LIVE Yanayojiri vita ya Israel dhidi ya Palestina na HAMAS

LIVE Yanayojiri vita ya Israel dhidi ya Palestina na HAMAS

Live coverage on JamiiForums
Mkuu; vita ni uharibifu wa kiwango cha juu kabisa cha Uhai, Hali, Mali, Ardhi na Nafsi na hufanywa na Binadamu kwa makusudi kabisa.. Hata hiyo definition bado haijatosheleza kuelezea vita ni nini hasa. Kwa mantiki hiyo, hayo uliyoyataja hapo juu ni sample tu. Yajayo yanahuzunisha na kutisha zaidi. Tumwombe Mungu atuepushie hayo.
Uhuru hata uwauwe mamillion ni bora kuliko kuwa chini ya utawala wa watu wamechukua nchi yenu.
 
Uhuru hata uwauwe mamillion ni bora kuliko kuwa chini ya utawala wa watu wamechukua nchi yenu.
Sijaamini kwamba imefikia mahali (point of no return) ambapo Wahusika hawawezi kuyazungumza kama majirani. Kumbuka unaweza kuchagua mke/mchumba lakini huwezi kuchagua jirani.
 
Kwani shehe ndio nani, hizo si ni hadithi tu kama zile za Juma na Roza wanasoma kitabu, hamna zaidi ya hapo.
 
Wanaume wanavaa hijabu kuficha nyuso, wanaume wanajificha kwenye mahandaki? Endelea kufuatilia taratibu watu washaingia katikat ya Gaza yajayo yanahudhunisha sana, mlikuwa mnasema mbona hawaiingii Gaza wanaogopa nini tukawaambia ni suala la muda tu, sasa wanaume halisi wameingia Gaza baada ya siku 2, 3 tutapata matokeo.
 
Sijawai kuona sheikh akitabiri jambo alafu likatokea...

Alafu kabla yakuchagua upande wa wafilisti ambao ni wapalestina, unatakiwa ujue kwamba hao jamaa wameteka Watanzania wenzetu, hivyo pia ni maadui kwetu
Lakini nyinyi simlisha sema ni wagalatia na wayahudi ni ndugu ?
 
Tatizo we hujaona Asqalan. Bair 7, Ghulaf Gaza, Tela Aviv zilivyo vurugwa, pia kuna miji mingi tu ya Israel imepigwa.

We si unaonyeshwa tu Gaza sababu MEDIA ziko free kuchukua kule Israel wanawazuia kabisa nacwanawakataza wa Israel wasirushe kwenye social media zingine zinavuja.

We hesabu majumba na watu hio haina shida vipi kuhusu hasara we unafahamu hasara alioipata Israel na America kwenye hi vita? Au unaropoka tu kama mlevi

Kijana kwa tarifa yako Israel hi vita hawezi kwenda nayo zaidi ya mwezi kuanzia sasa.

Kwanza kila akivunja majumba na kuwauwa watoto, wanawake na kuvunja Hospital ndio anapoteza support ndio inazidi mdharau sababu watu wote wanafahamu Hamasi wanaishi chini ya Ardhi tena hakuna hata silaha ya Hamasi wameipiga walichopata ni kule walipo ingiliwa kambi za jeshi nne walizo zibakisha wenyewe Hamadi kwa lengo la kurudi tena.

Internal security ya Egypt imewaeleza Israel hawawezi kuvuka km moja Gaza wakikuachia under kam nne basi wewe ni chambo tu, kama hivyo vifaru waliviachia vikaribie barabara Salah Din ili wavimalize na wamevimaliza vingine vimegeuza chezea Hamasi wewe
Uwongo hadi muda huu hiyo barabara ya Salah dini Israel imedhibiti na wanajitanua kuelekea kaskazini.
 
Wanaume wanavaa hijabu kuficha nyuso, wanaume wanajificha kwenye mahandaki? Endelea kufuatilia taratibu watu washaingia katikat ya Gaza yajayo yanahudhunisha sana, mlikuwa mnasema mbona hawaiingii Gaza wanaogopa nini tukawaambia ni suala la muda tu, sasa wanaume halisi wameingia Gaza baada ya siku 2, 3 tutapata matokeo.
Wanaume wanao retreat kila dakika hata leo wameingia gaza wakarudishwa nyuma na kuharibiww vifaa vyao juu.
 
