LIVE Yanayojiri vita ya Israel dhidi ya Palestina na HAMAS

Live coverage on JamiiForums
haipo sababu msingi kufanya hivyo
 
tatizo lake anaua raia na watoto ovyo ovyo hakuna atakayelalamika akiua Hamas
Hamas hao utawatofautishaje na raia wakati hata sare hawana na wanajificha miongoni mwa raia sasa kwa nini raia wasiuwawe wakati risasi haitofautishi raia na magaidi wa Hamas.
 
Sawa acha vita vipiganwe!
 
Hamas hao utawatofautishaje na raia wakati hata sare hawana na wanajificha miongoni mwa raia sasa kwa nini raia wasiuwawe wakati risasi haitofautishi raia na magaidi wa Hamas.
Israel ni magaidi kama walivyo Hamas magaidi
 
Usije kurudi tena kulaumu kwamba wanaua watoto na wanawake sawa?.. usije kuanza kulialia kwamba gaza hawana chakula

Sent from my TECNO CK6 using JamiiForums mobile app
 
Hezbollah has reportedly carried out attacks on an Israel surveillance tower located near the Lebanese border.

This is yet another example of the daily targeting by Hezbollah on Israeli cameras, radars, and surveillance equipment.
 

Attachments

  • IMG_5664.jpeg
    38.7 KB · Views: 1
  • IMG_5663.jpeg
    18.9 KB · Views: 3
Hezbollah kapiga rada za Israel na wamesema wametoa muda mpaka
ijumaa kama Israel ataendelea kuishambulia Gaza basi wanaingia rasmi mzigoni.
 
Sawa. Ila kumbushushaneni nyie Wapalestina wa Mchambawima kuacha kulialia kwenye nyuzi zengine.
 
Worship at a Catholic Church in Gaza is interrupted by an Israeli TERROR BOMBING.

🇮🇱 No Christian can support ZIONIST TERRORISM!
Labda hawa wa hapa kwetu Kimara.
 
Israel ilikuzwa sana, nikiona Russia alichofanya BAKHAMUT basi naona jeshi la Israel hamna kitu, jeshi linapigana nawatu wasio hata na Ndege Moja Wala msaada kutoka kokote lakini mpaka Sasa mwezi unakaribia lakini wameshindwa ichukua Gaza.
Hayo mahandaki yaliyo chini ya hospital, shule, na makazi ya watu unadhani ni rahisi kwenda kuwafukua wavaa pedo huko?..
 
Lakini ni nyie walewale mnasifia islam kwamba ni dini nzuri na inafundisha maadili mazuri lkn ukiona mnachoandika kweli utaamini kwamba mnafundishwa shari tupu.
Ukija kistarabu utajibiwa kistarabu ukija kishari utajibiwa kishari hivyo.
 
Hayo mahandaki yaliyo chini ya hospital, shule, na makazi ya watu unadhani ni rahisi kwenda kuwafukua wavaa pedo huko?..
Hizo propaganda za kitoto tumeishazizoea/
 
Mbwembwe nyingi ila safari hii wanaolia tunawajua alafu yule wanaemtaja taja wakishambulia hata hawasaidii😂😂😂
 
Hezbollah kapiga rada za Israel na wamesema wametoa muda mpaka
ijumaa kama Israel ataendelea kuishambulia Gaza basi wanaingia rasmi mzigoni.
Bila shaka kufika tarehe 10 Nov Israel itakuwa imefutwa kwenye ramani, wapalestina wataichukua ardhi yao, Allah atakuwa ameshinda!!! Takbiirrrr
 
Kwamba Israel alimchapa Egpty ama Vice versa is True? Moja ya Sababu ya Saadat kuuliwa ni kutoimaliza Israel, Yom kipur Israel Alichapika Vibaya mno akatishia Kulipua Nyuklia ndio Usa Akaingilia kati kupatanisha.
 
Hivi mnaosema Israel wana jeshi bora mnalizungumzia jeshi lipi? Wanajeshi wapi hao? Hawa maticktoker na maslay Queen? Israel hajawahi kupigana mwenyewe na hawezi kusimamia vita mwenyewe bila misaada!
Kwani wewe ulitamani mpigane na jeshi la namna gani mkuu ambalo mngemaliza vita ndani ya masaa tu
 
Kwamba Israel alimchapa Egpty ama Vice versa is True? Moja ya Sababu ya Saadat kuuliwa ni kutoimaliza Israel, Yom kipur Israel Alichapika Vibaya mno akatishia Kulipua Nyuklia ndio Usa Akaingilia kati kupatanisha.
Isarael anaenda kupotezwa
Takbiirrr
 
Kazi iliyofanywa na Yemen hii hapa.
 

Attachments

  • 5527140-fb2df0b9d2b7557cd900826b20b94a99.mp4
    7.2 MB
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…