LIVE Yanayojiri vita ya Israel dhidi ya Palestina na HAMAS

Live coverage on JamiiForums
Sasa ulitaka Hamas wakae tu ili wanajeshi wa Israel wawauwe?
Israel anacho ambiwa ni afuate sheria za vita na sio kupiga piga hovyo kama ni kupambana apambane na hamas awaangamize kama anavyo sema na sio kuuwa raia.
Vip upande wa Hamas hawafanyi mauaji ya raia?
Vip zile rocket 🚀 walizo kua wanarusha wanachagua target 🎯? Military bases au mpaka kweny makazi ya raia?
 
Kwa hiyo huo ndo udhibitisho wa picha kutoka IDF?
 

Israel ni maji, usipoyanywa, utayakoga.
 
Mzee tulia kwanza unywe maji. Mbona kama unafukuzwa.
 
Kufa vitani hiyo sio hoja, hata manati inaweza kukuua
Hoja ni kuwa hicho ni kikundi cha watoto wadogo kinapambana na jeshi la wayahudi lenye mafunzo bora duniani huku wakisaidiwa na mashoga na mabwana zao wa USA.
 
C umesema Israel anapata kichapo kutoka kwa Hamas au umejizima Data tena
 
Mlishaambiwa Gaza itakuwa graveyard Kwa mvamizi yoyote , nadhani mmeshaanza kuona uhalisia ni jinsi special forces za Marekani na mashoga wa Kizayuni wanavyoshikishwa ukuta
Ngoja muone balaa
 
Wayahudi waliwahi kusema askari wao mmoja sawa na Wapalestina elfu moja.

Jinsi askari wa kiyahudi wanavyouliwa kuna majenerali wa IDF wameshamgeuka netanyahu, wanasema jeshi lao ni la ulinzi siyo la mashambulizi.
 
Kwenye uhalisia wa hoja usirudie tena kuleta singeli za "unge, inge" sababu wewe mwenyewe usingezaliwa duniani ungekuwa si chochote.

Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
Nimekosoma na nimeitwa wenzangu wamesoma ulichoandika lakini wote wamesema itakuwa kaandika kinyarwanda au kule kwa kina TP Mazembe. Hatukuelewa kitu, degree holder
 
Funny Russia hajui idadi ya askari wake waliokufa huko Ukraine ila yupo busy na vifo vya askari wa IDF
Jamani si tulikubaliana russia kuna jews wengi kwahiyo yupo upande wa israel imekuwaje tena, tatizo bado wakristo wa tanzania hawajajua chanzo cha huu mgogoro wao na maaskofu wao wanadanganyana tu , russia ,china , north korea na waarabu wote wameungana wanawavizia magharibi wakosee tu wamalize kazi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…