WarHivi Gaza watoto ndio wanaoishi? watoto ndio wenye mji Gaza? acha muawawe wajinga sana, mlipewa tangazo mkajidai et nyieni ni Hamas wacha waone na wakipate, huyu Ritz na Kimsboy hawa hawana nia njema na watu wa Gaza
Najiuliza mikwara yote ya Iran ameshindwa nini kuingia vitani? Iran ni tatizo na lengo lake ni kupunguza nguvu Israel kwa kuunda makundi ila anachokiona ni shida, Israel ni wababe ila tuwaombee watu Gaza make sio wote walienda kubaka Israel
Narudia tena chuki zako za kidini peleka huko huko kwenu Kenya Tanzania hutofanikiwaMazombi ya kidini hamuna Utanzania wala nini, kwenu hamna kitu kinaitwa uzalendo, mpo radhi muarabu achukue kila kitu kwa Watanzania na mtashabikia tu, leo kuna Watanganyika wameshikiliwa mateka na hao HAMAS lakini mlivyo majitu ya kijinga, mnaendelea kushabikia hao HAMAS kisa dini.
Watu wazima mnaandamana kupinga ujenzi wa kanisa, ni chuki ya kijinga sana hii, itazame tena ujiulize maswali kama kweli una ilmu ya dunia
View: https://youtu.be/pcwvILodCKM
UstaadhWe kijana jifurahishe tu hizo ni fake news Israel hana uwezo huo.
We subiri tu utasikia Natanyahau anatolewa kwenye kiti.
Hamasi unadhani jeshi la kenya 😄
Hawawezi kuifanya Israel chochote, na kama wako tayari kweli waingie vitani basiKiongozi wa Hezbollah Hassan nasrallah hawezi kuingia bila kupewa amri na mshia mwenzake amri jeshi Mkuu wa vikosi vyote vya Irani, Ayatollah Ali khamenei, hivyo ngoja tuone atasema niny kesho, maana vita hii inaweza ikawa mbaya iwapo Hezbollah mtoto pendwa wa Irani akiingia kwenye vita hivi. Jamen vita ni mbaya sana tuombee hili lisitokee.
Nyie ni wataalamu wa mapicha picha, unaambiwa mfupa uliomshinda fisi, mbwa haiwezi🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Kumebakia masaa machache kabla ya mkuu wa Hezbollah kutoa tamko!!Maangamizi yanakuja.
Tumebakiza masaa kadhaa kabla ya Nasrallah mkuu wa Hezbollah kutoa tamko!!
Hili tamko limemfanya hadi Bilinkelin kufanya Israel Israel ijumaa hii Nchi za magharibi, mashariki ya kati, Israel na dunia yote kesho itayaelekeza macho na masikio huko Lebanon kwa mwamba mmoja tu si mwingi ni Bwana Nasrallah mkuu wa kundi la Hezbollah la Lebanon
Tamko la kesho ndo litaamua hatma ya mashariki ya kati na utawala wa kizayuni....Hezbollah wana kila silaha mnayoijua ninyi hakuna silaha ambazo hawana.
Tunakwenda kushuhudia hali ya mambo ikibadilika ndani ya masaa kadhaa yajayo
Tutapeana updates hapa hapa..........View attachment 2801828View attachment 2801829View attachment 2801833View attachment 2801837
We endelea kula matango kwa chai wenzako Israel wanalia huko kipigo wanacho pewa na Hamasi si America au Europe wemeweza kupunguza makali ya Hamasi.Ustaadh
Hawawezi kuifanya Israel chochote, na kama wako tayari kweli waingie vitani basi
Yeyote ambaye hakutoroka wakati walipopewa fursa, sasa analo, Gaza imekatwa vipande viwili, ni mwendo wa mapigo ya kiwaki waki.......
View: https://twitter.com/War_Mapper/status/1719823625719537831
Ogopa kupigana na Watu ambao hawaogopi kifo tena.Muda wa Israel kulaumiwa umefika. UN, Human Rights Watch, Save The Children na mashirika kibao ya haki za binadamu muda wao huu wa kuandika nyaraka nyingi.
