LIVE Yanayojiri vita ya Israel dhidi ya Palestina na HAMAS

Live coverage on JamiiForums
Uhuru hata uwauwe mamillion ni bora kuliko kuwa chini ya utawala wa watu wamechukua nchi yenu.
 
Uhuru hata uwauwe mamillion ni bora kuliko kuwa chini ya utawala wa watu wamechukua nchi yenu.
Sijaamini kwamba imefikia mahali (point of no return) ambapo Wahusika hawawezi kuyazungumza kama majirani. Kumbuka unaweza kuchagua mke/mchumba lakini huwezi kuchagua jirani.
 
Kwani shehe ndio nani, hizo si ni hadithi tu kama zile za Juma na Roza wanasoma kitabu, hamna zaidi ya hapo.
 
Wanaume wanavaa hijabu kuficha nyuso, wanaume wanajificha kwenye mahandaki? Endelea kufuatilia taratibu watu washaingia katikat ya Gaza yajayo yanahudhunisha sana, mlikuwa mnasema mbona hawaiingii Gaza wanaogopa nini tukawaambia ni suala la muda tu, sasa wanaume halisi wameingia Gaza baada ya siku 2, 3 tutapata matokeo.
 
Sijawai kuona sheikh akitabiri jambo alafu likatokea...

Alafu kabla yakuchagua upande wa wafilisti ambao ni wapalestina, unatakiwa ujue kwamba hao jamaa wameteka Watanzania wenzetu, hivyo pia ni maadui kwetu
Lakini nyinyi simlisha sema ni wagalatia na wayahudi ni ndugu ?
 
Uwongo hadi muda huu hiyo barabara ya Salah dini Israel imedhibiti na wanajitanua kuelekea kaskazini.
 
Wanaume wanao retreat kila dakika hata leo wameingia gaza wakarudishwa nyuma na kuharibiww vifaa vyao juu.
 
Wanaume wanao retreat kila dakika hata leo wameingia gaza wakarudishwa nyuma na kuharibiww vifaa vyao juu.
Niko natizama Aljazeera hapo zote Arabic na English sijaona hayo unayosema ww na Aljazeera nahisi unawajua vizur likitokea tukio la kuumizwa IDF watapost mwezi mzima, naomba link ya hiyo taarifa ya kwamba IDF wame retreat.
 
hapo hatujui kama bomu limerushwa na israel au hamas ndio wamechoma kifaru. tukuaminije? hata hivyo, hata wakiua wanajeshi buku, kwa majengo kuharibiwa, kwa kipigo kilichotokea, hamas hawawezi kusema wameshinda au wana ubavu wowote wa kivita.
Anadanganya ndio maana hawezi kuonesha hicho kifaru kinachoungua hapa, pia amedanganya jeshi la Israel limerudishwa nyuma toka kwenye barabara ya Salah dini kitu ambacho Ni uongo mwingine.
 
Niko natizama Aljazeera hapo zote Arabic na English sijaona hayo unayosema ww na Aljazeera nahisi unawajua vizur likitokea tukio la kuumizwa IDF watapost mwezi mzima, naomba link ya hiyo taarifa ya kwamba IDF wame retreat.
Hiyo hapo screen shot ya habari kutoka Aljazeera mbaya zaidi baada ya kupigwa na kurudishwa nyuma wakaanza kurusha mabomu ya sumu yaliyo pigwa marufuku.
 
Siyo kweli hawajarudi nyuma, mpaka Sasa wameifunga barabara, na wengine wanaelekea upande wa kaskazini.
Sasa wewe na Aljazeera tukuamini nani au ww uko eneo la vita.

Hizo za habari za kuidhibiti barabara ni za tangu mida ya saa nne hata Ar Jazeera imeilipoti,na hii habari ya kurudishwa nyuma ni habari ya saa 8 labda kama wamerudi na kuidhibiti sasa hivi.
 
Hiyo hapo screen shot ya habari kutoka Aljazeera mbaya zaidi baada ya kupigwa na kurudishwa nyuma wakaanza kurusha mabomu ya sumu yaliyo pigwa marufuku.View attachment 2798018
Kwahiyo hii ndio reference Yako? Endeleeni kujifariji, na Wahuni wa Hamas baada ya kuona maji yamefika shingoni wametoa video ya mateka wa3 eti wanalaumu ground oper6ya IDF Gaza, hizi ni dalili za kutapatapa mwisho wao umewadia wapumbavu wakubwa.

Na yule msichana waliyemteka tarehe 7 wakaanza kumtembeza mitaa ya Gaza akiwa uchi wa mnyama huku wakishangilia kama mahayawani Leo amekuwa confirmed dead.
 
Kwani shehe ndio nani, hizo si ni hadithi tu kama zile za Juma na Roza wanasoma kitabu, hamna zaidi ya hapo.
Masheikh tunakusudia kuwa ni wasomi wa kiislamu.Wasomi tumeambiwa tuwaheshimu kwani ni warithi wa mitume.Kwa hivyo kinachozungumzwa na sheikh kutoka moyoni mwake ujue kina baraka za Mwenyezi Mungu.
Zaidi ni kuwa masheikh tofauti na wale wengine huwa wanatumia dalili za Mungu mwenyewe katika maelezo yao.
 
Ktk kitu kinachowaumiza wasiokuwa waislam ni mshikamano wa waislam. Hii inawauma sana na hata wao wanataka wawe lkn hawawezi.
Kitu hichi kinawaumiza.

Haya ni machache kati ya mengi
1. Urusi: waislam wamewashambulia mayahudi uwanja ndege
2. Canada. Waziri ashambuliwa msikitini
3. India: waislam wamezuia wasioneshe mapenzi kwa waislam wenzao Palestina
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…