LIVE Yanayojiri vita ya Israel dhidi ya Palestina na HAMAS

LIVE Yanayojiri vita ya Israel dhidi ya Palestina na HAMAS

Live coverage on JamiiForums
Marekani itaongeza maradufu misaada kwa Israel kuizuia Heboullah isijiunge na hivi Vita.
Mwambie Kimsboy kipenzi cha ayatollah kwamba, afute hizo picha za AI alizotuletea humu, nimegundua Waislam hii vita mmeibeba kimihemuko tu, hakuna mnaloweza, alafu mmejaa duniani kama swali huko porini lakini nothing🤭🤭🤭🤭🤭
 
Kweli ni ya kawaida lakini kamuambia America hizo Carrier's zako hazitutishi, pili tupo kwenye vita inategemea na vita inavyo enda hatuwahidi hatuta piga Israel kutumia missiles na kawapa warning Israel wakivuka mipaka ya kuwauwa civilian Lebanon naye atawauwa civilian wa Israel.

Kawambia Israel hakuna ushindi wa askari wamepata hata mmoja, hio ya kuwauwa wanawake na kuvunja majumba hata nchi ina ndege inaweza kufanya hivyo si lazima uwe na ndege nyingi 😄

Kawambia Israel matekwa hawawezi kuwapata bila kubadilishana na wafungwa wa Palestine sababu hawana uwezo wa kuwakomboa.

Kawambia Israel Hamasi aliuwa wanajeshi tu hao civilian ni jeshi la Israel ndio limewauwa wachunguze na kuhusu watoto pia ni uwongo Hamasi hakuchinja watoto.

Kawambia jeshi la Israel linatumiwa na America na America ndio anapigana hi vita Gaza.

Amesema jeshi la Israel wanadhani kuwauwa wanawake. A watoto ndio watawatia pressure Hamasi hizo ni ndoto tu.
Hamna loote, Hizbullah mgambo tu wa suma jkt wanawakalisha, vita haipigwi mdomoni maustadh ok

Na Israel alishagundua kwamba nyie ni maneno mengi bila vitendo, aise nimeamini Israel ni kiboko
 
Kweli ni ya kawaida lakini kamuambia America hizo Carrier's zako hazitutishi, pili tupo kwenye vita inategemea na vita inavyo enda hatuwahidi hatuta piga Israel kutumia missiles na kawapa warning Israel wakivuka mipaka ya kuwauwa civilian Lebanon naye atawauwa civilian wa Israel.

Kawambia Israel hakuna ushindi wa askari wamepata hata mmoja, hio ya kuwauwa wanawake na kuvunja majumba hata nchi ina ndege inaweza kufanya hivyo si lazima uwe na ndege nyingi 😄

Kawambia Israel matekwa hawawezi kuwapata bila kubadilishana na wafungwa wa Palestine sababu hawana uwezo wa kuwakomboa.

Kawambia Israel Hamasi aliuwa wanajeshi tu hao civilian ni jeshi la Israel ndio limewauwa wachunguze na kuhusu watoto pia ni uwongo Hamasi hakuchinja watoto.

Kawambia jeshi la Israel linatumiwa na America na America ndio anapigana hi vita Gaza.

Amesema jeshi la Israel wanadhani kuwauwa wanawake. A watoto ndio watawatia pressure Hamasi hizo ni ndoto tu.
Vita siyo mipasho ya taarabu, mpe taarifa hii kiongozi wenu wa Hezbullah🤣🤣🤣🤣
kwahiyo alikuwa anawahubiria hayo kwamba wao makwao hawana TV ama Redio??
 
