makaveli10
JF-Expert Member
- Mar 27, 2013
- 31,583
- 92,670
Hezbollah bado hawajaanza mashambulizi kesho ndio Kiongozi wao at aongea kama wamo ama hawamo, so far Hezbollah Wamepiga piga tu radar na ngome za mpakani.Mwongo hao ni siyo Hamas, Hawa ni Hezbollah
Wamezitungua JordanNimeona taarifa saudia na Jordan wamewapiga marufuku houthi kupitisha makombora na drone zao anga zao
Msiseme baadaye wanakufa wanawake na watoto. Maana hata Israel alipoamua kuwa hii Ni Vita walisema itachukua mda mrefu kaa sababu walilijua hili mapema. Tabia za kulialia mziache lazima mjue hii ni vitaAcha wabadilishe akili za Wana kondoo kuisifia Israel kibubusa,baada ya hii shughuli watu watajua Israel ni hakuna kitu kelele tu
Kabisa mkuu. Maana baadaye utasikia wanawake na watoto na uzuri Israel asikilizi kelele zaoKikubwa msianze kulialia humu.. Wacha wapigane
Kiongozi wa Hezbollah Hassan nasrallah hawezi kuingia bila kupewa amri na mshia mwenzake amri jeshi Mkuu wa vikosi vyote vya Irani, Ayatollah Ali khamenei, hivyo ngoja tuone atasema niny kesho, maana vita hii inaweza ikawa mbaya iwapo Hezbollah mtoto pendwa wa Irani akiingia kwenye vita hivi. Jamen vita ni mbaya sana tuombee hili lisitokee.Hezbollah bado hawajaanza mashambulizi kesho ndio Kiongozi wao at aongea kama wamo ama hawamo, so far Hezbollah Wamepiga piga tu radar na ngome za mpakani.
Hezbollah ni Habari nyengine vibomu vyao si vidogo ni midude inafumua fumua kama unavyoona Gaza na Tetesi wapo Armed na Vifaa vya Wagner.
In short Hezbollah akiingia Hio Vita itakua balaa.
There is a reason kwanini Usa anawaonya Hezbollah wasiingilie na sio Syria, ama Houth Yemen ama nchi nyengine.
Mipaka ya mwaka 1947 izingatiwe, vinginevyo hakuna amani hapoVita iishe tu
Wakat mwingine mtu unaamua Kukaa kimya sio kwamba umeshindwa kujibu Bali unaona unayejadiliana naye uelewa wake mdogo.Mimi Mr evidence, huwa nawakamataga watu wengi wanapofanya udanganyifu na upotoshaji ndio maana nakimbiwa coz wanajua huyu mwamba huwa akikosa mahali lazima awe na evidence na ukijaribu kushindana utadhalilika na kuonekana mjinga kama mwenzako Marco Polo alivyonikimbia baada ya kumpa KO kali.
Umefanya busara kubwaga manyanga maana ungeendelea ungekuja kudhalilika vibaya mno.
Nakukumbusha ulisema 6 day war zilipigwa nchi tano za Kiarabu na maeneo yao kuchukuliwa ,nikaweka ushahidi na kuomba ushahidi wako ukala kona sasa usitake kupotosha.mwingine mtu unaamua Kukaa kimya sio kwamba umeshindwa kujibu Bali unaona unayejadiliana naye uelewa wake mdogo.
Kesho wataanza kufa wanawake na watoto wa Israel na majumba kubomolewa,halafu utaona uzuri wakeMsiseme baadaye wanakufa wanawake na watoto. Maana hata Israel alipoamua kuwa hii Ni Vita walisema itachukua mda mrefu kaa sababu walilijua hili mapema. Tabia za kulialia mziache lazima mjue hii ni vita
Nenda telegram kwa abdallah atar na Gaza todayHii vita tangu ianze sijawahi kupata taarifa sahihi, kila upande unavutia kwake
Israel kaanzw kitambo kutungua maghorofa ya Gaza,shida nyingi mnafuatilia habari Leo,hayo ndo maisha ya wapalestina dailyMatukio kama haya ndio yanampa hasira na uhalali Israel kujilinda dhidi ya madui zake,.
Vita iendeleeKuna vikundi vitatu au vinne vya Kipalestina huko chIni ya mwamvuli ,(command) ya Hizbullah.
Haijalishi ni nani katwanga, wote ni wapalestina.
Kimbembe kingine kinatokea kusini huko kwa wa Yemen. Saudi Arabia nayo inaonesha msimamo wa kuiunga mkono Palestina kwa kuwachia anga yao ipitishe misiles na drones za Wayemen kwenye anga yao bila kuzitunguwa na uwezo huo wanao.