kuwaokoa mateka wakidhani ni zile propaganda zao za kwenye movie za Hollywood confirmed report ni kuwa waliuawa wote huko huko Gaza hakikurudi hata kiwiliwili..
Wazayuni walivyoambiwa wakitia mguu Gaza ndo patageuka makaburi yao walidhani Hamas wanatania....Wanasubiriwa kwa hamu sana!
Mungu hakai upande wa Mashoga hata siku moja!View attachment 2794145
Mnasemaga hv hv kujifariji tokea mwaka 1967A quick analysis of tonight's events in Gaza:
Israeli army tanks attempted to penetrate the Gaza border but failed and suffered heavy losses, according to several Hebrew sources.
Also, some Israeli tanks entered the border, but were ambushed, forcing the occupation forces to retreat. Until this moment, Israel has lost more than 20 tanks in Gaza
Mm situmii ID fake sasaMkuu usiogope hapa tunatumia fake id na hatufahamiani.
Mm situmii ID fake sasaMkuu usiogope hapa tunatumia fake id na hatufahamiani.