No
Washaanza kuufyata hawa watu[emoji1313][emoji1313] tukisema hezbollah ni babkubwa tuelewane

Sky News:

US Secretary of State Blinken will offer a 12-hour temporary ceasefire to Israel.
No ceasefire mwambie, Israel haogopi sauti ya wanawake maustaadhh wa Hezbullah
 
IDF Chief of Staff Halevi: If Hezbollah drags us into fighting, the IDF will deliver a fire blow that has never been seen before in the world.
Nawatamani hao Hezbollah waje, vita ipigwe iishe tujue moja. Sio leo Israel wapigane na Hamas na siku zijazo wapigane na Hezbollah. Haya makundi yapigwe Iran ibaki yenyewe.
Israeli Defense Minister Yoav Gallant: We have unique solutions to reach all the tunnels and dismantle them underground, we are ready to do itView attachment 2802510
Sijui ni kwa gesi ya sumu, flamethrowers, mafuriko au mabomu. Maandaki yatapigwa.
"We have powerful firepower in our hands. We will know how to use it against any enemy that challenges the State of Israel." Israel Air Force chief, General Tomer Bar
Huo moto wanao wao peke yao? Safari hii watashangaa maana moto utajibiwa kwa moto na mpaka vita hii inamaliIka, kila upande utakuwa na adabu
 
Kwa kifupi nilivyo elewa, Hezbollah inataka kum support Hamas endapo Israel itaendelea kupiga Gaza, lakini Nasrallah anasema Israel isijaribu kushambulia eneo lolote Lebanon kwani ni makosa makubwa, wana uwezo wa kupiga monowari na kuizamisha.

Sasa hapo hii ni ngumu ni kauli ya utata, mi kwa ufupi naona Israel na Hezbollah wanaogopana, hawa Hezbolllah wakirusha maroketi kuna wananchi watakufa wengi Israel, Iron Dome si kitu hapo.

Lakini Pia Israel inaweza peleka moto Lebanon ikaua watu, nadhani hata raia wa Israel hawataki kuingia kwenye vita na Hezbollah, na Lebanon wananchi hawataki kuingia kwenye vita na IDF.

Lakini kuna mengi yanayoendelea chini, ndio maana US wanadai Hezbollah anataka kusaidiwa SA-22 na Wagna.
Wanaogopa ni Hezbullah coz wanajua vizuri mziki wa IDF magorofa yote Beirut yatageuzwa vifusi na mali za viongozi wao zilizo Lebanon yanaweza kuteketezwa nda saa 24 tu, wanajua kabisa Israel wamechafukwa na wakija full Hezbollah wanaweza ona cha moto
 
Huo moto wanao wao peke yao? Safari hii watashangaa maana moto utajibiwa kwa moto na mpaka vita hii inamaliIka, kila upande utakuwa na adabu
Wewe unafurahisha umejaa mahaba ya kiustaadh hapa, but in reality Gaza wamejipa taabu, saizi hamna Hamas wote wako shimoni huko, raia wote ni vilio hadi huruma, sasa unasema kila upande utakuwa na adabu huoni wewe ni mjinga, kwahiyo Israel awe na adabu wakati anawachakaza balaah🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Vita timing babu,ngoja wachoshwe kwanza huko gaza
Anayechoka ni nyie maustaadh, ukitaka kujua nchi iliyojizatiti kwa silaha duniani ni Israel, jidanganye coz ujui kilicho nyuma ya pazia wewe, Dunia hii unayoiona ni ya wasomi so nchi za kiarabu haziwezi kumtishia Israel pale ilipo na ndio maana vita zote wamekuwa wakipigwa waarabu😁😁😁😁😁😁😁
 
Marekani alishawaonya hizbullah siku nyingi wasiingilie,maana yake hizbullah ni nux na hayo maneno ya idf ni ya kioga tu/kujihami,wassubiri muziki,Kuna wamba buku sita wameingia Lebanon toka Syria
kwani USA ndie mkuu wao hao Hezbollah hadi wapangiwe na USA? hizi ni gonjera za kuomba huruma kwa raia🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Wanaogopa ni Hezbullah coz wanajua vizuri mziki wa IDF magorofa yote Beirut yatageuzwa vifusi na mali za viongozi wao zilizo Lebanon yanaweza kuteketezwa nda saa 24 tu, wanajua kabisa Israel wamechafukwa na wakija full Hezbollah wanaweza ona cha moto
Wote wanaweza sababisha kupata hasara, kabla dunia haijaingilia kati na kuomba kumaliza vita.
 
