Kudanganyana na nani? Siku hizi mambo yako open tu?. Labda vile unavyotaka uaminiwe wewe. Hivyo vita mtachezea kwa israelHezbollah sio wanamgambo ni well trained Army, wanajua muda gani wa kupiga na muda gani wa kutulia, kama wamepewa benefit why waendelee na senseless war?
Pia Israel ndio anatumika na sio vice versa, Israel ni Tool of power ya US, ingekuwa ni state ya kiyahudi kama mnavyodanvanyana wasinge tembea mkong'oto kwa Wayahudi wabaofuata dini.
View attachment 2802400
Ndugu zako hao walisahau kuvaa pampers wanasikia mabomu wanajinyea tu malinda hakuna
Duh.Msichokijua akina mwajuma ni kwamba Israel ni sawa marekani. Uliza wataalam wote wa teknorojia na vifaa vya kijeshi marekani ni Wa-israel kiasi kikubwa. Nyuma ya pazia marekani inaongozwa na Israel. Sasa ukisema marekani iliingilia kati. Kwa nini msipige nao wanaoingilia kati?. Au mwajuma ingilieni kati wote sasa hivi muone mnavyozungushwa
Wewe kwa akili yako hao wanamgambo wanaweza kitu.Kumebakia masaa machache kabla ya mkuu wa Hezbollah kutoa tamko!!Maangamizi yanakuja.
Tumebakiza masaa kadhaa kabla ya Nasrallah mkuu wa Hezbollah kutoa tamko!!
Hili tamko limemfanya hadi Bilinkelin kufanya Israel Israel ijumaa hii Nchi za magharibi, mashariki ya kati, Israel na dunia yote kesho itayaelekeza macho na masikio huko Lebanon kwa mwamba mmoja tu si mwingi ni Bwana Nasrallah mkuu wa kundi la Hezbollah la Lebanon
Tamko la kesho ndo litaamua hatma ya mashariki ya kati na utawala wa kizayuni....Hezbollah wana kila silaha mnayoijua ninyi hakuna silaha ambazo hawana.
Tunakwenda kushuhudia hali ya mambo ikibadilika ndani ya masaa kadhaa yajayo
Tutapeana updates hapa hapa..........View attachment 2801828View attachment 2801829View attachment 2801833View attachment 2801837
Mgambo tu na mbona hawajachukua hata sentimita moja ya nchi ya wayahudiHezbollah sio wanamgambo ni well trained Army, wanajua muda gani wa kupiga na muda gani wa kutulia, kama wamepewa benefit why waendelee na senseless war?
Pia Israel ndio anatumika na sio vice versa, Israel ni Tool of power ya US, ingekuwa ni state ya kiyahudi kama mnavyodanvanyana wasinge tembea mkong'oto kwa Wayahudi wabaofuata dini.
Hizboollah ni kati ya makundi ya kigaidi ambao ni waoga wa kiwango cha lami.....Kumebakia masaa machache kabla ya mkuu wa Hezbollah kutoa tamko!!Maangamizi yanakuja.
Tumebakiza masaa kadhaa kabla ya Nasrallah mkuu wa Hezbollah kutoa tamko!!
Hili tamko limemfanya hadi Bilinkelin kufanya Israel Israel ijumaa hii Nchi za magharibi, mashariki ya kati, Israel na dunia yote kesho itayaelekeza macho na masikio huko Lebanon kwa mwamba mmoja tu si mwingi ni Bwana Nasrallah mkuu wa kundi la Hezbollah la Lebanon
Tamko la kesho ndo litaamua hatma ya mashariki ya kati na utawala wa kizayuni....Hezbollah wana kila silaha mnayoijua ninyi hakuna silaha ambazo hawana.
Tunakwenda kushuhudia hali ya mambo ikibadilika ndani ya masaa kadhaa yajayo
Tutapeana updates hapa hapa..........View attachment 2801828View attachment 2801829View attachment 2801833View attachment 2801837
nyie mafala halafu baadae mje tena na #freepalestineKumebakia masaa machache kabla ya mkuu wa Hezbollah kutoa tamko!!Maangamizi yanakuja.
Tumebakiza masaa kadhaa kabla ya Nasrallah mkuu wa Hezbollah kutoa tamko!!
