Ushahidi ni huo nilikutajia au unataka umuone huyo sheikh mwenyewe.
Kwa nilivyomfahamu mimi ule ulikuwa ndio ufunguo wa huo mwisho wa Israel.Shehe anasemaje kuhusu ugaidi uliofanywa na hamas siku ya sabato ya tarehe 7 mwezi huu.
Kwa nilivyomfahamu mimi ule ulikuwa ndio ufunguo wa huo mwisho wa Israel.
israel hawataki askari wao watekwe, hivyo wanaenda kwa umakini sana, wakiona kuna risk ya aina hiyo, wanarudi kujipanga. nawasifu kwa mpango huo.Habari za karibuni kutoka televisheni ya Aljazeera zimesema wanamgambo wa Hamas wametangaza kuwa vifaru na matingatinga ya Israel vimelazimika kurudi nyuma baada ya mapigano baina yao.
Taarifa hii itakuwa inaendana na zile taarifa za mashambulizi yaliyoitwa ya awamu ya pili ambapo vifaru zaidi ya ishirini vilioneshwa vikipigwa na kuungua kutoka katika makombora ya Hamas
Taarifa hiyo ya Hamas bado haijathibitishwa na jeshi la Idf.Hata hivyo jeshi hili limekiri kuwa hapo juzi kulikuwa na mapambano na wanamgambo wa Hamas ndani ya Israel maeneo ya Erez ikiwa ni wiki ya tatu tangu shambulio la kushtukiza la Oktoba 7
Allah huwa anamsaidia anayejitahidi.Hivyo haina maana kuwa kuna msaada unakuja ndio Hamas na waislamu wambweteke.Wanatakiwa wafanye juhudi wapate chakula na majiKama ni ufunguo mbona mnaomba huruma kwa ulimwengu wakati israel akiigeuza gaza vifusi.
Ulitaka iwe kutoka wapi ?aisee kutoka televisheni ya Aljazeera😱🙄
Ninachokiona hapa aljazira ni tofauti na ndoto za huyo shekhe.Ushahidi ni huo nilikutajia au unataka umuone huyo sheikh mwenyewe.
Habari ya mkasa wa firauni na Mussa a.s ni maarufu na unapatikana kirahisi kwenye tafsiri za Qur'an hata za Kiswahili.
Huyo sheikh kafafanua tu anachokiona kinakuja.
Kumbuka vifaru vyengine vinaendeshwa na mashoga.Shoga akirudi nyuma huwa haendi tena mbele.israel hawataki askari wao watekwe, hivyo wanaenda kwa umakini sana, wakiona kuna risk ya aina hiyo, wanarudi kujipanga. nawasifu kwa mpango huo.
hapo hatujui kama bomu limerushwa na israel au hamas ndio wamechoma kifaru. tukuaminije? hata hivyo, hata wakiua wanajeshi buku, kwa majengo kuharibiwa, kwa kipigo kilichotokea, hamas hawawezi kusema wameshinda au wana ubavu wowote wa kivita.
View: https://youtu.be/9Dl1KnNS9ZM?si=9kWtKuTRrXoWvh8d
Vinaunguzwa hivyo vilivyo sogea karibu na barabara ya Salah Din, safi sana Hamasi piga hao wenye lana
Tusubiri taarifa zaidi.hapo hatujui kama bomu limerushwa na israel au hamas ndio wamechoma kifaru. tukuaminije? hata hivyo, hata wakiua wanajeshi buku, kwa majengo kuharibiwa, kwa kipigo kilichotokea, hamas hawawezi kusema wameshinda au wana ubavu wowote wa kivita.
