Lugha unayotumia inahakisi uwezo wako wa kufikiri ila sishangai maana hivi ndivyo mnavyofundishwa huko kwenye madrasa,
IDF wapige picha maiti za Hamas wamtumie nani? Kwanza watawapiga picha maiti wangapi? Hizo kazi Huwa zinafanywa na vikundi vya kihuni kama hao Hizbollah , Hamas, Alshabaab, Boko Haram etc ili kuwahadaa majuha kama nyinyi IDF Wao wanakurushia tukio tu kwamba pale Kuna Ngome ya Hamas na tumeilipua inatosha, na lengo ni kukamilisha mission sasa utajuaje imekamilika ndio usubiri mpaka mwisho wa operation Iron sword