Hezbollah ni jeshi sio wavaa kobazi, wana training kama special forces wengine kama Navy Seal na Sayeret Matkal Israel. Hakuna udini hapo kwani kuna askari wengi hapo ni christians, Hezbollah ilianzishwa kuilinda Lebanon dhidi ya uvamizi wa Israel.
Wewe ni mjinga na muongo Hezbollah ni jeshi la kidini, ni Waislam wa Shia na kiongozi wao mkuu ni Ayatollah Khamenei sasa endelea kubinua matako juu hapo msikitini wakati hata huo msikiti ujui ina itikadi gani shia, sunni, nk🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Changamoto anayokumbana nayo IDF nikua anapigana nawatu wanaotaman kufa ili wakapate mabikira 72 kwakila jihadist mmoja. Ila ukweli nikua Gaza inachapika kwel kwel
 
Wote wanaweza sababisha kupata hasara, kabla dunia haijaingilia kati na kuomba kumaliza vita.
Dogo hujitambui Israel haogopi hao migambo wa Iran, ndg zao Hamas wanashughulikiwa na mko tu hapo karibu nao but hamuwezi kuwasaidia, vita mipasho ndg zangu washia🤣🤣🤣🤣
 
Anayechoka ni nyie maustaadh, ukitaka kujua nchi iliyojizatiti kwa silaha duniani ni Israel, jidanganye coz ujui kilicho nyuma ya pazia wewe, Dunia hii unayoiona ni ya wasomi so nchi za kiarabu haziwezi kumtishia Israel pale ilipo na ndio maana vita zote wamekuwa wakipigwa waarabu😁😁😁😁😁😁😁
We ni muongo.
 

Attachments

  • IMG_20231029_191128.jpg
    IMG_20231029_191128.jpg
    47.2 KB · Views: 4
Wanaogopa ni Hezbullah coz wanajua vizuri mziki wa IDF magorofa yote Beirut yatageuzwa vifusi na mali za viongozi wao zilizo Lebanon yanaweza kuteketezwa nda saa 24 tu, wanajua kabisa Israel wamechafukwa na wakija full Hezbollah wanaweza ona cha moto
Hakuna kitu Israel itafanya kuwa defeat Hezbollah, labda kupiga majengo na madaraja ndicho kabakiza, Israel hata Tanzania tu tunamchapa.
 
Huyu jamaa wa Hezbollah ni fala sana, Dunia imekaa inamsubiri aseme su, kama atapeleka Migambo wake vitani, yeye anaenda kulalamika Israel inaonea watu mambo tuliyosikia miaka na miaka
Hizbullah wakiingia vitani na Israel watailetea maafa nchi ya Lebanon, sidhani kama wapo tayari kwa hilo.
 
Wewe ni mjinga na muongo Hezbollah ni jeshi la kidini, ni Waislam wa Shia na kiongozi wao mkuu ni Ayatollah Khamenei sasa endelea kubinua matako juu hapo msikitini wakati hata huo msikiti ujui ina itikadi gani shia, sunni, nk🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Umeolewa kwanza? kuna jamaa anatafuta mke wa 4 ni oustadh flani hivi rafiki yangu sana.
 
Kweli ni ya kawaida lakini kamuambia America hizo Carrier's zako hazitutishi, pili tupo kwenye vita inategemea na vita inavyo enda hatuwahidi hatuta piga Israel kutumia missiles na kawapa warning Israel wakivuka mipaka ya kuwauwa civilian Lebanon naye atawauwa civilian wa Israel.

Kawambia Israel hakuna ushindi wa askari wamepata hata mmoja, hio ya kuwauwa wanawake na kuvunja majumba hata nchi ina ndege inaweza kufanya hivyo si lazima uwe na ndege nyingi [emoji1]

Kawambia Israel matekwa hawawezi kuwapata bila kubadilishana na wafungwa wa Palestine sababu hawana uwezo wa kuwakomboa.

Kawambia Israel Hamasi aliuwa wanajeshi tu hao civilian ni jeshi la Israel ndio limewauwa wachunguze na kuhusu watoto pia ni uwongo Hamasi hakuchinja watoto.

Kawambia jeshi la Israel linatumiwa na America na America ndio anapigana hi vita Gaza.

Amesema jeshi la Israel wanadhani kuwauwa wanawake. A watoto ndio watawatia pressure Hamasi hizo ni ndoto tu.
Mbona kaongea utumbo tu
 
Back
Top Bottom