The best tv so far very impartial tofauti na hizi za propaganda , leo netanyahu kagombana na wakuu wa usalama wa israel akiwalaumu kwamba hawafanyi kazi vizuri ilibidi gantz amwambie netanyahu awaombe msamaha, ukiona watu wanapoteana ujue things are not going well as plannedaisee kutoka televisheni ya Aljazeera😱🙄
Hamas ushindi wao ni resistance kwa israel , na hadi sasa wamefanikiwa imagine silaha, gharama na well trained soldiers lakini hadi leo ameshindwa kufanya ground invasion na kuwaokoa hao mateka huo ni ushindi mkubwa sana, kumfanya hadi netanyahu kuyakimbia makazi yakehapo hatujui kama bomu limerushwa na israel au hamas ndio wamechoma kifaru. tukuaminije? hata hivyo, hata wakiua wanajeshi buku, kwa majengo kuharibiwa, kwa kipigo kilichotokea, hamas hawawezi kusema wameshinda au wana ubavu wowote wa kivita.
The best tv so far very impartial tofauti na hizi za propaganda , leo netanyahu kagombana na wakuu wa usalama wa israel akiwalaumu kwamba hawafanyi kazi vizuri ilibidi gantz amwambie netanyahu awaombe msamaha, ukiona watu wanapoteana ujue things are not going well as planned
Unaposema "aljezeera ni the best tv so far very impartial" una uhibitisho gani au ni vigezo gani umetumia kufikia hili hitimisho?
Tatizo we hujaona Asqalan. Bair 7, Ghulaf Gaza, Tela Aviv zilivyo vurugwa, pia kuna miji mingi tu ya Israel imepigwa.hapo hatujui kama bomu limerushwa na israel au hamas ndio wamechoma kifaru. tukuaminije? hata hivyo, hata wakiua wanajeshi buku, kwa majengo kuharibiwa, kwa kipigo kilichotokea, hamas hawawezi kusema wameshinda au wana ubavu wowote wa kivita.
Kushinda au kushindwa kunakuja baada ya game kufika mwisho/kumalizika.hapo hatujui kama bomu limerushwa na israel au hamas ndio wamechoma kifaru. tukuaminije? hata hivyo, hata wakiua wanajeshi buku, kwa majengo kuharibiwa, kwa kipigo kilichotokea, hamas hawawezi kusema wameshinda au wana ubavu wowote wa kivita.
Huu ushahidi ni mzito sana sana aiseeee duhDunia tangu kuumbwa kwake inatawaliwa na yule yule aliyeiumba na siku zote haitoki nje ya kanuni zake.
Sheikh anasema hizi ni dalili kutoka kwa Allah kwa wale wanaoishi baada ya Firauni na wale wanaoishi maisha aliyoishi Firauni kutokana na hukumu aliyoipata Firauni.
Firauni alikuwa akipiga ardhi kwa miguu kutokana na kiburi chake cha kutaka kuwamaliza wana wa Israel (sio Mayahudi)
Alipoinua miguu yake ili awamalize kabisa,hapo Allah akaingilia kati kuwatetea wanyonge na akammaliza Firauni.
Hivi ndivyo wanavyofanya mayahudi wa Israel sasa.Maliza kabisa wapalestina! Ondoa kabisa wapalestina Gaza, Wapeleke Sinai, Ua wote waliobaki kwa mabomu, njaa na kiu.
Sheikh akamalizia kwa kusema "Historia lazima itajirudia.Najua ndani ya Israel kuna watu wenye ubinadamu na huruma kwa wenzao.
Ni wakati sasa wa kuhama mara moja kutoka humo kabla Allah hajaingilia kuwatetea wanyonge kwa kushusha balaa ambalo halitakuwa na wa kulizuia"
Mkuu; vita ni uharibifu wa kiwango cha juu kabisa cha Uhai, Hali, Mali, Ardhi na Nafsi na hufanywa na Binadamu kwa makusudi kabisa.. Hata hiyo definition bado haijatosheleza kuelezea vita ni nini hasa. Kwa mantiki hiyo, hayo uliyoyataja hapo juu ni sample tu. Yajayo yanahuzunisha na kutisha zaidi. Tumwombe Mungu atuepushie hayo.Tatizo we hujaona Asqalan. Bair 7, Ghulaf Gaza, Tela Aviv zilivyo vurugwa, pia kuna miji mingi tu ya Israe