Hili tamko limemfanya hadi Bilinkelin kufanya Israel Israel ijumaa hii Nchi za magharibi, mashariki ya kati, Israel na dunia yote kesho itayaelekeza macho na masikio huko Lebanon kwa mwamba mmoja tu si mwingi ni Bwana Nasrallah mkuu wa kundi la Hezbollah la Lebanon
Tamko la kesho ndo litaamua hatma ya mashariki ya kati na utawala wa kizayuni....Hezbollah wana kila silaha mnayoijua ninyi hakuna silaha ambazo hawana.
Tunakwenda kushuhudia hali ya mambo ikibadilika ndani ya masaa kadhaa yajayo
Tutapeana updates hapa hapa..........View attachment 2801828View attachment 2801829View attachment 2801833View attachment 2801837
Haina meno na wenye dunia wanataka iendelee kuwa kibogoyo hivyo hivyo.UN imeshindwa kabisa ku maintain world peace
Tatizo lako unajifanya unajua kila kitu😂Hamas wana ndege siku hizi😂
Unaweza ID hiyo vehicle iliyoshambuliwa na lini imeanza kutumiwa na IDF ground forces.
Na hivi huoni hiyo attack ni ya ndege. Na huoni hiki unachoonyesha hapa ni tofauti na kile ulichoonyesha pale kwenye video iliyopita.
Angalia jamaa zako wahaamisha vifaru baada ya bakora😂Hapo hamna kitu bomu limefanya, tank armour inabidi kuwa penetrated sio kuwekewa blast. Na hakuna anayeogopa kupigana nao, ndio maaana wamefuatwa. Unamuogopaje mtu alafu unaenda kwake kumpiga.
Cha kushangaza Mungu ndiyo kamuumba huyo mnyama ili apate sababu ya kuwachoma watu aliowaumba, hivi huwa najiuliza Kwanini Mungu alituumba???????Hukujibu swali kwanini pope aruhusu hawa watu kuingia kanisani wakati biblia imekataza?
Point ni kwamba wanataka kuharibu kanisa ili hili jambo lionekane kawaida, ili kuwapata wengi zaidi.
Unaona nguvu kubwa inayotumika katika kueneza LGBTQ? ulikaa ukajiuliza kama hii nguvu ingekuwa kwenye kulitangaza neno la Mungu dunia ingekuwa wapi sasa?
Pope amekwenda far zaidi mpaka kufungisha ndoa hawa watu, ndugu yangu unashindwa kung’amua Agenda za hawa watu na huu ulimwengu??
Leo kanisa linageuka kuwa sehemu ya kufungisha ndoa za jinsia moja?? Dunia ipo mwishoni na Pope ndo Anti-christ mwenyewe “666” hatujui nani ameandaliwa ila ndo ukweli.
Na bible imeandika wazi atakuja kwa kificho cha Dini na atapoteza watu wengi sana watakao mfuata “RC church”
Hoja fikirishi hii...Mkuu unaweza ukafagia taarifa mtandaoni ukajiona mtafiti mkubwa kumbe ni layman tu, watoto wa israeli waliamrishwa na allah kuingia ardhi takatifu ya palestina wakati wa nabii musa amani iwe juu yake, na walikataa wakapewa adhabu ya kuzurura jangwani kwa miaka 40, mpaka kile kizazi chote kilichogoma kikaisha ndipo sasa yoshua mwana wa nuun amani iwe juu yake, akaingia kupigana vita na jeshi la wana wa israeli, na akawaingiza kwenye ardhi yao waliyoandikiwa.
Baada ya hapo zikapita karne kadhaa na hatua kadhaa za utawala wao na kuwa kwao kwenye neema na walipoenda kinyume na maamrisho, wakatolewa tena kwenye ardhi hiyo na wakageuzwa watumwa, na mitume wakafuatia wengi mpaka kina nabii sulaymaan amani iwe juu yake walipokuja.
Historia ni ndefu, ila chukua point kuwa hiyo ardhi hawakuandikiwa milele, na pia allah aliwafadhilisha wayahudi juu ya wanadamu wote wa wakati wao! kwa sasa waliofadhilishwa sio wao tena.
Cheka na hii..
Ukiona hivi ujue maji yamefika shingoni IDF piga mbwa hao .BREAKING: HAMAS SENDS MESSAGE TO FAMILIES OF ISRAELI PRISONERS - THEIR GOVERNMENT REJECTED A PRISONER EXCHANGE
"We offered your government a prisoner exchange, but it did not accept
This is our message: the release of all prisoners in exchange for the release of all Palestinian prisoners
To know the condition of all your prisoners, stay in touch with us"
Hili sio jibu. Swali ni Hamas wana fighter jet?Tatizo lako unajifanya unajua kila kitu😂