Wanaume wanao retreat kila dakika hata leo wameingia gaza wakarudishwa nyuma na kuharibiww vifaa vyao juu.
Niko natizama Aljazeera hapo zote Arabic na English sijaona hayo unayosema ww na Aljazeera nahisi unawajua vizur likitokea tukio la kuumizwa IDF watapost mwezi mzima, naomba link ya hiyo taarifa ya kwamba IDF wame retreat.
 
hapo hatujui kama bomu limerushwa na israel au hamas ndio wamechoma kifaru. tukuaminije? hata hivyo, hata wakiua wanajeshi buku, kwa majengo kuharibiwa, kwa kipigo kilichotokea, hamas hawawezi kusema wameshinda au wana ubavu wowote wa kivita.
Anadanganya ndio maana hawezi kuonesha hicho kifaru kinachoungua hapa, pia amedanganya jeshi la Israel limerudishwa nyuma toka kwenye barabara ya Salah dini kitu ambacho Ni uongo mwingine.
 
Siyo kweli hawajarudi nyuma.
Walipigwa wakarudishwa nyuma baadae wakaanza kurusha unga wa sumu ulio pigwa marufuku.
Screenshot_20231030-162622.jpg
 
Niko natizama Aljazeera hapo zote Arabic na English sijaona hayo unayosema ww na Aljazeera nahisi unawajua vizur likitokea tukio la kuumizwa IDF watapost mwezi mzima, naomba link ya hiyo taarifa ya kwamba IDF wame retreat.
Hiyo hapo screen shot ya habari kutoka Aljazeera mbaya zaidi baada ya kupigwa na kurudishwa nyuma wakaanza kurusha mabomu ya sumu yaliyo pigwa marufuku.
Screenshot_20231030-162622.jpg
 
Siyo kweli hawajarudi nyuma, mpaka Sasa wameifunga barabara, na wengine wanaelekea upande wa kaskazini.
Sasa wewe na Aljazeera tukuamini nani au ww uko eneo la vita.

Hizo za habari za kuidhibiti barabara ni za tangu mida ya saa nne hata Ar Jazeera imeilipoti,na hii habari ya kurudishwa nyuma ni habari ya saa 8 labda kama wamerudi na kuidhibiti sasa hivi.
 
Hiyo hapo screen shot ya habari kutoka Aljazeera mbaya zaidi baada ya kupigwa na kurudishwa nyuma wakaanza kurusha mabomu ya sumu yaliyo pigwa marufuku.View attachment 2798018
Kwahiyo hii ndio reference Yako? Endeleeni kujifariji, na Wahuni wa Hamas baada ya kuona maji yamefika shingoni wametoa video ya mateka wa3 eti wanalaumu ground oper6ya IDF Gaza, hizi ni dalili za kutapatapa mwisho wao umewadia wapumbavu wakubwa.

Na yule msichana waliyemteka tarehe 7 wakaanza kumtembeza mitaa ya Gaza akiwa uchi wa mnyama huku wakishangilia kama mahayawani Leo amekuwa confirmed dead.
 
Kwani shehe ndio nani, hizo si ni hadithi tu kama zile za Juma na Roza wanasoma kitabu, hamna zaidi ya hapo.
Masheikh tunakusudia kuwa ni wasomi wa kiislamu.Wasomi tumeambiwa tuwaheshimu kwani ni warithi wa mitume.Kwa hivyo kinachozungumzwa na sheikh kutoka moyoni mwake ujue kina baraka za Mwenyezi Mungu.
Zaidi ni kuwa masheikh tofauti na wale wengine huwa wanatumia dalili za Mungu mwenyewe katika maelezo yao.
 
Ktk kitu kinachowaumiza wasiokuwa waislam ni mshikamano wa waislam. Hii inawauma sana na hata wao wanataka wawe lkn hawawezi.
Kitu hichi kinawaumiza.

Haya ni machache kati ya mengi
1. Urusi: waislam wamewashambulia mayahudi uwanja ndege
2. Canada. Waziri ashambuliwa msikitini
3. India: waislam wamezuia wasioneshe mapenzi kwa waislam wenzao Palestina
1698675590226.png
 
Back
Top Bottom