LIVE Yanayojiri vita ya Israel dhidi ya Palestina na HAMAS

LIVE Yanayojiri vita ya Israel dhidi ya Palestina na HAMAS

Live coverage on JamiiForums
Unalojazwa ujinga wewe ndiyo imeshakuwa dunia nzima?

Ikiwa wewe umejazwa ujinga wakuamini myahudi ni Mungu wako, usifikiri dunia nzima wana ujinga huo.

Umeitaza avideo clip niliyoiweka juu hapo? Au bando la shemeji?
Hana tofauti na wewe unavyoamini muarabu ni Mungu wako.
HIYO CLIP YA KUTENGENEZWA NA HATA MIMI NAWEZA.
TUPE JINA LA MUHANDISHI ALIYETENGENEZA.
 
Kule israel walilipua nn ..? Kama sio disco vumbi za raia wasio na hatia na kuteka wazee watoto tena watu wa mataifa mengine. Mna ujinga saana hivi mabichwa yenu yamejazwa yale maandishi ya kwenda kushoto na fikra zipo kushoto
😂🤣🤣🤣🤣 Disco vumbi
 
Mi Kila saa tisa jioni naelekeza maombi yangu kuiombea Israel ipate ushindi dhidi ya maadui zake(Hamas na Hizbullah)
Pia ipate ushindi dhidi ya maadui wengine waliojificha nyuma ya wanawake ,watoto,na wazee.
 
F8DgvUMaoAA2oYK.jpeg

Ukijificha popote utapigwa tu. Kanyaga magaidi wote na popote pale. Na ukimficha gaidi hata uwe kilema utauliwa tu.
 
The world has spoken decisively through 120 votes in UN General assembly against Israel injustices in gaza.

But Israel decided to ignore UN General assembly resolution and continue it's bloodshed and horror in Gaza.

Meanwhile, large protests have been taking place across the globe where thousands n thousands of people demonstrate to condemns Israel atrocities and showed they're solidarity with Palestines.


View: https://twitter.com/nihaalshuklaa/status/1718341126883799129?s=19

This act have sent a strong message to US and it's allies who voted against the UN resolution.

People in the world now understand the hypocrisy and double standards of the western countries in regards to the human rights.

Moreover, people are tired of being bullied and dictated by the US foreign policy.

This is a wake up call for US. They must understand that the world has changed and accept a bitter truth that they're no longer the dominant power.

Otherwise, Americans and it's allies like Israel will be left on the sidelines as other parts of the world move forward.
IMG_20231028_113329.jpg
IMG_20231029_111521.jpg
 
Baada ya ahadi za muda mrefu kwamba Israel ikiingia Gaza na wao watarudisha mapigo.Leo kundi hilo lenye silaha za kisasa zaidi kushinda Hamas wameanza vita na Israel.

Tangu Israel ianze kushambulia kusini mwa Lebanon karibu askari 50 wa kundi hilo wameuwawa bila kuonesha kurudisha mapigo.

Muda mfupi uliopita jeshi la idf limesema limerushiwa kombora la kutungulia ndege kwenye ndege zao sambamba na mengine kadhaa yaliyoelekezwa katikati ya nchi.

Inakumbukwa mnamo mwaka 2006 HizbuLah waliweza kulitia hasara kubwa jeshi la Israel na hatimae vita hivyo kusitishwa.
Acheni uongo pro- Iran ni hasara gani iliyopata jeshi la Israel? wakati Lebanon iliachwa magofu, je Israel ilipata hasara gani?

Hesbullah wachumba tu mbele ya IDF tayari wameuliwa zaidi ya 100 na kujeruhiwa wengine zaidi ya 500 but no any action toka kwao

Nadhani baada ya Gaza kuwekwa chini ya Israel, kitakachofuata ni hawa Hesbullah na maeneo yao kuchukuliwa na kuwekwa chini ya IDF pia

Israel ni wajanja na wana akili sana, husifikiri wao ni wajinga wa kuishi na pro-Iran mlangoni kwao ok, it is matter of time, let wait
 
Acheni uongo pro- Iran ni hasara gani iliyopata jeshi la Israel? wakati Lebanon iliachwa magofu, je Israel ilipata hasara gani?

Hesbullah wachumba tu mbele ya IDF tayari wameuliwa zaidi ya 100 na kujeruhiwa wengine zaidi ya 500 but no any action toka kwao

Nadhani baada ya Gaza kuwekwa chini ya Israel, kitakachofuata ni hawa Hesbullah na maeneo yao kuchukuliwa na kuwekwa chini ya IDF pia

Israel ni wajanja na wana akili sana, husifikiri wao ni wajinga wa kuishi na pro-Iran mlangoni kwao ok, it is matter of time, let wait
Mm nimewaambia tuichambue ile vita vya 2006 woote wamekimbia na hawajui kwamba Hezbollah walikua wanazuia waandishi wa habari kupiga picha hasara walizopata na uharibifu wa mali na miundo mbinu.
 
Tatizo Israel wanaua watoto, wanawake, wakiua askari hakuna atakaelalamika
Ndio maana mimi uwa sina muda kurushia maneno na mijitu mijinga wasiojielewa, hivi Hamas tarehe 7 hawakuuwa watoto, wanawake na wazee?

Tumieni ubongo wenu vizuri wakati wa kuchambua haya mambo, wekeni mihemuko wa kidini pembeni aise
 
Hana tofauti na wewe unavyoamini muarabu ni Mungu wako.
HIYO CLIP YA KUTENGENEZWA NA HATA MIMI NAWEZA.
TUPE JINA LA MUHANDISHI ALIYETENGENEZA.
Hayo ni mawazo yako na una haki nayo, lakini usome japo kidogo Uislam uuelewe. Anzia hapa:

Qur'an 112:
1.
Sema: Yeye Mwenyezi Mungu ni wa pekee. 1
2. Mwenyezi Mungu Mkusudiwa. 2
3. Hakuzaa wala hakuzaliwa 3
4. Wala hana anaye fanana naye hata mmoja. 4
 
Sawa na wewe pagazi wa mwarabu unavyo mhusudu hadi jina umepewa la kwake eti ndio utaenda ahera na kurejeshewa ubikra wako ili uwastareheshe mashahidi wa allah anaokufa wakimpigania.
Kwa lugha unayoitumia kujadiliana unaonesha hauna maadili.

Ndivyo ulivyofundishwa na mama'ko kujadiliana namna hiyo?
 
Kule israel walilipua nn ..? Kama sio disco vumbi za raia wasio na hatia na kuteka wazee watoto tena watu wa mataifa mengine. Mna ujinga saana hivi mabichwa yenu yamejazwa yale maandishi ya kwenda kushoto na fikra zipo kushoto
Walichokoza, wao wakaua bila kuchagua wanaua nini saivi wanasema eti watoto na wanawake na vikongwe tu ndo wameuawa, ni jamii gani hiyo wanatenga watoto na wanawake tu kukaa bila wanaume? Afu wanasahau hamas wanajificha katikati ya raia kwaivo walitaka Israel wawachambue vipi ndo warushe kombora
 
Back
Top Bottom