Collateral damage itakuwa kubwa soon kuna watu watalalamika Israel ikijibu mashambulizi.
Sure umeandika sahihi eti Yesu ndio Issa na ni nabii halafu yupo mbinguni halaf mud ni mtume yeye yupo kuzimu hadi leo wanamswalia eti tumswalie mtume!Tatizo nyinyi Waislam kila kitu mlikuja kudanganywa na Mtume, Mungu wa kweli Yahweh nyinyi Mtume akawambia na Allah, ambaye ni mungu mpagani, baba wa Mtume, alikuwa mpagani akiwa na Jina Abdullah (hapo pana ALLAH akiwa ni mungu wake wa kipagani)
Yesu kwa kiarabu ni Yesuha Mtume aliyekuja miaka 600 akawadangaya ati ni ISSAH, tena ati baba yake ni Imran (wakati Imran alikuwa baba wa mussa)
Yesu alikufa na kufufuka nyinyi Mtume akawadangaya ati aliyetundikwa na kufa ni mtu mwingine. Mtume pia akawadangaya yeye ndiye Mtume wa mwisho, na hiyo ikimaanisha hata ubara, wakati huo huo akijichanganya kuwa ISSAH alikuwa PURE, NA KWAMBA ISSAH ALINYAKULIWA MBINGUNI AMBAKO MBAKA SASA YUKO HAI NA MUNGU; NA NI ISSAH NDIYO ATARUDI SIKU YA KIYAMA. Yeye Mtume alikufa na mpaka mwili ukaanza kuoza. sasa hapo hajiulizi tu kuwa nani YUKO juu ya mwingine.
Yaani mmejaa Uongo na hadithi za kuunga unga tu. Sishangai kwa sababu mnamtumikia yule Shetani MKUBWA mwenyewe- Allah, ambaye ndiyo alimdanganya Ibilisi Quran 15:39
Hawa walifunikwa nguo nyeusi ni wafungwa au watumwa?Bibie ingia Telegram uone kinachofanywa kwa waarabu wako, utachukia sana yaani hata mimi nimejikuta naanza kuchukia.....
Halafu wewe ulipaswa uwe kwenye huu utumwa wa wanawake wa kiislamu, haupaswi kuwa unatupigia makelele humu
Nenda Telegram hutapata taarifa sahihi BBC na CNN. Tafuta Chanell nzuri ambayo source zake ni Eneo la tukio.Hii vita tangu ianze sijawahi kupata taarifa sahihi, kila upande unavutia kwake
Punguza mahaba sawa Mkuu vita sio swala la mchezo na usifikirie mossad walikua wapumbavu kutumia njia ya kuwaua wanasayansi wa nyuklia wa Irani, nasio kuvipiga vinu vyake vya nyuklia, hawa Hezbollah sio Hamas wanaopigana kwa kuvizia hawa ni full army napia Wana siraha Bora na wanapata sapoti kubwa kutoka Irani.Ustaadh
Hawawezi kuifanya Israel chochote, na kama wako tayari kweli waingie vitani basi
Na ndiyo Mungu wa Yakobo(Israel) aliekuwa na Lea,Raheli,Zilpa naAliyesema utamwacha Baba yako na mama yako nawe utaambatana na mkeo nanyi mtakuwa mwili mmoja huyo ndio Mungu. Hapo jamaa ana miili minne na kule Jannah miili 72 yani mafundisho ya mashetani kabisa.
Na ndiye Mungu wa Yakobo (Israel ) aliekuwa na Lea,Rachel,Zilipa na Bilha!.Aliyesema utamwacha Baba yako na mama yako nawe utaambatana na mkeo nanyi mtakuwa mwili mmoja huyo ndio Mungu. Hapo jamaa ana miili minne na kule Jannah miili 72 yani mafundisho ya mashetani kabisa.